Ishina
Senior Member
- Dec 27, 2011
- 169
- 57
Ulinzi mbona kubwa sana? Vita hakuna, Idi Amini alishakufa. Shule za kata hazina walimu na nyumba. Tunashindwa kusomesha watoto wa mkulima (Akina pinda, hawatkuwepo tena). Naona cheche tupu. Kicwa kinauma sasa.Wizara ya Ulinzi Tshs 920 bilioni (USD 575 Million)
Waitoe hiyo Wizara ya Ulinzi na hapo Wa-replace Wizara ya Kilimo. au wanataka tena kwenda kununua mabomu yaliyo-expire yaje yalipuke tena?! Tuanze kuwa Serious na kilimo kama kweli tunataka kuendelea. Kwa nchi yetu ili iweze kuendelea inabdi pia na Kilimo kipewe kipaumbele. Ni Sehemu ambapo watanzania walio wengi wamejiajili (wengi wao productivity yao ni kidogo saaana).