Kuboreshwa mabusi ya mwendokasi na kupandisha kodi za kuegesha magari kutapunguza sana msongamano na foleni jijini Dar

Mzee wa Twitter

JF-Expert Member
Nov 5, 2023
1,278
2,041
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni

1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.

Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.
 
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni
1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
bongo hatuwezi na hatutaweza kwa sasa hivi alafu wewe sio mtumiaji wa haya mabasi ya mwendo kasi ungekuwa mtumiaji wala usingejisumbua kuandika hili bandiko wale watu na mabasi yao ni wa hovyo sana.
 
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni
1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Inaweza ku work kama hayo mabasi ya first and second class yataingia mpaka mitaani kuwa fuata wateja wao.
Mtu ana gari yake lakini aiache nyumbani halafu apande boda kufuata kituo cha mwendo kasi kwa kusevu parking fee au aiache kituoni alipe parking fee ndogo kwa kuogopa kulipa kubwa ya mjini.
Zitakua hesabu za Pwagu na Pwaguzi hizó.
 
Kwamba haya mabasi 100 ndo yasababishe watu wapaki magari?
 
Mleta mada unakaa wapi?,ulishawahi kupanda mwendo kasi?,hiyo nyomi unaionaje achilia mbali muda wa kukaa kituoni kusubili mwendokasi?
 
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni
1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Mradi ambao ccm wanaweza ni kuiba pesa za walipa kodi n misaada...hayo uliyosema utasubiria mpka 2070
 
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni
1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni
1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Yaani hiyo point ya kupandisha parking fee ndiyo umeona cha msingi.Mbona mnapenda waongezea garama watu wanaotumia magari binafsi.Wewe kama huna gari usipende waletea mzigo wenye magari.Nilitegemea ungeongelea mji ubadilishwe kwa kuweka ofisi sehemu tofauti na mjini au kuongeza bara bara.Mtu anatoka bunju na ist yake yupo na mke,pengine watoto na ndugu unataka garama zote za kuhangaika toka bunju ndani hadi wapi kwenye mwendo kasi halafu nauli ingine na msongamano na kujazana. Hebu pia tuwaonee huruma wasio na magari nao wapate nafasi wote unataka tujazane humour.
 
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni
1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
Hiyo third class wameshindwa kuboresha wataweza kwenye luxury!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Haitasaidia chochote.
Kodi ya kuagiza gari ni sawasawa na bei ya gari lakini bado yananunuliwa.
Mtu aliyenunua gari kukwepa usumbufu wa kugimbania daladala hawezi kuacha gari nyumbani kisa kodi ya maegesho imepandishwa. Atapunguza bia moja, kifurushi cha gb, kutoka out na familia ili kufidia hilo gepu.
 
Kwa hali ya mwendokasi ilivyo kuna watu hawewezi kuyapanda. Ni bora agharamikie parking kubwa lakini aepuke kuyapanda.
Wakitaka kufanikisha hilo waweke huduma bora zaidi ikiwezekana kuwe na classes..first class ,second etc.

Na kibongo bongo hatuwezi. Huduma zitakuwa hovyo siku zote kama kawaida yetu.
 
Kwa hali ya mwendokasi ilivyo kuna watu hawewezi kuyapanda. Ni bora agharamikie parking kubwa lakini aepuke kuyapanda.
Wakitaka kufanikisha hilo waweke huduma bora zaidi ikiwezekana kuwe na classes..first class ,second etc.

Na kibongo bongo hatuwezi. Huduma zitakuwa hovyo siku zote kama kawaida yetu.
TUNAPANDA MWENDO KASI SBB WAMEONDOA DALADALA SI VINGINEVYO
 
Kwa hali ya mwendokasi ilivyo kuna watu hawewezi kuyapanda. Ni bora agharamikie parking kubwa lakini aepuke kuyapanda.
Wakitaka kufanikisha hilo waweke huduma bora zaidi ikiwezekana kuwe na classes..first class ,second etc.

Na kibongo bongo hatuwezi. Huduma zitakuwa hovyo siku zote kama kawaida yetu.
DALADALA ZA K/KOO NA POSTA ZINGEBAKI, MWENDOKASI ANGESOMA NAMBA.
 
Hakuna usafiri wa hovyo kuwahi kutokea bongo kama mwendo kasi,unawahi kituon gari linapita tu halina hata abiria,,wanajichelewesha ili mjae wapigiwe simu waje kuchukua abiria,hapo mshachelewa job/kurud nyumbani mnaanza kugombaniana full kukanyagana,kunusana vikwapa ,kupumuliana hatar sana ule usafiri labda walete mengine kwaajili ya first class (VIP) wapandishe nauli ndio watu wengine watapaki magari yao
 
Hakuna usafiri wa hovyo kuwahi kutokea bongo kama mwendo kasi,unawahi kituon gari linapita tu halina hata abiria,,wanajichelewesha ili mjae wapigiwe simu waje kuchukua abiria,hapo mshachelewa job/kurud nyumbani mnaanza kugombaniana full kukanyagana,kunusana vikwapa ,kupumuliana hatar sana ule usafiri
Huu usafiri ukishuka Baada ya safari Lazma upumzike kwanza Ili upumue kdg, umesubiri dk30 bus Kuja humo kwenye bus umebanwa hadi unapumulia jujuu hatari sana
 
Huu usafiri ukishuka Baada ya safari Lazma upumzike kwanza Ili upumue kdg, umesubiri dk30 bus Kuja humo kwenye bus umebanwa hadi unapumulia jujuu hatari sana

Watu wanazimiaga mule had huruma yan usafir umekua mateso kwa wananchi
 
Wadau nawasabahi.Mada yangu inajieleza hapo juu. Ili kupunguza Msongamano na foleni kubwa za magari jijini njia pekee yakuwafanya wenye Magari binafsi kuacha kuyatumia kuingia jijini na badala yake kutumia Mabus ya Mwendokasi ni
1.Kuongeza Ushuru wa PARKING na
2. KUBORESHA Mabus hayo kwa kuyapanga kwa makundi .Kuwe na Mabus ya first class Second na Third na NAULI zake ziwe tofauti kulingana na class yake.Pia Mabus ya Furst na Second class iwe marufuku kwa ABIRIA kubeba mizigo yoyote zaidi ya BEGI dogo la mkononi.Pia UJAZO wa Abiria iwe level seat na yawe ya EXPRESS kwa asubuhi tu jioni yawe ya kawaida na NAULI yake iwe KUBWA.Mabus ya kundi la 3 yaani ya Third class haya yawe na Nauli ya sasa na ujazo mkubwa kidogo wa Abiria na yasimame kila kituo na yawe mengi kwani Abiria wa Third class ni wengi sana.Endapo huu utaratibu utafanyika ni wazi Wenye Magari binafsi Watapanda Mabus ya Mwendokasi na watakuwa na uhakika wa KUWAHI ktk Shughuli zao na pia Wataogopa kulipa Gharama za PARKING kwani zitakuwa ni kubwa.Utaratibu huu upo duniani kote kuingia na gari Mijini ni Gharama sana ni hiyo gharama ndio inawafanya wenye Magari binafsi waache kuingia mijini na Magari yao na KUPANDA Mabus ya UMMA.

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app



Tatizo la Dar na miji mingine sio magari mengi ni barabara na mpangilio wa mji. Huwezi kuzuia watu kuwa na magari wakati ni muhimu kwa maisha ya kila siku. Barabara ziboreshwe na kukuzwa. Tanzania nzima magari hayafiki 2M wakati haya magari kwa wenzetu ni ya mji mmoja tu kama Houston, Texas.
 
Back
Top Bottom