Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,932
- 32,337
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA), John Heche amesema ataandaa mikutano itakayofanyanyika nchi nzima kulaani kitendo cha kukamatwa na kuwekwa ndani mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe.
Akizungumza na gazeti la Mwananchi jana kwa njia ya simu akiwa Mwanza, Heche alisema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa agizo lilitolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa la kuruhusu vijana wa chama hicho kuandamana nchi nzima.
"Katibu ameishatoa tamko la kuruhusu maandamano nchi nzima mimi naunga mkono tamko hilo natarajia kurejea Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza maandalizi ya mikutano hiyo kwa baadhi ya mikoa." alisema
Heche na kuongeza maandamano yanatarajia kufanyika wakati wowote.
SOURCE: MWANANCHI JUNI 8, 2011
Akizungumza na gazeti la Mwananchi jana kwa njia ya simu akiwa Mwanza, Heche alisema hatua hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa agizo lilitolewa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Dk Willibrod Slaa la kuruhusu vijana wa chama hicho kuandamana nchi nzima.
"Katibu ameishatoa tamko la kuruhusu maandamano nchi nzima mimi naunga mkono tamko hilo natarajia kurejea Dar es Salaam kwa ajili ya kuanza maandalizi ya mikutano hiyo kwa baadhi ya mikoa." alisema
Heche na kuongeza maandamano yanatarajia kufanyika wakati wowote.
SOURCE: MWANANCHI JUNI 8, 2011