Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
Dr. Slaa ni mtu makini ya mungu anayajua.
Na uhakika kama malaika Gabriel anasoma hii post, basi analia kwa uchungu mkubwa sana kwa kuwa sasa wanadamu wanamfananisha Mungu na shetani.
Dr. Slaa ni mtu makini ya mungu anayajua.
Hapo umenena kweli,na kwa muhutasari wabunge wengi wa CDM uchaguzi ujao hawatoweza kupita, pia viti maalum vitaondoshwa kitu ambacho kitakuwa ni pigo kubwa sana kwa chadema, kwani itakuwa imetengeneza wingi wa wabunge waliong'atuliwa na kuwafanya washinde kijiweni pale kinondoni kama slaa, na mbaya zaidi watakuwa hawewezi kulipwa kama Dr anavyokula kwa mlija.
Watanzania wenye uchungu na nchi yetu, pesa yetu walipa kodi (Ruzuku) inakwenda tena kwenye maandamano wanakwenda kugawana posho za maandamano. Chadema wamefanya maandamano kama Sekta yao ya kugawania pesa zetu Watanzania.
Takwimu zinaonyesha kila maandamano yanatumia zaidi ya milioni 40, na nchi hii ilivyokua kubwa mpaka waimalize kwa maandamano sijui watatumia kiasi gani cha pesa zetu Watanzania.
Si bora hizo pesa wangechimba visima kila jimbo walioshinda uchaguzi au wangenunua madawati watoto wetu wapate pakusomea wananchi wangewapongeza.
Niliwaambia kwenye nyuzi nyingine kule watumie "scientific approach" kwenye siasa. Hawajui kuwa ngoma ikivuma sana hupasuka. Hawana jipya na hao wanaoandaa maamndamo wamejipatia njia moja ya kujipatia posho kiulaini.
niliwaambia kwenye nyuzi nyingine kule watumie "scientific approach" kwenye siasa. Hawajui kuwa ngoma ikivuma sana hupasuka. Hawana jipya na hao wanaoandaa maamndamo wamejipatia njia moja ya kujipatia posho kiulaini.
wabunge wa cdm wasipochukua hatua za kusimamia maendeleo ya majimbo yao huenda wakaongoza hayo majimbo kwa kipindi kimoja tuu. Wengi wao wamejikita katika kukitangaza chama kitaifa (ushiriki wao kwenye maandamano sehemu mbali mbali nchini) badala ya kusimamia maendeleo sehemu walizopigiwa kura.
Madhalani tuchukulie jimbo la arusha mjini, moja ya wafuasi wakubwa wa cdm ni wamachinga na ahadi kubwa aliyotoa mh. Mbunge ni kujenga machinga complex mbili. Leo hii, ambapo imebaki takribani miaka minne na miezi mitatu kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2015 hakuna lolote (tangible) liliofanyika.
Mvuto alioanza na mh. Mbunge wa arusha mjini kama hataweka mbele utekelezaji wa yale aliyoahidi, huenda mvuto wake kwa wapiga kura ukafifia kwa stahili ile ile ya raisi wetu wa sasa.
dua la kuku halimpati mwewe!vipi jk ameshatekeleza ahadi zake?au kazi yake ni kwenda tu nje ya nchi?hapo umenena kweli,na kwa muhutasari wabunge wengi wa cdm uchaguzi ujao hawatoweza kupita, pia viti maalum vitaondoshwa kitu ambacho kitakuwa ni pigo kubwa sana kwa chadema, kwani itakuwa imetengeneza wingi wa wabunge waliong'atuliwa na kuwafanya washinde kijiweni pale kinondoni kama slaa, na mbaya zaidi watakuwa hawewezi kulipwa kama dr anavyokula kwa mlija.
Vipi ile ya CCM ilishapasuka?au zinapasukaga za pande hii tu?au CCM haijawahi kuvuma sasa?au imevuma sana na sasa imevimba hivyo inasubili kupasuka!!!!Niliwaambia kwenye nyuzi nyingine kule watumie "scientific approach" kwenye siasa. Hawajui kuwa ngoma ikivuma sana hupasuka. Hawana jipya na hao wanaoandaa maamndamo wamejipatia njia moja ya kujipatia posho kiulaini.
Kwa hiyo 1500/=siyo rushwa!!kwa hiyo rushwa inaanzia shillingi ngapi?ile rushwa inayodaiwa kutolewa na mwakalebela na iliyosababisha afikishwe mahakamani ilikuwa ni shilingi ngapi?na alikuwa amepanga kumpa kila mjumbe shilingi ngapi?Halafu rushwa zenyewe walizianika humu JF mpaka za shillingi 1,500/= Wananchekeshaa!
Vipi pande ya pili wameshatekeleza ahadi walizozitoa?au ndiyo upo kazini mkuu?pole na kazi!!!Kuna hawa Wabunge wa Mwanza, jimbo la Nyamagana, Ezekiel Wenje huyu Mbunge machinga wa Mwanza sehemu za makoroboi, mirongo, bugarika, na maeneo mengine awataki ata kumuona, wakati wa kampeni aliwambia mkinachugua nitahakikisha mnabaki sehemu zenu za kazi, baada ya kupata ubunge amewambia wahame, Ubunge wake umebakia kwenye maandamano tu.
Huyu Mbunge mwingine wa jimbo la Ilemela. Hayness Samson, huyu ndio hatakiwi kabisa Mwanza yeye tangu achagulie yeye anakaa Dar es Salaam, yeye kiguu na njia kwenye maandamano kila kukicha
Asante mkuu, pole na wewe na kazi, Kaka kwa hiyo upande wa pili wasipotekeleza ahadi zao nyie Chadema mnapata Excuse?
Watanzania wenye uchungu na nchi yetu, pesa yetu walipa kodi (Ruzuku) inakwenda tena kwenye maandamano wanakwenda kugawana posho za maandamano. Chadema wamefanya maandamano kama Sekta yao ya kugawania pesa zetu Watanzania.
Takwimu zinaonyesha kila maandamano yanatumia zaidi ya milioni 40, na nchi hii ilivyokua kubwa mpaka waimalize kwa maandamano sijui watatumia kiasi gani cha pesa zetu Watanzania.
Si bora hizo pesa wangechimba visima kila jimbo walioshinda uchaguzi au wangenunua madawati watoto wetu wapate pakusomea wananchi wangewapongeza.
Nakubaliana na wewe mkuu!lakini kinachonishangaza ni mtiririko wa hoja,kwani hoja ya msingi ilikuwa maandamano yanayotarajiwa kufanywa na BAVICHA,gafla mkaamia kwenye utekelezaji wa ahadi za wabunge wa CHADEMA,sasa hapo napata shida kuelewa!kwa nini tusijadiliane kwa hoja!na kwa nini tusijadili hoja specific iliyopo mezani?hatushindani lakini nijuavyo mimi ni kuwa tunabadilishana mawazo na hasa ukizingatia CDM na CCM ni vyama vya siasa nchi kwetu!naomba tujadiliane kwa hoja!!Asante mkuu, pole na wewe na kazi, Kaka kwa hiyo upande wa pili wasipotekeleza ahadi zao nyie Chadema mnapata Excuse?
mkuu huoni kama upo nje ya mada,kwa kuwa unachoongelea hakiendani ya hoja iliyopo mezani!!!ingekuwa vizuri kama ungeanzisha hoja maalum ili tuichangie vizuri!!jibu lako ni zuri sana lakini si kwa sawli hili,pole sana mkuu!!
Wabunge wa CDM wasipochukua hatua za kusimamia maendeleo ya majimbo yao huenda wakaongoza hayo majimbo kwa kipindi kimoja tuu. Wengi wao wamejikita katika kukitangaza chama kitaifa (ushiriki wao kwenye maandamano sehemu mbali mbali nchini) badala ya kusimamia maendeleo sehemu walizopigiwa kura.
Madhalani tuchukulie Jimbo la Arusha mjini, moja ya wafuasi wakubwa wa CDM ni Wamachinga na ahadi kubwa aliyotoa Mh. Mbunge ni kujenga Machinga Complex mbili. Leo hii, ambapo imebaki takribani miaka minne na miezi mitatu kabla ya kampeni za uchaguzi wa 2015 hakuna lolote (tangible) liliofanyika.
Mvuto alioanza na Mh. Mbunge wa Arusha mjini kama hataweka mbele utekelezaji wa yale aliyoahidi, huenda mvuto wake kwa wapiga kura ukafifia kwa stahili ile ile ya Raisi wetu wa sasa.
Haya majani ndio yalikuwa yanasababisha sheikh wenu asiwe na akili, akawa mwehu yeye na wafuasi wake, na wewe yameanza kukudhuru.
View attachment 31667
Nachotaka kusema ni kuwa maandamano yanayokusudiwa hayatajibu utekeleza wa ahadi za Mbunge mmoja mmoja alizowaahidi wapiga kura wake