Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Barabara za Tanroads na Manispaa,
Siyo mjuzi sana wa hii kitu. Ila kwa UELEWA wangu ni kuwa, Dar es salaam kuna barabara ziko chini ya manispaa na nyingine (chache sana) ziko chini ya Tanroads. Hivyo kwa mabango mengi yaliyopo Dar, si kweli kuwa yako chini ya Tanrods. Hayo mabango na hela ya kodi nina uhakika wanachukua timu ya Kandoro. Ila yote yaliyoko kwenye barabara zinazoenda mikoani au nchi za jirani (kwa ujuzi wangu, naomba mnisamehe kuwa SINTAZIITA HIGHWAY, kwani Tanzania hatuna HIGHWAY), hizo ndiyo zipo chini ya Tanroads.
Ili MUELEWE tofauti ya barabara za MANISPAA na za TANROADS, siku zote za Tanroads (barabara za taifa/kimataifa) zinaitwa BARABARA au ROADS, na zile za MANISPAA huwa zinaitwa MITAA au STREET/Evenue. Nchi nyingi duniani, STREETS au MITAA huwa zinashughulikiwa na serikali za mitaa/wilaya/mkoa na ROADS & HIGHWAYS huwa zinakuwa chini ya chombo ya SERIKALI/TAIFA kinachodesign, kujenga na kutunza hizo barabara/highway zake na kwa Tz kinaitwa TANROADS.
Nafikiri sasa mtafahamu nani wa kulaumiwa katika mambango ya Dar.
Siyo mjuzi sana wa hii kitu. Ila kwa UELEWA wangu ni kuwa, Dar es salaam kuna barabara ziko chini ya manispaa na nyingine (chache sana) ziko chini ya Tanroads. Hivyo kwa mabango mengi yaliyopo Dar, si kweli kuwa yako chini ya Tanrods. Hayo mabango na hela ya kodi nina uhakika wanachukua timu ya Kandoro. Ila yote yaliyoko kwenye barabara zinazoenda mikoani au nchi za jirani (kwa ujuzi wangu, naomba mnisamehe kuwa SINTAZIITA HIGHWAY, kwani Tanzania hatuna HIGHWAY), hizo ndiyo zipo chini ya Tanroads.
Ili MUELEWE tofauti ya barabara za MANISPAA na za TANROADS, siku zote za Tanroads (barabara za taifa/kimataifa) zinaitwa BARABARA au ROADS, na zile za MANISPAA huwa zinaitwa MITAA au STREET/Evenue. Nchi nyingi duniani, STREETS au MITAA huwa zinashughulikiwa na serikali za mitaa/wilaya/mkoa na ROADS & HIGHWAYS huwa zinakuwa chini ya chombo ya SERIKALI/TAIFA kinachodesign, kujenga na kutunza hizo barabara/highway zake na kwa Tz kinaitwa TANROADS.
Nafikiri sasa mtafahamu nani wa kulaumiwa katika mambango ya Dar.