Balali yuko HAI - He is not dead

Status
Not open for further replies.
Wewe ni great thinker kweli.Hata "common sense"tu inakuambia kwamba Balali yuko hai,au umetumwa.Huhitaji kuwa na akili nyiiingi.
Hana jipya marehem,atuandalie nafasi tu huko kuzimu,serikali sio wajinga na hawawezi kumchekea mtu ambae ataweza leta sintofahamu kwa wananchi wake nikimaanisha kuwa kama angekuwa hai ni muda tu serikali ingefanya kile tunacho kielewa,
huyo hayupo hai ni mtu mwingine tu ndiye anayetumia mtandao huo.
 
wanajua walioshiriki msiba huo, kama hakuna aliyeshiriki na yeye anasema yupo, yawezekana kweli akawa yu hai!
 
Hamna lolote hizo ni propaganda za magamba kutaka kuyumbisha cdm, shindwa na mlegee, yale yale ya kuibua ya watu kung'ang'aniana kwa ajili ya kuteka mawazo ya wadanganyika
 
he he tanzania bwana mara nyingi huwa kuna kuwepo na mambo mengi ya kuchekesha, hasa kunapokuwa na jambo muhimu la kujadili kitaifa huibuliwa mada ambazo lengo lake ni kufuta nguvu ya mada ambayo inakuwa imeshika hatamu.

utaweza kuona ilipokuwa habari ya ulimboka ipo juu mara ikaibuliwa habari ya mwangosi just kufuta uwovu fulani, haya hivi sasa ningezani swala la kuuliwa kwa wamachinga kule mwanza lingekuwa na nguvu kimsingi sasa amesha rudishwa maiti Balali kwenye habari.
 
Wewe ni great thinker kweli.Hata "common sense"tu inakuambia kwamba Balali yuko hai,au umetumwa.Huhitaji kuwa na akili nyiiingi.
nashukuru mkuu.
ila nachosema ni kwamba kwa sasa balali na osama hutowaona tena ktk uso wa dunia
 
Hivi watanzania mlishaona mtu anatangazwa amekufa ila maiti yake haionekani, maziko wala kaburi? Hii serikali ya wezi inajua kabisa kuwa watanzania ni mazuzu ambayo ukiyaambia chochote yanakubali na kukaaa kimywa. Serikali hii DHAIFU inajua wewe unatoka na tabasamu moto unahutubia utumbo na mazuzu yanakuchagua tu. Ikishindikana chapisha makura mengi na kujitangaza mshindi. Tena kusanya, hata mama na watoto kwenye uongozi hayupo wa kuhoji kabisa bora nchi inasonga kwa wizi na udanganyifu.
Ni hakika watanzania tunaamka taratibu. Hii nchi ni lazima ikombolewe pasipo utani na huu wizi utokomezwe mbali. Wezi wa EPA na wengine watajikuta wakizikwa kweli siku sii nyingi kwani wanatuunder estimate na kujigamba kwa wizi wao ambao umesababisha mamilioni ya watanzania kufa kila siku kwa kukosa huduma muhimu za kijamii.
 
uongo uongo wanini jamani. aah ndiyo ccm inatuchezea kama vikaragosi na nchi inazidi kudidia. hebu fikiria safu ya uongozi wa ccm, kinana, meghji etc.

aaa jamani tanzania hiii kweli sisi ni mararuma ya reli tu
 
Huyu jamaa! Yata mshinda huko aliko ngoja afe kweli alafu mwili uletwe bongo hahaha:D:D:D:D:D:D
 
Angesubiri jk amalize muda ndo afufuke, sasa yeye anafufuka sahivi si balaa hili? labda alikuwa anapima upepo.
 
sikuwahi kuona picha za marehemu wala waombolezaji, napata shida kuamini kama ni kweli alifariki lakini pia sitaki kuamini kwamba ndiye yeye Balali anaye tweet.
 
Balali hajafa alifichwa tu kuepusha vita nchini kwa kuwa mtu mzima ilihusika na angeshikwa pabaya. Huo msiba gani hata ndg wa kuzaliwa walinyimwa kuhudhuria? Tena kiongozi mkubwa kama yy azikwe tz wasione hata kwny tv? Anakufa msanii tu watu wote tunaona sembuse balal! Acheni zn ndg walipewa pesa watulie basi na kweli walifanikiwa ujanja wao. Hajafa.
 
Ningepeda nijiridhishe kwamba Daudi Balali kweli hayup duniani au bado you hai anadunda.
a) Hatujawahi kuona geneza lake huko marekani likiwa na mwili wa marehemu
b) Hatujawahi kuona kaburi lake ambalo wanadai lipo marekani

jE hii ni janja ya serikali kumficha ili kufifisha ushahidi wa kesi za EPA?? Mwenye info azimwage hapa ukweli ujulikane.


https://twitter.com/daudibalali
 
Wabongo tunajua kuwa Bw Balali ni marehemu. Alifariki na kuzikwa USA, hakuna aliudhuria hayo mazishi wala kupatikana kwa picha za hayo mazishi.

Hivi karibuni kupitia mtandao wa twitter kajitokeza mtu anayedai kuwa yeye ni Bw Balali. Kuna gazeti liliandika kuhusu hiyo ishu. Cha ajabu bado huyu mtu anaendelea kutoa "tweets" kila mara.

Na leo kaweka picha anasoma kitabu pande za kwa obama. Je kama kweli huyu jamaa is indeed ALIVE! inakuwaje hapo ndugu zangu watanzania?

wewe unadi inasemekana usilete humu kitu ambacho hujakithibitisha
 
Mnhhhh....kuna vijana wachache wapigania chama chao, ili la Balali linawagusa pabaya. They will never give comments on this.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom