eti naye siku hizi kaanza kunipiga mkwara kwa PM
jamani dunia ina mambo
nikaamua kunywea home
Aliharibu bana
mambo gani ya kupigana mkwara sikukuu kubwa hivi
hajui ndo muda watu wanakutana kuweka mambo ya mwakani sawa
eti naye siku hizi kaanza kunipiga mkwara kwa PM
jamani dunia ina mambo
nikaamua kunywea home
mkuu upo miss you sana mimi namshukuru mungu kwa sikukuu hzi nilipewa kablackbery?
Hupati namba ya simu wala email, mwendo wa bb pins tu! Afu kuna mtu ananiambia hapa kariakoo unapata blackberry kwa tsh 60,000 na inaingia line 4! Yaani before easter kitu cha bb ndani! Utanipa bb pin yako?
kumbe chat bila identities ni nzuri eeh!
Ngoja nitafute pin na mimi.
Hiyo lazima iwe na pin nne pia....
pin kitu gani bwana mi nitakufata livenipo aise
Sikukuu wamekomba mifuko yangu iko tupu kabisa
Duh niliona thread yako aise
Sasa nitumie pin yako basi
ndo maana kwenye ile sredi ya mliman city
nimesema napenda sana Kariakoo mall vitu bei rahisi afu orijino
na sasa hivi nampango wa kwenda Tandale Mall
lazima bb orijino 24,000 line 6 na waranty ya 0seconds
Kumbafu tanesco, wamekata umeme ilhali bbm yangu inahitaji umeme muda wote kama desktop, mwenye BBM pin ya Ngereja au badra anisaidie nimjulishe arudishe umeme kigamboni hoto:
Kwa staili hii itabidi niuze zile nokia zangu 3 na zile 2 za mchina ili ninunue Balckberryaseeeee!!!
Duh!!!
Jaman mamito wangu king'asti na Kongosho mmenichekesha sana lol!Sasa tandale mall si watakuibia hadi viatu kwa mchakato wa kupata bb ya bei hiyo? Unletee nyanya masalo kindoo kimoja ntaku-refund. Mi natengeneza kibubu kabisaa
TF kwan kisamsun cha tochi hakina bb pin?Wabongo bwana, eti siku hizi kama mtindo wa kuomba namba ya simu umeisha flani hivi...kila mtu utakayekutana nae anakuomba BBM Pin, eheeeee msinifanyie hivyo jamani sio kila mtu ana Blackberry...
:hat:hoto:he he he he
kuna mmama mmoja ofisini
nilimsikia analalamikia hili
anasema lazima mumewe amnunulie BB
kachoka kuomwa pin ambayo hana
mie nimeamua kununua zile pin za kufungia nepi
anayeniomba nampa hiyo.
Kwa staili hii itabidi niuze zile nokia zangu 3 na zile 2 za mchina ili ninunue Balckberry
:hat:hoto:
:A S-omg:naomba ATM pin yako mara moja nikuadd hapa kwenye yangu.......
:a s 100:hoto:
TF kwan kisamsun cha tochi hakina bb pin?
pin kitu gani bwana mi nitakufata live