buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,997
- 7,068
Habarini
Leo nimekaa nikitafakari sana juu ya mambo ya muda kidogo yaliyopita juu ya safari ya mapenzi
Miaka ya nyuma lilikua ni jambo la kawaida kuwa na mahusiano na mtu ambaye hujawahi kumuona lakini ukawa na upendo naye sawa na unaishia naye jirani.
Nakumbuka wakat fb,bbm,na Whatsapp zimepamba moto nilidondokea kwenye penzi zito na Binti Fulani kutokea Kanda ya kaskazini
Kisa Cha kuanzisha mahusiano.
Nilikua na ndugu yangu ambaye tulikua tunawasiliana mara Kwa mara na sikusave namba yake kwasababu ya simu yangu ilikua imejaaa( yes zaman had smartphone zilikua na limit ya kusave majina)
Sasa wakat naandika namba ya huyo ndugu yangu Ili nimpigie kwabàhat mbaya zile namba nikawa nimezigeuza kwaiyo nikawa nimempigia mtu tofauti, huyo ndiye aliyenifanya niandike Uzi.
Alivyopokea niliongea naye kidogo halaf nikakata, na baadae nikamtafuta Tena na kuanzisha urafiki hatimaye penzi zito, tulikua tunapendana haswaaaaaa, kipind hicho hakuna maswala ya kutumiana picha ilikua ni mwendo wa kuulizana kama ww ni mweupe au mweusi,umbo, kimo, baada ya hapo unamuumba mwenyewe kichwani mwako kwamba huyu atakua hivi
Miaka ikapita tukiwa tunawasiliana baadae kidogo tukapotezana, siku Moja nikamtafuta akanambia aisee unabahati sana kipindi ulipokuwa kimya nilikua naumwa sana ilibaki kidogo nifaliki, sikuweza kutilia maanani sana nikampa pole halaf penzi letu likaendelea Kwa muda Fulani halafu tukapotezana Tena na Miaka ilivyosonga Mimi nikaoa na sikua namkumbuka kabisa
Kuna siku nilikua nimekaa na wife tunapiga stori za kawaida ghafla yule ndugu yangu ambaye namba yake ilipelekea kukutana na mpenz wa mbali akawa amenipigia, baada ya kuongea naye alivokata nikasema ngoja nitafute Ile namba ambayo ilikua inamilikiwa na mpenz wangu wa mbali kama inapatikana. Nilivopiga akapokea mdada akiskika yupo kwenye makelele ikabid nimtumie sms Ili nijitambulishe kama hiyo no ni yake au tayari IPO na mtu mwingine
Mara boooooom, yule mdada akasema ni kweli huyo unayemtafuta alikua mmiliki wa hii namba ila Mimi ni mdogo wake Kuna siku simu ilikua inamsumbua kwaiyo akanipa Mimi pamoja na line na yeye tayar ameshafariki Kwa ugonjwa wa kansa, alifariki(2018)
Sio Siri niliumia sana nilipoambiwa hivyo na ukizingatia tulikua tunatiana moyo sana Miaka ya nyuma
Mwisho wa yote mwanga wa milele umuangazie japo nilitaman sana kumuona àkiwa hai ila ndo ivo Tena kazi ya mola Haina makosa
Leo nimekaa nikitafakari sana juu ya mambo ya muda kidogo yaliyopita juu ya safari ya mapenzi
Miaka ya nyuma lilikua ni jambo la kawaida kuwa na mahusiano na mtu ambaye hujawahi kumuona lakini ukawa na upendo naye sawa na unaishia naye jirani.
Nakumbuka wakat fb,bbm,na Whatsapp zimepamba moto nilidondokea kwenye penzi zito na Binti Fulani kutokea Kanda ya kaskazini
Kisa Cha kuanzisha mahusiano.
Nilikua na ndugu yangu ambaye tulikua tunawasiliana mara Kwa mara na sikusave namba yake kwasababu ya simu yangu ilikua imejaaa( yes zaman had smartphone zilikua na limit ya kusave majina)
Sasa wakat naandika namba ya huyo ndugu yangu Ili nimpigie kwabàhat mbaya zile namba nikawa nimezigeuza kwaiyo nikawa nimempigia mtu tofauti, huyo ndiye aliyenifanya niandike Uzi.
Alivyopokea niliongea naye kidogo halaf nikakata, na baadae nikamtafuta Tena na kuanzisha urafiki hatimaye penzi zito, tulikua tunapendana haswaaaaaa, kipind hicho hakuna maswala ya kutumiana picha ilikua ni mwendo wa kuulizana kama ww ni mweupe au mweusi,umbo, kimo, baada ya hapo unamuumba mwenyewe kichwani mwako kwamba huyu atakua hivi
Miaka ikapita tukiwa tunawasiliana baadae kidogo tukapotezana, siku Moja nikamtafuta akanambia aisee unabahati sana kipindi ulipokuwa kimya nilikua naumwa sana ilibaki kidogo nifaliki, sikuweza kutilia maanani sana nikampa pole halaf penzi letu likaendelea Kwa muda Fulani halafu tukapotezana Tena na Miaka ilivyosonga Mimi nikaoa na sikua namkumbuka kabisa
Kuna siku nilikua nimekaa na wife tunapiga stori za kawaida ghafla yule ndugu yangu ambaye namba yake ilipelekea kukutana na mpenz wa mbali akawa amenipigia, baada ya kuongea naye alivokata nikasema ngoja nitafute Ile namba ambayo ilikua inamilikiwa na mpenz wangu wa mbali kama inapatikana. Nilivopiga akapokea mdada akiskika yupo kwenye makelele ikabid nimtumie sms Ili nijitambulishe kama hiyo no ni yake au tayari IPO na mtu mwingine
Mara boooooom, yule mdada akasema ni kweli huyo unayemtafuta alikua mmiliki wa hii namba ila Mimi ni mdogo wake Kuna siku simu ilikua inamsumbua kwaiyo akanipa Mimi pamoja na line na yeye tayar ameshafariki Kwa ugonjwa wa kansa, alifariki(2018)
Sio Siri niliumia sana nilipoambiwa hivyo na ukizingatia tulikua tunatiana moyo sana Miaka ya nyuma
Mwisho wa yote mwanga wa milele umuangazie japo nilitaman sana kumuona àkiwa hai ila ndo ivo Tena kazi ya mola Haina makosa