Landson Tz
JF-Expert Member
- May 8, 2011
- 295
- 221
Bajeti imeingilia maisha ya watu ambayo tayari ni magumu kuwahi kutokea katika kipindi cha miongo kadhaa iliyopita.
Bajeti imeweka kodi katika bidhaa ambazo bei zake ni kero kubwa kwa wananchi kuwahi kutokea tangu nchi ipate uhuru;
1. Kupandisha kodi ya mafuta kwa hali ya mafuta ilivyo sasa ni kukosekana kwa huruma na ni kumkomoa mwananchi.
2. Kuongeza kodi kwenye sement, jamani sawa bwana.
3. Hata taulo za watoto, haya bwana.
Landson TZ
Bajeti imeweka kodi katika bidhaa ambazo bei zake ni kero kubwa kwa wananchi kuwahi kutokea tangu nchi ipate uhuru;
1. Kupandisha kodi ya mafuta kwa hali ya mafuta ilivyo sasa ni kukosekana kwa huruma na ni kumkomoa mwananchi.
2. Kuongeza kodi kwenye sement, jamani sawa bwana.
3. Hata taulo za watoto, haya bwana.
Landson TZ