Duh!! Shukuru Kawambwa - Wizara ya Elimu
Mbona Baraza kubwa sana
kuna mtu mwenye simu ya Lowasa hapa, au R. Aziz ?tuulizie maoni yaoWizara ya Ujenzi:
Waziri : Dk.John Pombe Maghufuli
Naibu Waziri : Dk.Harrison Mwakyembe
Hii safiii 100%
January Makamba kaangukia pua kama nilivyotabiri nyuma.
Sasa kampuni za rostam kukosa tenda za barabara kamili
There are currently 1146 users browsing this thread. (361 members and 785 guests)
Ebwana kumbe jf tunaipenda nchi na tuko nyuma ya viongozi wetu hata kama tunatofautiana kimaono, good tanzanians
Wanabodi,
Hatimaye Baraza jipya la Mawaziri ndio lianza kutangazwa sasa live kupitia TBC!
Endelea kufuatilia...
22) Wizara ya Elimu Dk Kawambwa
26) Wizara ya Elimu, habari vijana na michezo Nchimbi