Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,287
- 2,045
Wadau siku hizi kumekuwa na Mtindo wa Watu kufanya JOGGING Asubuhi maeneo mbalimbali ya JIJI.Kwanza nawapongeza kwani Wanaiweka imara Miili yao.
Pamoja na Kuwapongeza NAWALAUMU sana kwani Wamekuwa Chanzo cha USUMBUFU wa MAGARI Barabarani.
Wakati Wanafanya JOGGING wanapita KATIKATI ya Barabara na kusababisha FOLENI KUBWA ya Magari ikiwasubiri.Kumbuka Wao ni kama Wanastarehe lakini Wenye Magari wanakuwa wanataka KUWAHI kwenye SHUGHULI zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupeleka WAGONJWA Mahospitali lakini JOGGING huwachelewesha.
KERO hii nimekutana nayo MASAKI na OSYTERBAY kuna JIGGING GROUP ya Mtangazaji MAULID KITENGE ukweli imekuwa KERO KUBWA
Tunaliomba JESHI la POLISI Kitengo cha USALAMA BARABARA Itoe NENO juu ya haya MAKUNDI ya JOGGING Jijini DAR Yaheshimu Sheria za Usalama Barabarani ili kutokuwa KERO kwa WATUMIAJI wengine wa BARABARA ZETU na ukizingatia BARABARA ZETU nyingi SIO PANA.
Pamoja na Kuwapongeza NAWALAUMU sana kwani Wamekuwa Chanzo cha USUMBUFU wa MAGARI Barabarani.
Wakati Wanafanya JOGGING wanapita KATIKATI ya Barabara na kusababisha FOLENI KUBWA ya Magari ikiwasubiri.Kumbuka Wao ni kama Wanastarehe lakini Wenye Magari wanakuwa wanataka KUWAHI kwenye SHUGHULI zao mbalimbali ikiwa ni pamoja na kupeleka WAGONJWA Mahospitali lakini JOGGING huwachelewesha.
KERO hii nimekutana nayo MASAKI na OSYTERBAY kuna JIGGING GROUP ya Mtangazaji MAULID KITENGE ukweli imekuwa KERO KUBWA
Tunaliomba JESHI la POLISI Kitengo cha USALAMA BARABARA Itoe NENO juu ya haya MAKUNDI ya JOGGING Jijini DAR Yaheshimu Sheria za Usalama Barabarani ili kutokuwa KERO kwa WATUMIAJI wengine wa BARABARA ZETU na ukizingatia BARABARA ZETU nyingi SIO PANA.