Bakhresa group mfano mzuri wa kuigwa

kuna mtu humu jf alianzisha thread inayoorodhesha watu 'wakwasi' lakin walio i 'screw up' tanzania.

vipi, hatuwezi anzisha thread ingine inayoorodhesha watz waliofanikiwa bila ku 'screw up' tz?

humo tunaweza ona kama bakhrehsa atakuwemo au la. kina mengi na nk.

kama mtu anamjua mtz anayeendesha shughuli zake amseme na ikiwezekana aseme amefanikiwaje etc

yupo mtu kama Saul wa Landmark, sidhani kama jamaa ana trace za ufisadi lakini ni tajiri
 
yupo mtu kama Saul wa Landmark, sidhani kama jamaa ana trace za ufisadi lakini ni tajiri

Kituko,

Pesa ya Sauli ni dili la Muluzi aliyekuwa Raisi Malawi ambae kesi ya Muluzi iko mahakamani sasa hivi!

Sauli sii msafi kiasi hicho!
 
Kwa msemo wa wafanyabiashara wengi ......ukifanya biashara halali kwa kulipa kodi inavyotakiwa Tanzania si rahisi kuwa tajiri kiasi hicho.....Malalamiko ni kuwa kodi ni kubwa sana na zinavutia ukwepaji kwa kila mfanyabiashara anayepata nafasi au kwa kupitiaajenti wake ndani ya TRA.....

Ninavyosikia mtego huu wa kukwepa kulipa kodi inavyotakiwa unawanasa wafanyabiashara wengi sana, na kwa namna inaweza kutoa picha kuwa wengi utajiri wao una walakini.

Sijui wana JF kuna ukweli wowote ju ya hili?
 
wakati wewe unasema hivyo serikali kwa upande wake inasema ni mmoja wa walipa kodi wakubwa Tanzania (yaani yupo kwenye top 10)
Product zake nyingi zimethibitiswa na TBS na ISO na URS
naomba uthibitisho wa mtu mmoja aliekufa kwa sababu ya Bakhresa Product.
Thanks


Hivi kumbukumbu zangu zinanikumbusha Mkemia Mkuu wa Serikali, somebody Fupi alikufa kwa kusema ukweli juu ya chakula kibovu !!! Hakukuwa na mkono wa Bahresa na Mohamed interprise?? hebu tukumbushane hapa!!!!
 
Mwanakjj naona unawataka watu wote wawe wanasiasa....na kama wafanya biashara lazima wachanganye biashara zao na SIASA kama za Mh.Mengi...either unataka kuifanya hii thread itoe "thanks" kwa Mengi anaetaka yote mawili...SIASA na BIASHARA.... otherwise endelea na msimamo wako....i do believe kukaa kimya kwa bakhresa na ana-conconcentrate na biashara zake ni much better...

Kuna msemo "concentration is one of the key of success"...Waswahili wanasema mtaka mawili moja humponyoka..."....Kama iman yako asiepayuka ktk SIASA basi nae fisadi...basi wewe nadharia nzima ya ufisad huijui au utakuwa na definition zako.

Kwa mnaosema asaidie ZNZ sijui mwataka afanye nini...ameweka MELI mda mrefu na ndio meli pekee iliyobora na haraka.nafikri Mengine Mh.Mwiba ameweka uzuri juu ya Chuki binafsi za SMZ....Meli ya SMZ taabani...kwa muda mrefu sasa.

Kuhusu Misaada jamaaa anatoa kwa wote...mwaka Jana au Juzi ametoa 400million kwa shule/Chuo cha kikristo hii habari ni public.kwa wenye muda waitafute ktk google....Misaada si muhim kutoa public....Ile ya pale K.Koo n style ya zaman ambayo sasa haifanyiki tena....Kama utaratibu wa Bakhresa ungekuwa ni kutoa misaada kwa waislam pekee, basi Mda mrefu tu wakristo wangeanza kumpiga vita.

kwa mtu anaesema kuhusu NMS...hizo bado ni tuhuma ambazo ni vigumu kuzithibitisha....otherwise wahusika waje na ushahidi. pia kama kununua Maghala yasio na chochote na we ukayaendeleze bado hapo unaonekana ufisadi..OK twendeni..

Kuhusu KODI.....kwa taarifa ambazo ninazo ni kuwa ukiwatoa TBL na TCC, yeye ndie anaefuata kulipa kodi kubwa.
Unaposema anakwepa KODI lazima ulete vigezo otherwise tutakachoona n kuwa Majungu na Chuki zisizo na msingi. kwa taarifa ingine ni mfanyabishara pekee ambae hana MIKOPO YA BANK....kwa wenye marafiki huko Mabenk mnaweza kuwauliza....ni hivi karibuni tu ameanza kujiingiza ktk Biashara za hovyo za STOCK market.....(na huko ndipo atakapopigwa DAFU LAO)

Kuhusu Ubora na watu KUFA, nafikiri wadau tuwe serious. Ushahidi huu hadi sasa haupo.kama upo, waandish wote wamehongwa wasitoe data hizo? unazo wewe Ogah peke yako?....pls kama unazo tusaidie.

Pia khs ubora nafikiri vitu ambavyo vinajadilika...kwanza inabidi tutatue tatizo la Msingi TBS....kuna matatizo Mengi ktk Ubora wa vitu vingi...na hapa si tu TBS bali hata maafisa wa AFYA wa Halmashauri wa Jiji.Binafsi ni mtu wa viwango si mchezo....the way ninavyotembea na watu tukifika ktk Mgahawa tukianza kuchambua...ni hatari..bahati mbaya ...Watz tumekuwa hatuna Viwango...na ukigomba viwangoa rafiki zako watakuona unajiona sana.

Fikeni ktk Migahawa wadau mjionee.....Huwezi amin watz hata KUOSHA VIKOMBE vya CHAI hatuwezi...vikombe vimejaa ukungu...na ukisema unaonekana wewe tatizo....same sometimes hata mikate ya bakhresa pia inakuwa mibovu..either from day 1 au sie wengine huku Tandika tulipo tunaletea ishakaa siku 2 au 3....

Bro Nenda soko la lolote ukajionee watu wanavyomwaga mchele au unga Hovyo.....Magunia hayana size...Lumbesa...hadi unajiulza TBS wako wapi?...ila TBS ukitaka uwajue Lete gari lako kutoka UK, then uone kasheshe lake....
This JF.
 
Mwanakjj naona unawataka watu wote wawe wanasiasa....na kama wafanya biashara lazima wachanganye biashara zao na SIASA kama za Mh.Mengi...either unataka kuifanya hii thread itoe "thanks" kwa Mengi anaetaka yote mawili...SIASA na BIASHARA.... otherwise endelea na msimamo wako....i do believe kukaa kimya kwa bakhresa na ana-conconcentrate na biashara zake ni much better...

Kuna msemo "concentration is one of the key of success"...Waswahili wanasema mtaka mawili moja humponyoka..."....Kama iman yako asiepayuka ktk SIASA basi nae fisadi...basi wewe nadharia nzima ya ufisad huijui au utakuwa na definition zako.

Kwa mnaosema asaidie ZNZ sijui mwataka afanye nini...ameweka MELI mda mrefu na ndio meli pekee iliyobora na haraka.nafikri Mengine Mh.Mwiba ameweka uzuri juu ya Chuki binafsi za SMZ....Meli ya SMZ taabani...kwa muda mrefu sasa.

Kuhusu Misaada jamaaa anatoa kwa wote...mwaka Jana au Juzi ametoa 400million kwa shule/Chuo cha kikristo hii habari ni public.kwa wenye muda waitafute ktk google....Misaada si muhim kutoa public....Ile ya pale K.Koo n style ya zaman ambayo sasa haifanyiki tena....Kama utaratibu wa Bakhresa ungekuwa ni kutoa misaada kwa waislam pekee, basi Mda mrefu tu wakristo wangeanza kumpiga vita.

kwa mtu anaesema kuhusu NMS...hizo bado ni tuhuma ambazo ni vigumu kuzithibitisha....otherwise wahusika waje na ushahidi. pia kama kununua Maghala yasio na chochote na we ukayaendeleze bado hapo unaonekana ufisadi..OK twendeni..

Kuhusu KODI.....kwa taarifa ambazo ninazo ni kuwa ukiwatoa TBL na TCC, yeye ndie anaefuata kulipa kodi kubwa.
Unaposema anakwepa KODI lazima ulete vigezo otherwise tutakachoona n kuwa Majungu na Chuki zisizo na msingi. kwa taarifa ingine ni mfanyabishara pekee ambae hana MIKOPO YA BANK....kwa wenye marafiki huko Mabenk mnaweza kuwauliza....ni hivi karibuni tu ameanza kujiingiza ktk Biashara za hovyo za STOCK market.....(na huko ndipo atakapopigwa DAFU LAO)

Kuhusu Ubora na watu KUFA, nafikiri wadau tuwe serious. Ushahidi huu hadi sasa haupo.kama upo, waandish wote wamehongwa wasitoe data hizo? unazo wewe Ogah peke yako?....pls kama unazo tusaidie.

Pia khs ubora nafikiri vitu ambavyo vinajadilika...kwanza inabidi tutatue tatizo la Msingi TBS....kuna matatizo Mengi ktk Ubora wa vitu vingi...na hapa si tu TBS bali hata maafisa wa AFYA wa Halmashauri wa Jiji.Binafsi ni mtu wa viwango si mchezo....the way ninavyotembea na watu tukifika ktk Mgahawa tukianza kuchambua...ni hatari..bahati mbaya ...Watz tumekuwa hatuna Viwango...na ukigomba viwangoa rafiki zako watakuona unajiona sana.

Fikeni ktk Migahawa wadau mjionee.....Huwezi amin watz hata KUOSHA VIKOMBE vya CHAI hatuwezi...vikombe vimejaa ukungu...na ukisema unaonekana wewe tatizo....same sometimes hata mikate ya bakhresa pia inakuwa mibovu..either from day 1 au sie wengine huku Tandika tulipo tunaletea ishakaa siku 2 au 3....

Bro Nenda soko la lolote ukajionee watu wanavyomwaga mchele au unga Hovyo.....Magunia hayana size...Lumbesa...hadi unajiulza TBS wako wapi?...ila TBS ukitaka uwajue Lete gari lako kutoka UK, then uone kasheshe lake....
This is JF.
 
Mboka Manyema,

..ninachozungumzia mimi ni Bakhresa kuwapa wananchi wenzake "ndowana" wavue, siyo "samaki" wale.

..la kwanza, ingependeza kama angefungua viwanda Zanzibar na kuajiri wananchi huko.

..la pili, binafsi ningefurahi sana kama Bakhresa angesaidia katika ujenzi wa shule,zahanati,miradi maji, utunzaji misitu na vyanzo vya maji etc.

Mi nadhani hizi ni fikra za kitumwa na tegemezi.

Let the man mind his own business as long as anafuata sheria za nchi.

Kuna mamlaka husika zilizopewa majukumu ya kukusanya kodi na kutoa huduma muhimu kwa umma.
 
Ushaleta suala la udini hapa.We kwako kila kitu ni waislam waislam...Kata issue,kama huna la maana just SHUT UP!

Relax mkuu.

Hapa JF we are free to talk openly on any subject. Constructively ofcourse.
 
Naskia ukitaka kufanya any business na Bakhressa at wholesale na sub-wholesale level, sharti uwe Muislam.

Kuna watu inabidi wajipachike majina ya kiislam ili wafanye biashara na Bakhressa.
 


kitu anachokifanya mengi cha kuwashutumu hawa mafisadi ni muhimu sana kwa nchi kama TZ ambayo watu walioelimika na kuelewa ni kidogo sana.
mafisadi njia wanayoitumia ni kukaa kimya kwa ajili wanajua watanzania watasahau na story itakwisha.
kitu anachokifanya mengi ni kuhakikisha wa TZ hawasahau na story haiishi na ndio maana makamba anang'ang'nia kusema imekwisha.
wafanyabiashara wa TZ waige mfano wa mengi na sio kwa ajili wao wanapata basi hawawajali wananchi wala nchi, pesa zinaibiwa wao wanakaa kimya tu....
nchi yeyote inakuwa kutokana na wazalendo.....
jamii iliyoelimika na ya matajiri TZ kazi yake kubwa ni vimisaada midogomidogo ili waaonekane wanasaidia, kama unataka kumsaidia mTZ kwa dhati lazima upambane na mafisadi
baharesa amechomewa unga amekaa kimya....
mengi amekataliwa kununua KLM Hotel na mambo kibao lakini hajakaa kimya ndio kwanza ameongeza GIA, na ana risk mambo yake mengi tu, huu ndio uzalendo.....
wafanya biashara waliokaa kimya sio wazalendo........
mengi ana wazo zuri ila tatizo hii vita ya ufisadi imekuwa personalized mnoo..

siwapendi mafisadi lakini siungi mkono kelele za kupinga ufisadi zinavyofanyika.

mfano binafsi yangu hakuna ufisadi mbaya na mkubwa kama unaofanyika kwenye HALMASHURI ZETUU...fedha za maendeleo ya maji, barabara, afya, elimu hazifikii zaidi ya watu wachache (madiwani, watendaji wa halmashauri) kujilipa kwa vikao na tenda zao..

je mengi yupo wapi kukemeaa ufisadiii huu unaoumizaaa wananchi moja kwa mojaaaa kati maeneo husikaa...
 
Wadanganyika tuache mawazo ya kimaskini kwamba matajiri wengi tz ni mafisadi ama walishawahi kufanya dili chafu hapo nuyuma (either kukwepa kodi ama vypvyote vile). Kuna watu wanataka kujustify umasikini wao hapa (relatively) kwa kutuaminisha kwamba kila mwenye nacho basi kakipata ktk njia chafu.
Kuhusu ishu ya kodi, kwa jinsi ninavyofahamu biashara ama mfanyabiashara yeyote yule especially those who run their business professionally would manage their business in such a way to minimize tax thru legal means (Tax avoidance), na ndio maana kuna ma tax consultant wana JF.

Challenge ni kwa serikali ku manage vizuri hiyo kodi inayokusanywa ili iweze kufanya kazi inayotarajiwa na walipa kodi pamoja na wananchi kwa ujumla. Nawashangaa watu wanaomlaumu Bakharesa kwa kutosaidia shule,zahanati n.k huku pemba na unguja!! Jamani tuangalie ni kiasi gani cha vijana wa kitz waliopata ajira kupitia miradi ya Bakharesa, zunguka miji yote ya tz sasa hivi vijana wanashukuru uwepo wa huyu jamaa. Sasa hivi vijana wetu wabeba zege waliotapakaa mijini wanaweza angalau wakapata maji safi na salama kwa bei nafuu, na kuepukana na magonjwa mengi tu.

Kwa kifupi jamaa ameleta bonge la positive impact kwa watu wa chini kabisa!! Long live Bakharesa and your investments
"Hata foleni za darisalam sasa hivi hazichoshi sana kutokana na uwepo wa rambaramba kina kona ya jiji" (just kidding)
 
Nadhani wale waliotunga zile methali za kusema kiendacho kwa mganga.... na ile ya mavi ya kale..... walituandaa ktk hili maana walijua endapo kizazi kitafukuafukua na kupata mizizi ya shina (hata kama mti ukishakatwa) basi tujue kuwa shina hilo halitakua mti mkubwa tena... nani kasemaaa??
Hapa tunataka kuithibitishia dunia kwamba nchi yetu si masikini kihivyo ila tumekosa uongozi tulivu....
 
Kikojozi said:
Mi nadhani hizi ni fikra za kitumwa na tegemezi.

Let the man mind his own business as long as anafuata sheria za nchi.

Kuna mamlaka husika zilizopewa majukumu ya kukusanya kodi na kutoa huduma muhimu kwa umma.

Kikojozi,

..siyo mawazo ya kitumwa kumshauri Bakhresa kusaidia ktk shughuli za ujenzi wa taifa kama ujenzi wa mashule, vyuo, zahanati, au hospitali.

..Tanzania tuko nyuma ktk masuala ya Philantophy. kuna jitihada zimeanza kuonekana lakini zinaelekezwa zaidi ktk michezo na siyo huduma za jamii.

..nakushauri utafiti historia ya tajiri wa Marekani Andrew Carnegie ambaye alitoa mchango mkubwa ktk kuanzisha Carnegie Mellon Univ utaelewa nazungumzia kitu gani.

..uko sahihi kwamba kuna taasisi za serikali zinazoshughulika na utoaji huduma za jamii. lakini sidhani hata siku moja itafika tukaelemewa na wingi wa mashule,hospitali etc etc. kwa msingi huo bado tunapaswa kuhimiza michango ya watu binafsi.
 
Kikojozi,

..siyo mawazo ya kitumwa kumshauri Bakhresa kusaidia ktk shughuli za ujenzi wa taifa kama ujenzi wa mashule, vyuo, zahanati, au hospitali.

..Tanzania tuko nyuma ktk masuala ya Philantophy. kuna jitihada zimeanza kuonekana lakini zinaelekezwa zaidi ktk michezo na siyo huduma za jamii.

..nakushauri utafiti historia ya tajiri wa Marekani Andrew Carnegie ambaye alitoa mchango mkubwa ktk kuanzisha Carnegie Mellon Univ utaelewa nazungumzia kitu gani.

..uko sahihi kwamba kuna taasisi za serikali zinazoshughulika na utoaji huduma za jamii. lakini sidhani hata siku moja itafika tukaelemewa na wingi wa mashule,hospitali etc etc. kwa msingi huo bado tunapaswa kuhimiza michango ya watu binafsi.

Mkuu Joka,

Nakubaliana na wewe to some extent. Sina problem na Bakhressa kushauriwa.

Nnachosisitiza ni hiyo philanthropy afanye kwa hiari yake, sio kwa kushinikizwa eti kwasababu ana pesa nyingi.

Awe na uhuru wa kuitumia pesa yake atakavyo ilimradi havunji sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom