Baraza Jipya la Mawaziri hili hapa...

Hamna haja ya kushangilia Baraza hili maana ni KUBWA SANA,ukiongeza na Makatibu wakuu,NA WATEULE WENGINE basi tutegemee zaidi ya nusu ya makusanyo ya kodi kuhudumia wateule!

BARAZA LILILOTEULIWA HALIENDANI NA HALI HALISI YA UCHUMI WETU,NI KUBWA SANA!!
.

Kizuri zaidi ni Harrison Mwakyembe kupewa unaibu waziri.Sasa sijui atatwambia nini tena kuhusu ukwamishaji wa maendeleo wilayani kyela.Baado tatizo litakuwa ni mkuu wa mkoa wa mbeya?
 
Hamna kipya, ujinga ni ule ule na ndo maana hatuendelei Tz, yani hili ndo baraza la kuchukua siku 3 kuunda?
Zaidi ya yote sababu za kumuweka Magufuli na Mwakyembe wizara moja ndo nini? Ni watendaji walipaswa kupewa wizara tofauti, kwahiyo amewaweka pamoja ili wafunikane au ndo nini hasa?? THIS IS POLITICAL CONSPIRACY
Hapo kipya ni Prof. Tibaijuka tuu na Vuai ndo tutarajie kuuona utendaji wao wa tofauti, but still hili baraza ni upuuzi mtupu. Wamebadilishana wizara tuu ila ufisadi ni ule ule wanaendelea kulindana, ujinga mtupu!!
Yani hata Shukuru Kawambwa bado yupo?tena wizara nyeti km ile ya ulinzi japo hakuperform but still karudishwa? Jamani huu ushkaji unaishi lini???????? Dk. Mwinyi kafanya nini kwenye ulinzi kipindi kilichopita mpk arudi jamani, au kwa vile mtoto wa ba'mkubwa?

JK everyday you give us reasons to be disappointed by you, day by day..................
We wanted changes yet he gave us the curds that we have already chewed and got fed up with, very very very disappointing!!
 

Wanabodi,

Hatimaye Baraza jipya la Mawaziri ndio lianza kutangazwa sasa live kupitia TBC!
Endelea kufuatilia...

UPDATES:

  • Wizara ya maji imeunganishwa na Kilimo - Itakuwa Wizara ya Kilimo na umwagiliaji!
  • Kazi ajira na vijana - kitengo cha vijana kimehamishiwa michezo na utamaduni
  • Uwezeshaji wa wananchi (Baraza la uwezeshaji) - Ilikuwa wizara ya fedha, imebidi kuipunguzia Hazina mzigo huu na kulielekeza Ofisi ya Waziri Mkuu
  • Waziri wa TAMISEMI atakuwa na manaibu wawili
  • Wizara ya Miundo Mbinu imepunguzwa, imegawanyika kuwa na Wizara ya Ujenzi (barabara na viwanja vya ndege) & Wizara ya Uchukuzi - Reli, bandari na usafiri wa majini
  • Magufuli atachukua wizara ya Ujenzi na msaidizi wake ni Mwakyembe
  • Sitta atakuwa waziri wa Wizara ya ushirikiano wa Afrika Mashariki
  • Membe ataendelea kuwa waziri wa mambo ya nchi za nje
  • Ngeleja ataendelea kubaki wizara ya Nishati na Madini
  • Wizara ya Mambo ya Ndani atakuwepo Nahodha akishirikiana na Kagasheki
  • Anna Tibaijuka atakuwa waziri wa Wizara ya Ardhi na Makazi
  • Hakuna jina la Januari Makamba wala Lowassa kama wengi walivyokuwa wakishuku
WIZARA NA MAWAZIRI WAKE:
) Wizara ya ofisi ya utawala bora chikala
2) Wizara ya Mahusiano wassira
3) Wizara ya manegement  hawa ghasia
4) Wizara ya makamu wa rais  samia suluhu hassan
5) Wizara ya mazingira - therezia
6) Wizara ya waziri mkuu  william lukuvi
7) Wizara ya uwezeshaji nagu
8) Wizara ya tawala za mkoa mkuchika
9) Wizara ya fedha mkula, teu, amisilima
10) Wizara ya mambo ya ndani nahoza, kagasheki
11) Wizara ya katiba na sheria Kombani
12) Wizara ya nje membe
13) Wizara ya ulizi mwingi
14) Wizara ya mifugo mathayo d. Athayo
15) Wizara ya mawasiliano science makame, kitwanga(mawe matatu)
16) Wizara ya ardhi prof. Tibaijuka
17) Wizara ya maliasili maige
18) Wizara ya nishati ngeleja, malima
19) Wizara ya ujenzi Magufuli, Mwakyembe
20) Wizara ya uchukuzi Omary N
21) Wizara ya Viwanda na Biashara Chami-
22) Wizara ya Elimu Dk Kawambwa
23) Wizara ya Afya Hadji H Mpanda
24) Wizara ya Kazi Ajira Kabaka, Mahanga
25) Wizara ya Maendeleo ya jamii Sophia SImba
26) Wizara ya Elimu habari vijana na michezo Nchimbi
27) Wizara ya Ushirikiano EAC Sitta
28) Wizara ya Kilimo Magheme, Chiiza
29) Wizara ya Maji Prof Mwandozya
cham chita kwisa funga domo yake nasaangaa nini mbwa kwisa kula toto yake wewe lia nini?
 
Last edited by a moderator:
Sikiliza John, Maisha yana mambo mengi sana, Kuna wakati watu wanaweza kukuchukia bila sababu na wasione unachokifanya, Unaweza usikubalike tu, Mimi binafsi sijaona tatizo la Emma.
Tatizo la Ema ni kuwa ni muumini wa kundi la mafisadi,hana maslahi na wapiga kura wake bali akina nonino
 
Kwa hesabu ya haraka haraka kuna mawaziri na manaibu karibu ya 40. BARAZA NI KUBWA SANA, WIZARA NYINGI ZINAINGILIANA MAJUKUMU kwa hiyo kustahiki kuunganishwa.Kwa mfano:
Ujenzi na Uchukuzi, (Mawasiliano pia ingeliingia hapa);
Elimu na Sayansi
Kilimo, Mifugo,
Biashara, Viwanda, Nishati, Maliasili, Masoko

Muhimu si majina ya wizara, muhimu ni utekelezaji na ufanisi. Kazi kubwa mawizarani hufanywa na makatibu wakuu na wakurugenzi waendeshaji.
Ingawaje Tz inao utajiri mwingi na uwezo wa kudhibiti mapato yake lakini kutokana na mipango mibovu, tumebaki kuwepo hapa tulipo. Nilishangaa kwenye takwimu alizotoa JK siku anafungua bunge. Inakuwaje utajiri wa madini uiingizie fedha kidogo kuliko utalii? Kuna nini pale?Kwa kuwa wajanja ni wengi, kadiri wizara zinavyokuwa nyingi, ndivyo unavyoongeza wadokoaji (kwa heshima sitowaita wezi)
 
SITA , MWAKYEMBE, MAGUFULI, MEMBE, MWANDOSYA NA MWINYI NDAN. jE MTU ALIYEKO NJE YA BARAZA LA MAWAZI LA SASA ANAWEZA JIPANGA AKIWA NJE KWA 2015 KUPITIA CCM?
 
...Naona Mama Meghji amekwama mahali? Wenzake wote wawili alioteuliwa nao na mkulu kama wabunge wa viti vyake Kumi wamepata Wizara, yeye imekuwaje?? Kuna mtu alitia neno??
 
There are currently 1794 users browsing this thread. (416 members and 1378 guests)

Hi guests, UR welcome to JOIN & be MEMBERS!

Cheers...

By the way, can't see much in the Cabinet, but watch out for the Doctors in Ministry of Works (Dr Magufuli & Dr Mwakyembe).
They are not JK's favourites in terms of 'ushkaji', but Dr Magufuli usually performs wonderfully.
 
does it mean Mwakyembe na Pombe Magufuli ndio possible candidates 2015....!!!!!!!
 
ok thanks nilijuwa watairudisha umwagiliaji kilimo,kwani kule ilipotea,kawambwa ndani ya elimu? kweli sasa ni kushuka kwa elimu ndiko kutazidi
mapinduziii daimaaaa
Hapa kwenye kilimo na umwagiliaji amecheza lakini mtu aliyewekwa nina wasiwasi nae.
 
...January Makamba?
du inabidi tumkaribishe kwa maandamano shujaa wetu January atakaporudi Bumbuli yeye kakataa uwaziri amesema anataka kukaa Bumbuli kuwaletea wananchi maendeleo nasikia anahamia moja kwa moja Bumbuli bana Dar na safari za nje hazitaki,karibu Bumbuli mwanakwetu Dar kwa heri,huku hakuna haja ya viyoyozi baridi nechuro
 
15) Wizara ya mawasiliano science makame, kitwanga(mawe matatu)
hivi hii nayo ni wizara ya muungano, au hii makame ya rufiji kwenda songea?
 
Back
Top Bottom