SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 7,101
- 6,708
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum
Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima
Na...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari
Mhe. Nape Moses Nnauye.
Wasalaam,
Poleni kwa kazi.
Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.
Kuna Daktari mmoja (sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.
Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.
Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.
The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.
Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.
Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.
Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.
Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.
Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.
Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa
Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.
Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.
Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.
Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.
Sincerely,
SYLLOGIST!
Mhe.@ Dk Dorothy Gwajima
Na...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya habari
Mhe. Nape Moses Nnauye.
Wasalaam,
Poleni kwa kazi.
Ninakuandikieni barua hii ili kuwajulisha na suala linaloleta wasiwasi mkubwa ambalo limejitokeza hivi karibuni kwenye Jukwaa la mtandaoni.
Kuna Daktari mmoja (sijui ni Daktari wa matibabu au Daktari wa Shahada) alitoa dai ambalo sio tu halina msingi wa kisayansi lakini pia inakera sana, akidai kwamba "mtu mweusi popote alipo si binadamu kamili." Ni very Offensive.
Matamshi kama hayo ni ukiukaji wa kanuni za usawa na utu ambazo jamii yetu inazithamini.
Kwa kuzingatia hilo, nakuombeni mzingarie athari za kauli hizo nabjukumu ambalo Wizara ya Ustawi wa Jamii na Wizara ya habari na teknolojia wanaweza kutekeleza katika kushughulikia masuala haya.
The Media Services Act, 2016 and the Electronic and Postal Communications(Online Content) Regulations, 2020 imetoa framework ambazo hatua zinaweza kuchukuliwa dhidi ya matamshi ya chuki na maudhui amabayo yanaweza kuchochea machafuko ya Umma.
Sheria hizi ni muhimu katika kudumisha jamii yenye heshima na usawa na kuhakikisha kwamba watu wote, bila kujali rangi, wanapewa heshima wanayostahili.
Mamlaka yaliyo chini ya wataalamu kamavile madaktari na mabalozi yanakuja na wajibu wa kuzingatia viwango vya maadili. Viwango hivi vinapokiukwa, ni muhimu kwamba hatua zinazofaa zichukuliwe, bila ya kujali their Individual status.
Waheshimiwa, mtakumbuka hivi karibuni tukio la Balozi wa Romania nchini kenya aliposema "the African group has joined us" alipomwona tumbili nje ya dirisha wakati wa mkutano katika jengo la Umoja wa Mataifa mjini Nairobi mnamo tarehe 26 Aprili, 2023.
Maneno yake hayana tofauti na ya Daktari huyu kwa tafsiri.
Balozi huyo alichukuliwa hatua za kurudishwa Romania.
Tukirudi kwenye suala la Dkt huyu wa mtandaoni, yeye amekuwa akitoa matamshi kama hayo karibu kila anapopata mwanya wa kufanya hivyo na hakuna hatua zezote zinazochukuliwa na wadhibiti wa maudhui ya majukwaa
Waheshimiwa, kama viongozi katika nyanja zenu husika, mna uwezo wa kushawishi mabadiliko na kukuza utamaduni wa 'Responsible speech" na uwajibikaji.
Ninawasihi, mchukue hatua madhubuti dhidi ya tabia kama hiyo ili kudumisha uadilifu wa taaluma na usalama wa nafasi zetu mtandaoni.
Ikiwa na pamoja na kuwasiliana na uongozi wa Jukwaa husika kuchukua hatua stahiki.
Ahsanteni kwa kutumia mda wenu, thanks for your attention to this critical issue. Nina imani kwamba mtachukua hatua zinazohitajika ili kuhakikisha kwamba Forums and Professional spaces remain free from misinformation and discrimination.
Sincerely,
SYLLOGIST!