Ndugu zetu wenye asili ya kiasia wanaweza kufikiri wanabaguliwa kwa kutajwa na mengi kwenye "shame list" lakini mfano mzuri wa mfanyabiashara wa Kitanzania mwenye asili ya kiasili ambaye hatujamsikia kwenye ufisadi wala kashfa ya wizi ni Bakhresa. Mimi kama Mtanzania napongeza wafaqnyabiashara wote wanaofanya biashara kihalali na ninapinga vikali ufisadi.