Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,890
Kila mwaka matukio yanayojiri kwenye jumba hilo ni ngono zembe, uzinzi na ulevi.
Zaidi ya hayo BBA ina mpya gani?
Zaidi ya hayo BBA ina mpya gani?
Kila mwaka matukio yanayojiri kwenye jumba hilo ni ngono zembe, uzinzi na ulevi.
Zaidi ya hayo BBA ina mpya gani?
yalianza uk,yakadoda....wakaiacha naona africa ndio imeshika kasi labda na yenyewe itafika mahali itachosha na kufa....
Kama wewe pombe hupendi muziki hupendi, kubinjuana hupendi basi huna sababu ya kuishi
Kila mwaka matukio yanayojiri kwenye jumba hilo ni ngono zembe, uzinzi na ulevi.
Zaidi ya hayo BBA ina mpya gani?
yalianza uk,yakadoda....wakaiacha naona africa ndio imeshika kasi labda na yenyewe itafika mahali itachosha na kufa....
umepewa ruhusa kuangalia BBA? na huku unafuata nn? ukiachwa tena usirudi hapa,ohooo! we dont serve dinner ujue!
Kuangalia hiyo BBA ni kukosa kazi ya kufanya.