Nasubiri nione huo ubora wake!
ubora huo labda na mimi niwepo,,,tena,nipewe wizara ya maliasili na utalii,,,,week tu wtt wangunmmarekani,,na nahama uswahilin nenda uzungun,,
Nasubiri nione huo ubora wake!
Hayo yote yatafanywa lakini nionavyo mimi kinachotakiwa hapa ni uzalendo ambao utafufua maadili kwa viongozi wa ngazi zote wakiwemo hawa watakao tangazwa upya, ili watusaidie kuifikisha nchi hii sehemu ambayo Hayati baba wa Taifa,Mwl. J. K Nyerere alitarajia ifike. Wewe moyoni kwako tafakari nn kimefanyika kutoka katika Kipindi cha utawala wa Mwalimu JK mpaka sasa katika utawala wa JK (from JK to JK). Jiulize: Yaliyofanyika kwa kipindi hicho chote ndio mwl. JK aliyokusudia yafanyike. Tanzania imepotoka au inakwenda katika njia sambamba na wazo la mwl. JK? Wazo langu "UZALENDO WA VIONGOZI KATIKA NGAZI ZOTE NDANI YA NCHI YOYOTE HUZALISHA MAADILI NA HIVI KUWA NA UADILIFU WA KAZI WAZIFANYAZO." Ukiwa mzalendo utakuwa mwadilifu na hapo utakuwa na uchungu wa nchi na pia kuwa mbali na kukemea kabisa yule mwenye wazo la kuifisadi nchi. Kwa kutenda hivyo tutaondokana kabisa na kila msamiati unaozuka kila kunapoitwa leo, mara rushwa, mara takrima,mara ufisadi, mara uepa nk. Aidha masomo ya MAADILI yangeanza kufundishwa kutoka shule za msingi, sekondali na hata vyuoni ili kuwazalisha watanzania ambao watakuwa na uchungu wa nchi yao kwa namna yoyote ile. Taifa lingeelekeza nguvu zake katika kuwaandaa viongozi wa kesho katika kufanya hayo ili walau kuirejesha Tanzania katika utanzania wake halisia ambao Mwl. JK angetarajia auone kama Mwenyezi Mungu angemfufua leo hii.
Huo ndio mtazamo nambari moja katika kuleta maendeleo ya nchi yetu Tanzania.
Weeee Polisi hakuna kitu kama hicho! Kwanza ukiona circular resolution inapitishwa ujue tayari manunuzi yameishafanyika ila tu Board inatumiwa kubariki tu. Kwanza huwa hakuna muda wa kufikiri wajumbe wanakuwa wamesimamiwa ili wasaini.
Hii tuongee kwingine manake nina mengi katika hili. Hapa tujikite tu kwenye subra ya baraza.
Okay mkuu. Whoever aliyekaa awe mzungu, mmisiri ama mwarabu ila aligawa ili tupate kupeana muda muafaka. Ila Mkuu MAKOLE kumbuka mimi natumia Gregorian Calendar.
msisahau system ya utawala wa Bongo ilivyo. Kwa bongo na nchi nchi nyingi zinazoendelea, Raisi ndiye kila kitu. Raisi ndio ambae akitaka kitu kifanyike kitafanyika, hakuna cha waziri wala nani. waziri ameteuliwa tu na raisi na kuna wavunja sheria ambao wapo katika channel ya bosi mkubwa ambao hawezi kuwagusa. bomoabomoa imemshinda hata huyo magufuli, unadhani ni kwa nini.Huyo Mama Hana Jipya!! Naona kama Vuvuzela Tu!! Tunayo maeneo Machache ambayo Mungu ametujalia yakawa planned!! Kama sinza na Mikocheni!! Huyu Mama ameshindwa hata kwenda kufanya Law reinforcement ili watu wote walioziba njia kwa kuweka Groceries na biashara nyingine wapishe Njia!! Sasa anachofanya wala mbona Hatukioni? Bora apingwe Chini!!
Hakuna jipya watu ni walewale bendera ni ile ile itikadi ni ile ile chama mbele utaifa nyuma km kauli yao sitegemei upya ktk utendaji kazi wa mfumo wa uwizi ulio na mizizi zaidi ya mti wa mbuyu. Sina moyo wala ari na hilo baraza la mawaziri la mafisadi. Ngoja niendelee kupambana kutafuta kipato nisije nikafa njaa.
Hivi wapinzani manataka kuingia kwenye baraza hili. Mimi nilidhani wapinzani wanajiaandaa kutwaa dola mwaka 2015?
Elisha Ray Ule wakati wa Ikawa Asubuhi Ikawa Jioni? Sawa Mkuu
Afadhali umesema, nilivyoiona hii haraka nikakumbuka ule utabiri wa mvua na ngurumo za hapa na pale.Watanzania bwana tuna kazi kweli kweli. Wazungu walikaa wakatumia ubongo wao wakagawanya mwaka katik miezi, mwezi katika wiki, wiki katika siku, siku pia ikagawanywa katika saa, saa katika dkk na dkk katika sekunde. Hii yote ni katika kurahisisha kupeana muda sahihi lakini leo tunasema WAKATI WOWOTE. Hiyo wakati wowote hauna mwezi, siku wala saa?
Habari ya siku mkuu!Hakuna mtu bora anayeweza kutoka ccm!
Si makufuli, Sitta, wala Chiligati, wote ni walewale tu!
Timu ikishindwa kwenye fainali ya klabu bingwa ya dunia haina maana itakuwa kilaza kwenye ligi ya nyumbani.Mama Migiro yupi unaemuulizia? huyuhuyu kilaza aliyeshindwa kwa Ban Ki Moon?
Nadhani its time to change, hao walishapewa nafasi na hatukuona walichofanya.
Sawa Mkuu OSOKONI Vipi kuhusu kuwa Waziri?
ubora huo labda na mimi niwepo,,,tena,nipewe wizara ya maliasili na utalii,,,,week tu wtt wangunmmarekani,,na nahama uswahilin nenda uzungun,,
Tetesi ni kwamba wengi wenye uwezo waliopendekezwa wanakataa hizo position....
Hivi Anna Tibaijuka yupo kweli?
Manake aliingia na bomoa bomoa yake halafu ghafla akawa hasikiki kama ilivyokuwa awali.
Tetesi ni kwamba wengi wenye uwezo waliopendekezwa wanakataa hizo position....
Wamekataa ugali?????Tetesi ni kwamba wengi wenye uwezo waliopendekezwa wanakataa hizo position....