Uzinzi huongezeka siku za sikukuu

Donatila

JF-Expert Member
Oct 23, 2014
7,557
21,515
Habari wakuu,

Nishashiba pilau, niende moja kwa moja kwenye mada ya Uzinzi hufanyika zaidi siku za sikukuu.

Ndio nasema Sasa kama unabisha nenda nyumba za kulala wageni kama utakuta Kuna chumba wazi.

Yaani watu wanafanya uzinzi Ile mbaya siku za sikukuu wanakula pilau na kula tunda kimasihara.

Kuna watu wanasubiri sikukuu ndio waanze kufanya kufuru la uzinzi.

Ninavyoandika hapa kuna watakaokuwa wanacomment ila wapo gesti wanatafunana kama pilau.

Sikukuu ndio muda wao wa kufanya uzinzi wa kiwango Cha lami yaani, utafikiri hakuna siku nyingine.

Tukumbuke amri ya Mungu isemayo usizini, na tuifanyie kazi.

Hapa Kuna jibaba mkewe kasafiri lipo na kabinti kadogo kadogo.

Pia kuna mke wa mtu yupo huko mtafaruku gesti na kijana.

Vijana ndo wanakulana huko gesti bubu kimasihara masihara...

Heri ya mwaka mpya wote

Donatila
 
Habari wakuu,

Nishashiba pilau, niende moja kwa moja kwenye mada ya Uzinzi hufanyika zaidi siku za sikukuu.

Ndio nasema Sasa kama unabisha nenda nyumba za kulala wageni kama utakuta Kuna chumba wazi.

Yaani watu wanafanya uzinzi Ile mbaya siku za sikukuu wanakula pilau na kula tunda kimasihara.

Kuna watu wanasubiri sikukuu ndio waanze kufanya kufuru la uzinzi.

Ninavyoandika hapa kuna watakaokuwa wanacomment ila wapo gesti wanatafunana kama pilau.

Sikukuu ndio muda wao wa kufanya uzinzi wa kiwango Cha lami yaani, utafikiri hakuna siku nyingine.

Tukumbuke amri ya Mungu isemayo usizini, na tuifanyie kazi.

Hapa Kuna jibaba mkewe kasafiri lipo na kabinti kadogo kadogo.

Pia kuna mke wa mtu yupo huko mtafaruku gesti na kijana...

Vijana ndo wanakulana huko gesti bubu kimasihara masihara...

Heri ya mwaka mpya wote



Donatila
Waache wafanye wanachotaka kufanya, watavuna wanachokipanda.
Nachojua mtumishi wa Mungu anayemtii Mungu kwa moyo wake wote hulindwa na tabu zote na watu wabaya.
 
Back
Top Bottom