The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Mia mbili ( 200 ) Kitu gani banaaaa...........?? Watu wamerundikiwa maposho na wananchi hao wa magogoni wapo kimyaaa tu ! Alafu huu unafiki wa Wabunge wa mkoa wa DAR ES SALAAM ni waajabu sana yaani wao kwenye posho kimyaa ila kwenye nauli ya feri ndio wameona waungane dhidi ya Magufuli............?? Unafiki mkubwa ! Hiyo nauli kwanza bado ndogo sanaa................!