BAVICHA kuandaa maandamano nchi nzima

Nachotaka kusema ni kuwa maandamano yanayokusudiwa hayatajibu utekeleza wa ahadi za Mbunge mmoja mmoja alizowaahidi wapiga kura wake

Sasa kati ya wabunge na huyu nani ni zuzu?

11_09_hmaerh.jpg
 
Heche mwenyewe kachaguliwa kwa rushwa, zengwe, (Bavicha) leo na yeye anataka kuwaingiza watu barabarani hii kweli ni Deceit kabisa

Rushwa hujui ni kosa la jinai si upeleke ushahidi huo TAKUKURU mmekalia majungu tu kila mnaposhika pa moto mwaka huu mnalo ndio mnaisha hivo mjue...hakuna mda tena mtabaki historia..fanya kazi ya NAPE kama mlivyoagizwa lakini mnachumia tumbo..
 
Kwa mujibu wa Ibara ya 63 b ya Katiba ya Tanzania kazi za Mbunge ni kuismamia na kuishauri Serikali. Hakuna popote palipotajwa kuwa mbunge ataleta maendelo katika jimbo lake. Hiyo ni aina fulani ya ufisadi na ubinafsi kwa wananchi wa jimbo fulani kutaka mbunge alete maendelo katika jimbo lao tu na kuacha kuisimamia Serikali ipasavyo. Ndio maan madini na raslimali za Tanzania hazina wasimamizi kwa kuwa wale wanaochaguliwa kama wawakilishi wa wananchi (Wabunge) katika kuismamia Setikali yenye mamalka ya kuisimamia fedha, madini na raslimali zote za taifa wako busy kutafuta maendelo ya majimbo binafsi tena mabya zaidi kwa kuwapoigia magoti mawaziri wa Serikali waliyopaswa kuisimamia!!!

Kwa nini wanatoa ahadi? Mfano Mbunge wa Arusha aliahidi Machinga Complex mbili, hilo alilitoa kwenye Government Plan au wapi?
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO. wajinga wameshaliwa. watu wanajifanya mabalozi wa kukijibia Chama humu, kumbe hawakijui chama wala hakiwajui wao. Unacheza wewe! Mtu ameshindwa kwenye dini ndo aje aweze kwenye siasa?

Kwani Chama cha Magamba mnakijua? Si ni cha wahindi hicho 10 ambao wameshikilia uchumia wa nchi hii.
 
Ningeshangaa sana ningeona cdm hawafanyi maandamano, wataulizwa na wafadhili, vipi? tunawapa pesa za maandaano halafu nyie hamfanyi. Ina bidi wayafanye wakitaka wasitake. Kuna watu wameshachnga deal kwenye haya maandamano, ngoja tutafite data zao..
 
Niliwaambia kwenye nyuzi nyingine kule watumie "scientific approach" kwenye siasa. Hawajui kuwa ngoma ikivuma sana hupasuka. Hawana jipya na hao wanaoandaa maamndamo wamejipatia njia moja ya kujipatia posho kiulaini.

Asa long as wananchi wananufaika na Elimu ya Uraia inayotolewa na CDM ktk mikutano na maandamano husika yaendelee, hiyo ni nia moja ya kuwarejeshea wananchi kodi zao kupitia kuwapatia elimu ya uraia. Tangu 1992 CCM imepiga chenga kutoa elimu ya uraia, hata ile inayotolewa karibu na uchaguzi huwa inakuwa censored na Tume siyo huru ya uchguzi. Big CDM kwa kutoa elimu ya uraia!!!! Aluta Continua
 
Ningeshangaa sana ningeona cdm hawafanyi maandamano, wataulizwa na wafadhili, vipi? tunawapa pesa za maandaano halafu nyie hamfanyi. Ina bidi wayafanye wakitaka wasitake. Kuna watu wameshachnga deal kwenye haya maandamano, ngoja tutafite data zao..

hiyo avarta ndo sura yako au???
 
Halafu rushwa zenyewe walizianika humu JF mpaka za shillingi 1,500/= Wananchekeshaa!

Ni vyema CDM inayowaanika na kwaumbua na kuwachukulia hatua watoa rushwa walioko ndani ya chama chake, kuliko CCM ambayo inashindwa hata kuwachukulia hatua wala rushwa wanaosababisha maelfu ya watanzania kupoteza maisha kwa kukosa matibabu, maji safi, chgakula n.k. Msikilze Gerala Sarakikya ndio ujue aina ya viongozi wa CCM na Serikali yake.
 
Heche mwenyewe kachaguliwa kwa rushwa, zengwe, (Bavicha) leo na yeye anataka kuwaingiza watu barabarani hii kweli ni Deceit kabisa

Mama yako siyo huyo first lady, Muulize baba akuambie yuko wapi. Nasikia mko wengi baba mmoja mama mbalimbali. Umekosa malezi ya mama.
 
Kuna hawa Wabunge wa Mwanza, jimbo la Nyamagana, Ezekiel Wenje huyu Mbunge machinga wa Mwanza sehemu za makoroboi, mirongo, bugarika, na maeneo mengine awataki ata kumuona, wakati wa kampeni aliwambia mkinachugua nitahakikisha mnabaki sehemu zenu za kazi, baada ya kupata ubunge amewambia wahame, Ubunge wake umebakia kwenye maandamano tu.
Huyu Mbunge mwingine wa jimbo la Ilemela. Hayness Samson, huyu ndio hatakiwi kabisa Mwanza yeye tangu achagulie yeye anakaa Dar es Salaam, yeye kiguu na njia kwenye maandamano kila kukicha

Ili CCM waweze kutafuana raslimali za taifa hili kwa urahisi waliwalisha wananchi suma kuwa kazi ya mbunge ni kuleta maendeleo katika jimbo lake. Ilihali kazi ya bunge ni kuisimamia Serikali yenye madaraka ya kutumia fedha, madini na raslimali zingine kwa manufaa ya wananchi wote wa Tanzania. Hivyo kutimiza jukumu hili mbunge ni lazima awe ni mtu wa kusoma na kufuatiulia sana. kwa kuwa wabunge wetu wamegeuzwa na CCM kuwa matarishi wa kusaka maendeleo ya jimbo moja moja tena kwa kuwapigia magoti mawaziri na wakurugenzi wa Halmashauri wanaopaswa kuwasimamia ndio maana fedha, madini na raslimali za nchi hazina msimamizi kabisa watu wa CCM manjitafuania manavyopenda.

Hivyo mojawapo ya kazi tuliyonayo kama CDM ni kuwaelimisah wananchi kuhusu majukumu ya mbunge na atharai za wananchi kutarajia maendelo ya jimbo maoaj moja kutoka kwa wabunge. na huo ndio utakuwa mwisho wa ufisadi wenu.
 
Ningeshangaa sana ningeona cdm hawafanyi maandamano, wataulizwa na wafadhili, vipi? tunawapa pesa za maandaano halafu nyie hamfanyi. Ina bidi wayafanye wakitaka wasitake. Kuna watu wameshachnga deal kwenye haya maandamano, ngoja tutafite data zao..
Unajitahidi, nikupe zawadi ya nyama nguruwe, ukishiba mpelekee ritz. Sawa?
 
Kwa nini wanatoa ahadi? Mfano Mbunge wa Arusha aliahidi Machinga Complex mbili, hilo alilitoa kwenye Government Plan au wapi?

Sasa umeanza kuelewa somo, ukitaka kumkomboa n=binadamu ni lazima kwanza umfikie alipo. Huwezi kumkomboa kwa kuwa mbali naye. Kutokana na ubaguzi wa CCM vyama vya upinzani vilikuwa mbali sana na wananchi kwa maana ya kukubalika.

Lakini kutokana na ufisadi uliotalamaki wananchi ambao wengi wao walikuwa ni wanaccm au wapenzi wa CCM wakachoshwa na kuamua kuvijaribu vyama vya upinzani. Ndio maana CDM inafanya mikutano na maandamano mengi yenye lengoi ya kuwaambia wananchi ukweli.

Wananchi wengi watakapojua ukweli kama vile mfumo uliasisiwa na CCM wa viuongozi na watendaji wake wa kada ya juu kujilipa posho kwa kufanya na kutenda shughuli wanazopokea mishahara ndipo mwisho wa CCM utakuw aumewadia.
 
Ningeshangaa sana ningeona cdm hawafanyi maandamano, wataulizwa na wafadhili, vipi? tunawapa pesa za maandaano halafu nyie hamfanyi. Ina bidi wayafanye wakitaka wasitake. Kuna watu wameshachnga deal kwenye haya maandamano, ngoja tutafite data zao..

Ni heri CDM kama wanapata fedha kutoka wafadhili kwa kuwa hawasababshi kifo cha mtanzania hata mmoja kulko wizi wa fedha, madini na raslimali za umma unaofanywa na CCM, viongozi wake na watendaji wa ke wa Setrikali ambao kila mwaka husababisha vifo vya maelfu ya watanzania kwa kukosa matibabu, maji safi, chakula.

Kwani hizo pesa anazotumia Nape kungurumisha shangingi nchi nzima kugawa khanga za CCM na propaganda si zinztoka katika mfuko wa Serikali pia ambazo zilizpswa kuzuia vifo vya akina maam wajawazito?
 
Naona vibaraka wa Nape wote wamechomoa, hawatuwezi kwa kuwa uepo wao ni mdogo sana ktk kujenga hoja.
 
Hiyo lugha Kenya mpaka machokoraa wanaongea, sio dili hapa ni hoja kwa hoja na sio porojo.

Mimi na wewe sijui na kaja na porojo, endelea ku-Downloand akili yako ikiwa full, niambie una hoja nyingine zaidi ya
sheikh? Tunajadili Maandamano na posho wewe unaleta udini, kweli wewe ni mzee wa Rigmarole
 
Kudaadeki! tumechoka sasa na haya maandamano. Kama Mbowe aliikiuka sheria ya nchi hana kinga ya kumfanya asikamatwe. Nitakishangaa chama ambacho kinataka tukishabikie tu hata kama viongozi wake wanavunja sheria. Lakini pia, serikali haikupaswa kumsindikiza Mbowe hadi Arusha kama mhaini kwa ndege ya jeshi, ni woga.

Gharama za maandamano bado ni kodi zetu ni ujinga kutumia kodi hizi eti kupinga kukamatwa kwa mtu aliyevunja sheria na kupewa haki ya dhamana. Vipi kama mngetumia fedha na rasimali hizo kutoa elimu ya kuwawezesha vijana wengi kufahamu haki za mikopo, haki za kusikilizwa kesi zao, n.k? Mtabaki na kelele tu za maandamano na kuongea kwa hisia huku majimbo tuliyowapa yakiendelea kudorora. Tunahitaji mifano ya maendeleo kwenye majimbo tuliyowapa, kama ni maandamano kuwe na hekima. mlipaswa kutokomeza kwanza vimelea vya rushwa vilivyoanza kuota mizizi katika BAVICHA.
 
Ni heri CDM kama wanapata fedha kutoka wafadhili kwa kuwa hawasababshi kifo cha mtanzania hata mmoja kulko wizi wa fedha, madini na raslimali za umma unaofanywa na CCM, viongozi wake na watendaji wa ke wa Setrikali ambao kila mwaka husababisha vifo vya maelfu ya watanzania kwa kukosa matibabu, maji safi, chakula.

Kwani hizo pesa anazotumia Nape kungurumisha shangingi nchi nzima kugawa khanga za CCM na propaganda si zinztoka katika mfuko wa Serikali pia ambazo zilizpswa kuzuia vifo vya akina maam wajawazito?

Kwahiyo Nape akiungurumisha shangingi nchi nzima (kitu ambacho ni ufisadi na upuuzi nielewe simtetei NAPE), na nyie chadema mnatumia gharama kuungurumisha maandamano?, mnashindana kufanya ujinga!!!? tunahitaji chama ambacho hakifati nyayo za CCM ambazo zimetugharimu hadi sasa. CCM wakifanya ujinga, nyie fanyeni mambo ya hekima: Two wrongs dont make it right.
 
Nakubaliana na wewe mkuu!lakini kinachonishangaza ni mtiririko wa hoja,kwani hoja ya msingi ilikuwa maandamano yanayotarajiwa kufanywa na BAVICHA,gafla mkaamia kwenye utekelezaji wa ahadi za wabunge wa CHADEMA,sasa hapo napata shida kuelewa!kwa nini tusijadiliane kwa hoja!na kwa nini tusijadili hoja specific iliyopo mezani?hatushindani lakini nijuavyo mimi ni kuwa tunabadilishana mawazo na hasa ukizingatia CDM na CCM ni vyama vya siasa nchi kwetu!naomba tujadiliane kwa hoja!!

Mkuu Tukutuku, hoja kweli ni maandamano ya Bavicha, lakini hatuwezi kuganda hapo hapo kwenye maandamano tunaenda mbali zaidi mpaka tunagusa ahadi za wabunge, sababu kubwa ni malalamiko kutoka kwa wananchi. Kuwa wamewachagua wabunge wa Chadema ili wawafanyie yale ambayo CCM wameshindwa kuwafanyia kinyume chake wabunge wa Chadema kila siku wapo kwenye maandamano yasiokuwa na tija kwa waliowapigia kura, Lema alisema wakati kampeni atajenga Machinga Complex mbili Arusha.
Wenje nae aliwambia wakazi wa Mwanza wakimchagua Machinga wote wa Mwanza wafanya kazi zao maeneo ya Mjini, tunavyoengea hapa madiwani wengi wa Chadema wamepitisha sheria machinga wote wamefukuzwa maeneo
ya mjini
 
Back
Top Bottom