Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,957
- 93,938
mizigo ndo imeteketea...first year walokua wanakuja na vyeti vyao mjini nawahurumia sana
Hivi inaweza tokea hivyo eenh...lakini sidhani mtu unasafiri na vyeti halafu unavihifadhi katika mzigo wa chini