Bbm Pin....

Hupati namba ya simu wala email, mwendo wa bb pins tu! Afu kuna mtu ananiambia hapa kariakoo unapata blackberry kwa tsh 60,000 na inaingia line 4! Yaani before easter kitu cha bb ndani! Utanipa bb pin yako?
:lol: Kwahiyo next year namba ya simu haunipi tena
 
uzuri wa ulanzi na togwa havina heng'iova

hayo mambo yenu ya akina Jack daniels, john walker na sijui malibu
siyawezi

Kongosho habari za utokako maana niliambiwa ulitumbukia kwenye pipa la ulanzi
Kuja kuibuka umelewa hujitambui
Pole sana
Bado na besidei na unyago na graduation ya chekechea na kumunio duh balaa
 
Mi nawaambia wazi sijui ni kitu gani hiyo maana natumia nokia ya tochi
sasa mimi na BBM Pin sijui ndo nini
Sikukuu ilikwendaje mkuu

Rejao anasema zipo Bbm za tochi, nadhani angalia specs za simu yako unaweza kukuta kuna BBM pin,
 
Hupati namba ya simu wala email, mwendo wa bb pins tu! Afu kuna mtu ananiambia hapa kariakoo unapata blackberry kwa tsh 60,000 na inaingia line 4! Yaani before easter kitu cha bb ndani! Utanipa bb pin yako?
:shock::shock:...lol
 
Hupati namba ya simu wala email, mwendo wa bb pins tu! Afu kuna mtu ananiambia hapa kariakoo unapata blackberry kwa tsh 60,000 na inaingia line 4! Yaani before easter kitu cha bb ndani! Utanipa bb pin yako?

Unapewa na betri mbili za kukusaidia yaani kama askari anakabidhiwa smg na magazini mbili za ziada, Ukinunua hiyo unapewa na tshirt ya kuukaribisha mwaka 2012 :lol:
 
Rejao anasema zipo Bbm za tochi, nadhani angalia specs za simu yako unaweza kukuta kuna BBM pin,

BB zinaeleweka sana mkuu
Sasa kanonia kangu kameandikwa Nokia hakawezi kuwa BB
Na BB torch zinaeleweka bana
 
ndo maana kwenye ile sredi ya mliman city
nimesema napenda sana Kariakoo mall vitu bei rahisi afu orijino

na sasa hivi nampango wa kwenda Tandale Mall
lazima bb orijino 24,000 line 6 na waranty ya 0seconds

Hupati namba ya simu wala email, mwendo wa bb pins tu! Afu kuna mtu ananiambia hapa kariakoo unapata blackberry kwa tsh 60,000 na inaingia line 4! Yaani before easter kitu cha bb ndani! Utanipa bb pin yako?
 
Hehehe! Safi kabisa, nadhani nivute target hadi valentine's day! Mchina hana maana hakawii kuacha kutengeneza blackberry akaleta blackaberry! Tukakosa uhondo bureee! Asante mkuu! Chaja hawatoi 2?
Unapewa na betri mbili za kukusaidia yaani kama askari anakabidhiwa smg na magazini mbili za ziada, Ukinunua hiyo unapewa na tshirt ya kuukaribisha mwaka 2012 :lol:
 
Ha ha ha ha
nikitoka hapo naenda polisi kwa hiari

Unapewa na betri mbili za kukusaidia yaani kama askari anakabidhiwa smg na magazini mbili za ziada, Ukinunua hiyo unapewa na tshirt ya kuukaribisha mwaka 2012 :lol:
 
ndo maana kwenye ile sredi ya mliman city
nimesema napenda sana Kariakoo mall vitu bei rahisi afu orijino

na sasa hivi nampango wa kwenda Tandale Mall
lazima bb orijino 24,000 line 6 na waranty ya 0seconds

Tandale Mall! hapo ukishanunua hakikisha unaisunda kwenye jeans huchelewi kusachiwa, unauziwa kitu kiko on ukifika home ukikizima hakiwaki tena, na inakubidi urudi tena kwenye mall kuna fundi anatengeneza hizo bb kwa kompyuta
 
he he he he
chezea mchina
tayari kuna yellowberry na whiteberry

valentine kuna spesho product
maalum kwa wapendanao
REDBERRY

Hehehe! Safi kabisa, nadhani nivute target hadi valentine's day! Mchina hana maana hakawii kuacha kutengeneza blackberry akaleta blackaberry! Tukakosa uhondo bureee! Asante mkuu! Chaja hawatoi 2?
 
Tandale mall hakuna na ni marufuku kwa muuzaji kutoa After Sale Service

anafungiwa leseni ya ku-operate
maana wakati mwingine ukifika home inakuwa kipande cha sabuni

Tandale Mall! hapo ukishanunua hakikisha unaisunda kwenye jeans huchelewi kusachiwa, unauziwa kitu kiko on ukifika home ukikizima hakiwaki tena, na inakubidi urudi tena kwenye mall kuna fundi anatengeneza hizo bb kwa kompyuta
 
Back
Top Bottom