Bado Kidogo 2015
JF-Expert Member
- May 24, 2012
- 207
- 78
Wanajamvi kwa pamoja, heshima zenu.
Nimeshwawishika kuandika uzi huu baada ya magazeti mengi ya leo kuandika bajeti ijayo ya 2012/2013 itakuwa 15trl na hapa nalinukuu gazeti la Mwananchi "BAJETI ya Serikali ya mwaka 2012/2013 inatarajiwa kutumia Sh15 trilioni katika vipaumbele saba ikilinganishwa na Sh13.5 trilioni zilizotengwa mwaka 2011/212"
Suala la msingi katika uzi wangu ni hili. Hivi hii bajeti ni ya kuongeza figure tu au ina lengo la kumkomboa mwananchi wa chini? Mwaka jana wa fedha bajeti ya 13trl ni bajeti ilikuwa inaonekana kama mkombozi lakini katika bajeti hewa nadhani ile ilikuwa inaongoza.
Mpaka hivi sasa taasisi nyingi za serikali zipo hoi yaani zinashindwa hata kujiendesha kwa vitu vidogo vidogo, almost kila kitu kinakwenda kwa mkopo!!!!
Ukiacha hilo, miradi ya maendeleo ndiyo safari hii haikuguswa kabisa. Mingi ni kama imetelekezwa kutokana na uhaba wa fedha toka serikalini. Ikumbukwe bajeti hiyo haikutengenewa fedha ya mradi wa miaka 15 ambao ulizua balaa bungeni kwa nini uzinduliwe mwaka huu (2011/2012) lakini fedha yake isitengwe katika bajeti hiyo hali iliyoilazimu serikali kutoa majibu ya ziada.
Kutokana na baadhi ya ushahidi huo nashawishika kusema bajeti ijayo ya 15trl isn just a figure but nothing.
Nakaribisha maoni yenu wakuu.
Nimeshwawishika kuandika uzi huu baada ya magazeti mengi ya leo kuandika bajeti ijayo ya 2012/2013 itakuwa 15trl na hapa nalinukuu gazeti la Mwananchi "BAJETI ya Serikali ya mwaka 2012/2013 inatarajiwa kutumia Sh15 trilioni katika vipaumbele saba ikilinganishwa na Sh13.5 trilioni zilizotengwa mwaka 2011/212"
Suala la msingi katika uzi wangu ni hili. Hivi hii bajeti ni ya kuongeza figure tu au ina lengo la kumkomboa mwananchi wa chini? Mwaka jana wa fedha bajeti ya 13trl ni bajeti ilikuwa inaonekana kama mkombozi lakini katika bajeti hewa nadhani ile ilikuwa inaongoza.
Mpaka hivi sasa taasisi nyingi za serikali zipo hoi yaani zinashindwa hata kujiendesha kwa vitu vidogo vidogo, almost kila kitu kinakwenda kwa mkopo!!!!
Ukiacha hilo, miradi ya maendeleo ndiyo safari hii haikuguswa kabisa. Mingi ni kama imetelekezwa kutokana na uhaba wa fedha toka serikalini. Ikumbukwe bajeti hiyo haikutengenewa fedha ya mradi wa miaka 15 ambao ulizua balaa bungeni kwa nini uzinduliwe mwaka huu (2011/2012) lakini fedha yake isitengwe katika bajeti hiyo hali iliyoilazimu serikali kutoa majibu ya ziada.
Kutokana na baadhi ya ushahidi huo nashawishika kusema bajeti ijayo ya 15trl isn just a figure but nothing.
Nakaribisha maoni yenu wakuu.