Baraza la Kiislamu la Maadili lalaani kuzomewa Dk Magufuli

Strong point? Sijui ni kigezo gani katumia huyo Shehe kulinganisha nauli ya Kiluvya na Ferry! Ni umbali? Ni aina ya usafiri? au ni kitu gani alichotumia kufikia conlusion yake?

Kiluvya - Ubungo ni zaidi ya 30km wakati Kivukoni A - Kivukoni B haifiki 1km anyway let's assume its 1km.

Hesabu rahisi (Nauli kwa kilometa):

Kiluvya - Ubungo: 900/30 = T.Shs. 30/km.

Kivukoni A - Kivukoni B: 200/1 = T.Shs. 200/km.

Kwa akili yako na ya Shehe ni nauli ipi ghali? Kiluvya-Ubungo au Kivukoni? Jamani, just use common sense! Otherwise, tuambiwe ni kigezo kipi kimetumika. Naamini wananchi wakiambiwa kwa busara na ufafanuzi wa kueleweka hata kama itakuwa 10,000/= bado wataelewa na
sio kwenda kuwatusi.

Ur 100% wrong, meaning u got 00% mark
How can u just simply calculate nauli/km bila kuzingatia yafuatayo:
1: Aina ya Transport. Ile ni Ferry not a bus
2: hata ikiwa ni aina moja ya transport say yote ni Ferry still nauli zinatofautiana kutokana na UBORA AU HOW LUXURY THE VEHICLE IS WITH THE SAME DISTANCE

3 JE MLISHAJIULIZA USHURU WA UBUNGO TERMINAL NI tshs 200 JUST KUINGIA NDANI AU KUTOKA KWA MIGUU YAKO, JE HIZO CHARGES NI ZA NINI?


Conclusion:
Dr. Magufuli is 101% right, i am done... Period..!!!
 
Pia mbona hajaulizwa Mbunge wa Ukonga na ilala Nauli ya Posta hadi Chanika ni Shilingi Ngapi?
Wale wa Nzasa hadi Buguruni ni kiasi gani?
Acheni kutumia masaburi kwenye mambo ya msingi.
Pia mbona hawakulaani majibu ya Magufuli? au yeye alikuwa sahihi kuwatukana wananchi? au ndo ile jino kwa jino?

Na ile "nauli" kuingilia pale ubungo bus terminal je....nayo imekaaje bwana mheshimiwa mnyika?si dhambi kwenda kushughulika na kero za wapiga kura wa kigamboni,lakini maliza kwanza hizi za kwetu ubungo basi kaka mbona umetusahau?
 
Kwa uelewa huu wa wananchi wa bongo naona dalili ya magamba kutawala milele! Hili ni baraza la maadili ya watanzania au waislam? Tangu lini makanisa na misikiti yakawa yanatoa matamko kwenye mitafaruko ya kisiasa tena baina ya wapiga kura na viongozi wao? Misikiti na makanisa yanatakiwa yajishughulishe na imani tu tena kwa wanao amini na kukubaliana na imani husika na ndio maana kuna waislam na wakristu na wasio na dini. Sasa tamko hili liwaendee kina nani hasa, waislam pekee au mpaka na waumini wa kakobe? Je unadhani mafundisho yetu ya dini yanelekeza waumini kumtii mtu au kiongozi wa dini nyingine? Kama hujui chunguza! Kuhusu nauli ya Kiluvya kuwa 900 au zaidi ni serikali kupitia taasisi zilizowekwa ndio zinafahamu zaidi maana hili linawadau wengi zaidi na nyuma yake kuna soko huria lakini pia wamiliki wake wanalipa kodi mbali mbali kwa serikali kupitia biashara hiyo ya madaladala. Lakini kivuko sio biashara ni huduma. Mafuta na oil wanazotumia hazilipiwai kodi lakini pia hawalipi kodi yoyote kwa yeyote zaidi ya kulipana posho na kujineemesha (rejea utafiti wa mbunge wa kigamboni zaidi ya milion 4 zinaibiwa kilasiku). Nashauri dini ziachane na siasa maana ni hatari. Ni hayo tu kwa sasa
 
Strong point? Sijui ni kigezo gani katumia huyo Shehe kulinganisha nauli ya Kiluvya na Ferry! Ni umbali? Ni aina ya usafiri? au ni kitu gani alichotumia kufikia conlusion yake?

Kiluvya - Ubungo ni zaidi ya 30km wakati Kivukoni A - Kivukoni B haifiki 1km anyway let's assume its 1km.

Hesabu rahisi (Nauli kwa kilometa):

Kiluvya - Ubungo: 900/30 = T.Shs. 30/km.

Kivukoni A - Kivukoni B: 200/1 = T.Shs. 200/km.

Kwa akili yako na ya Shehe ni nauli ipi ghali? Kiluvya-Ubungo au Kivukoni? Jamani,
just use common sense! Otherwise, tuambiwe ni kigezo kipi kimetumika. Naamini wananchi wakiambiwa kwa busara na ufafanuzi wa kueleweka hata kama itakuwa 10,000/= bado wataelewa na sio kwenda kuwatusi.
.........mkuu, "common sense is not common to all" wewe wachukulie hivi hivi tu.
 
Tunataka hoja sio maneno ya kukata tamaa baada ya kuishiwa hoja za kutushawishi!
 
Wala sijachanganya mambo. Hayo ya Mbagala - Mwenge ni maelezo ya ziada tu wala hayana maana yoyote kwenye hoja iliyopo mezani. Swali lililoulizwa na Shehe ni kama linavyoonekana kwenye red na majibu (hesabu) yangu yalijikita kwenye swali na sio maelezo ya Mbagala.

Huyo Shehe anapaswa kujua kwamba Mnyika ana haki ya kutetea pia usafiri wa Kigamboni kwa sababu kuna maelfu ya wapiga kura wake (wana-Ubungo) ambao shughuli zao mbalimbali za kila siku ziko Kigamboni. Sijui kwanini hili linakuwa gumu kueleweka? Well, ukiwa na ajenda za siri haya mambo huwezi kuyaona.

Lakini, je, mipaka ya Mbunge katika kutetea jambo lenye maslahi kwa jamii inaishia wapi? Ndani ya jimbo lake? Au hata nje ya jimbo? Labda Mnyika na baadhi yetu hatuelewi.
Mkuu kwani kigamboni pia wanatumia dala dala?kiasi cha mafuta kinachotumika kubeba abiria wanaopanda kivuko kwa umbali wa point A na B ni sawa na kinachotumika kubeba abiria wa kiwango hicho kwa dala dala?Hebu naomba unifafanulie hapo,nipe lita za mafuta na operation cost za dala dala na kivuko!Mimi naona Magufuli alichokosea ni ile kauli ya kupiga mbizi na kurudi vijijini wakalime lakini kupanda kwa nauli ni sawa kabisa!!
 
Naombeni kujua Waislam wana mabaraza mangapi? Je ni ya dhehebu moja au madhehebu tofauti?

nashindwa kujua though am a muslim,sijui maadil wanayoyazungumzia ni yapi?hebu tuanze na maadil kwenye taasis zetu,mfano shulen vijana hawana maadili,pia hata maadil ya kusimamia taasis hakuna,nadhan tujikite huko,coz kama zomeazomea hata Bungen ipo,miskitin pia ukizingua unazomewa,
MASHEKH MSIKURUPUKE MWAIDHALILISHA DINI NA WAUMIN PIA
WABILLAH TAWFIQ
 
Mkuu kwani kigamboni pia wanatumia dala dala?kiasi cha mafuta kinachotumika kubeba abiria wanaopanda kivuko kwa umbali wa point A na B ni sawa na kinachotumika kubeba abiria wa kiwango hicho kwa dala dala?Hebu naomba unifafanulie hapo,nipe lita za mafuta na operation cost za dala dala na kivuko!Mimi naona Magufuli alichokosea ni ile kauli ya kupiga mbizi na kurudi vijijini wakalime lakini kupanda kwa nauli ni sawa kabisa!!

Mkuu kwenye post yangu nimesema wananchi wakieleweshwa kwa busara hata nauli ikiwa 10,000/= watalipa tatizo ni kwenda kuwatusi then wanakuja baadhi ya viongozi wa dini kujidai kusimama upande wa watawala haohao waliowatukana wananchi.
 
Mkuu kwenye post yangu nimesema wananchi wakieleweshwa kwa busara hata nauli ikiwa 10,000/= watalipa tatizo ni kwenda kuwatusi then wanakuja baadhi ya viongozi wa dini kujidai kusimama upande wa watawala haohao waliowatukana wananchi.

upotoshaji jazz band....viongozi wa dini wanasimamia kwenye ukweli na hali halisi ya kupanda kwa gharama za maisha,wanawashangaa viongozi wetu(wabunge)kujaribu kuwapotosha wananachi kwa maslahi yao ya kisiasa na kutaka kumtoa kafara mheshimiwa waziri wakati wanajua kiini cha kuongeza shs mia kwenye nauli ile
 
...Dr. Magufuli is 101% right, i am done... Period..!!!
I doubt kuhusu your mathematical background. The maximum measure of perfectness ni 100%, yaani hapo ndo mwisho. Ukiweka zaidi ya 100% unaingia katika category nyingine za matumizi ya percentage, na si how perfect something is! Hapo ni sawa na kumpa mwanafunzi marks 42 wakati uliposet assignments, maximum marks uliweka iwe 40. sasa hata kama amepata zote, hizo nyingine mbili zinatoka wapi? Samahani kwa kutoka nje ya topic, ila inabidi wakati mwingine tuwe tunaingilia kati kuepusha aibu!
 
Strong point? Sijui ni kigezo gani katumia huyo Shehe kulinganisha nauli ya Kiluvya na Ferry! Ni umbali? Ni aina ya usafiri? au ni kitu gani alichotumia kufikia conlusion yake?

Kiluvya - Ubungo ni zaidi ya 30km wakati Kivukoni A - Kivukoni B haifiki 1km anyway let's assume its 1km.

Hesabu rahisi (Nauli kwa kilometa):

Kiluvya - Ubungo: 900/30 = T.Shs. 30/km.

Kivukoni A - Kivukoni B: 200/1 = T.Shs. 200/km.

Kwa akili yako na ya Shehe ni nauli ipi ghali? Kiluvya-Ubungo au Kivukoni? Jamani, just use common sense! Otherwise, tuambiwe ni kigezo kipi kimetumika. Naamini wananchi wakiambiwa kwa busara na ufafanuzi wa kueleweka hata kama itakuwa 10,000/= bado wataelewa na sio kwenda kuwatusi.
Kuna umbali gani kati ya nje ya stendi na ndani ya stendi ya Ubungo hadi tulipe Tshs. 200/=?
 
Kuna umbali gani kati ya nje ya stendi na ndani ya stendi ya Ubungo hadi tulipe Tshs. 200/=?

Hii hoja ya kuingia Ubungo Terminal imeanzia mbali kidogo lakini wenye akili zao wakaipuuza kwa sababu haina mashiko wala mantiki kwa somo lililopo mezani.

Naomba kuuliza, T.Shs. 200/= za kuingia Ubungo Terminal ni nauli?

Kinachozungumziwa hapa ni nauli tena ya Pantoni Kigamboni na siyo viingilio vya kuingilia sijui wapi; mtaanza pia kuhoji na sadaka tunazotoa sijui wapi ni za nini. Jamani, lets use common sense.
 
strong point!
"aliongeza: “kwa mfano, wakazi wa kiluvya walioko katika jimbo la ubungo wanalipa nauli sh. 900 kutoka kiluvya hadi ubungo wakati wakazi wa mbagala wanalipa sh 450 kutoka mbagala hadi mwenge. Iweje mbunge wa ubungo, john mnyika akawatetee wakazi wa kigamboni wanaolipa sh. 200 badala wapigakura wake ambao hulipa sh 1,200 kutoka kiluvya hadi posta. Je, huo sio unafiki?”

Kiluvya ni Jimbo la ubungo?
 
Waislam wameingizwa mtegoni na CCM siku nyingi na hawajui pa kutokea zaidi ya kuishi kwa matumaini kwamba kuna siku nchi hii itakuwa ya kislam na kuendeshwa kwa taratibu za kidini,hata hivyo ni tofauti kwani Waislam wamekuwa ngazi ya TANU na sasa CCM ili kuendelea kutawala huku wakipozwa na ahadi hewa kadha wa kadha miaka nenda miaka rudi,kauli kama hizi toka sijui kwa mabaraza au wanazuoni wa kiislam huwapa nafuu ya maisha CCM na kuendelea kupumua na kupanga kuendelea kutawala wakijua bado kuna watetezi ambao wako nao tangu uhuru ambao ukiwajengea msikiti au madrasa inatosha.Ndiyo maana mpaka leo waislam wamebaki wakilialia kwamba serikali ya kikristo,mara ooh wakristo wanapendelewa lakini wanasahau kwamba wao ndio wameibeba CCM na serikali hii tangu uhuru na kuwa ndio mtetezi mkubwa wa chama na serikali bila kujali matendo au dhuluma inayofanywa na CCM na serikali yake inagusa maisha ya jamii nzima ya Tanzania bila kujali dini,dhehebu,kabila,rangi wala jinsia.
 
Ni kama makanisa tu yalivyokuwa utitiri hasa mbeya kuna makanisa mengi sana!sheria inaruhusu mkiwa kumi tu mnaweza kuanzisha kanisa!

Nadhani hapa umechanganya mambo? Swali ni mabalaza ya waiswalmu na sio idadi ya madhehebu (kama unavyotoa mfano wa Mbeya).
 
upande mmoja sheikh kaongea poinj upande mwingine kaongea takataka,nauli ya kiluvya kama ni 1200 bado ni kidogo mno! hongera mnyika. Ebu gawanya km za kiluvya na za kigamboni,utakuta kiluvya wanaenjoy ratio benefit,yan wanalipa kama sh 40 kwa kilometa wakati kgambon walipa sh203 kwa km. Sheikh watumia vgezo gani?ebu rudi shule! naona hata mbunge wa kigoma akiongea sheikh atasema mbona kutoka kgoma elf50 na kgambon mia2 tu! du analysis ya std3!!!

what do you expect from him?
 
Back
Top Bottom