Bora ningekuwa nina hiko kisamsung mimi natumia Nokia hiyo hapo chini
Tf hii ndio yenyewe sasa
Hakuna cha pin wala nini
Bora ningekuwa nina hiko kisamsung mimi natumia Nokia hiyo hapo chini
:shock::A S embarassed:....Ngoja nicheki kwanza kama naikumbuka...naomba ATM pin yako mara moja nikuadd hapa kwenye yangu.......
:eyebrows::smash::A S-coffee:hoto:Jaman mamito wangu king'asti na Kongosho mmenichekesha sana lol!
Mie nina elfu saba zangu huko tandale mall nitapata bb ya aina gani nikipata nitaweka bb pin yangu hapa kila mtu ani add lol!
Jaman mamito wangu king'asti na Kongosho mmenichekesha sana lol!
Mie nina elfu saba zangu huko tandale mall nitapata bb ya aina gani nikipata nitaweka bb pin yangu hapa kila mtu ani add lol!
Hapa wala hatuchekani,kumbe na yako haina hata kamera km yangu lol!Bora ningekuwa nina hiko kisamsung mimi natumia Nokia hiyo hapo chini
Wabongo bwana, eti siku hizi kama mtindo wa kuomba namba ya simu umeisha flani hivi...kila mtu utakayekutana nae anakuomba BBM Pin, eheeeee msinifanyie hivyo jamani sio kila mtu ana Blackberry...
Hiki ndio mpango mzima halafu mtu akicheki salio anakuta kuna muda wa maongezi wa laki mbiliTf hii ndio yenyewe sasa
Hakuna cha pin wala nini
Wewe usiye na Blackberry unalipa 20,000 wenye Blackberry wanaingia bure...:A S embarassed:Hapa wala hatuchekani,kumbe na yako haina hata kamera km yangu lol!
Ila haya mambo ya kuleta BB party ni kubaguana tu mbona hata hizi zetu tukiwapigia wanapokea na mawasilianao yanaendelea!!au sie kutokuaccess hayo ma bbm yao ndio watubague!!!sijaipenda hiyo tabia kbs!
Mpwa kuna binti alinimwaga kisa sina BBM PIN...Enzi hizo simu za mkononi zinaingia ilikuwa hivi hivi ni mapito tu haya
:whoo:Mdogo wangu, hiyo buku 7 utapata chaja. Nunua chaja kwanza, afu dingi akitupa ile hela yakumfumania ili tusimuambie mama utaendas kununua BB.
Shikamoo babu ODM,:eyebrows::smash::A S-coffee:hoto:
Kwa vile line nilishanunua,ngoja ninunue na chaja kwanza then tukimtishia yule mdingi kwa lile fumanizi hatutakosa mshiko pale then unanisindikiza naanza kumiliki bb,then nakupatia na bb pin yangu!Mdogo wangu, hiyo buku 7 utapata chaja. Nunua chaja kwanza, afu dingi akitupa ile hela yakumfumania ili tusimuambie mama utaendas kununua BB.
:bump2::nono:Shikamoo babu ODM,
Asa hapa ndio unanicheka au unanipongeza mjukuu wako?
Niongezee basi zitimie elfu 24 nipate ile bb ya line 6 nikutumie bb pin yangu lol!
Mie nadhan tandale mall inahusika sana kwa urahisi wa kumiliki BB ya line sita,ili hizi ishu zisitupite kivile lol!Wewe usiye na Blackberry unalipa 20,000 wenye Blackberry wanaingia bure...:A S embarassed:
Hiki ndio mpango mzima halafu mtu akicheki salio anakuta kuna muda wa maongezi wa laki mbili
Babu x- mass imepita salama kweli naona leo ni mwendo wa ishara za katuni tu,:bump2::nono:
Mpwa kuna binti alinimwaga kisa sina BBM PIN...
Jaman mamito wangu king'asti na Kongosho mmenichekesha sana lol!
Mie nina elfu saba zangu huko tandale mall nitapata bb ya aina gani nikipata nitaweka bb pin yangu hapa kila mtu ani add lol!
Sasa tandale mall si watakuibia hadi viatu kwa mchakato wa kupata bb ya bei hiyo? Unletee nyanya masalo kindoo kimoja ntaku-refund. Mi natengeneza kibubu kabisaa
:A S-omg: