Ikulu imetoa taarifa rasmi kwamba baraza jipya la mawaziri liko jikoni na sasa litatangazwa muda wowote kuanzia sasa..taarifa hiyo imeongeza kwamba baraza hilo litakua lina ubora wa hali ya juu sana.
Chanzo:gazeti mwananchi.
Matumaini ni kitu muhimu sana kwa mwanadamu kwani humfanya mwanadamu aendelee kuamini kuwa kesho itakuwa siku njema kuliko leo au jana hata kama hajawekeza chochote. Hivi ni kipi ambacho kitaletwa na baraza jipya la Mawaziri kama taratibu, mifumo ya utawala, katiba na nguvu za utawala bado ziko chini ya mtu yule yule?