Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,997
Hivi nchi ambazo zina barabara za juu kwa juu hazina msongamano wa magari? Je kuna njia nyingine rahisi ya kupunguza msongamano wa magari Jijini Dar bila kuanza ujenzi wa mabarabara ya juu kwa juu? Ni kitu gani kingine basi kilicho nyuma ya push hii ya kuwa na mabarabara ya juu kwa juu? Yawezekana ni kwa ajili ya picha (postcards) au kusema na "sisi tunazo"?