King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,781
Hupati namba ya simu wala email, mwendo wa bb pins tu! Afu kuna mtu ananiambia hapa kariakoo unapata blackberry kwa tsh 60,000 na inaingia line 4! Yaani before easter kitu cha bb ndani! Utanipa bb pin yako?
:lol: Kwahiyo next year namba ya simu haunipi tena