MESTOD
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 4,798
- 2,004
yalianza uk,yakadoda....wakaiacha naona africa ndio imeshika kasi labda na yenyewe itafika mahali itachosha na kufa....
Wazinzi wanaongezeka kila mwaka Africa, sidhani kama wataiacha. Kwa Africa yetu hii, utasikia hadi vitoto vya STDIII vinasimulia BBA.