Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Duh! aisee hatari sana halafu haya mabasi unakuta mlango wa kutokea upo mmoja tu tena upo karibu na Engine!!
Kazi ya Mungu haina makosa.
Duh! aisee hatari sana halafu haya mabasi unakuta mlango wa kutokea upo mmoja tu tena upo karibu na Engine!!
Juzi basi la adventure kutoka Mwanza kwenda Kigoma limeungua leo tena Dar Express limeungua wiki hii kunani?