Kituko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2009
- 9,555
- 9,331
kuna mtu humu jf alianzisha thread inayoorodhesha watu 'wakwasi' lakin walio i 'screw up' tanzania.
vipi, hatuwezi anzisha thread ingine inayoorodhesha watz waliofanikiwa bila ku 'screw up' tz?
humo tunaweza ona kama bakhrehsa atakuwemo au la. kina mengi na nk.
kama mtu anamjua mtz anayeendesha shughuli zake amseme na ikiwezekana aseme amefanikiwaje etc
yupo mtu kama Saul wa Landmark, sidhani kama jamaa ana trace za ufisadi lakini ni tajiri