BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,376
- 8,118
Mwigulu amesema hayo bungeni akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango wa bajeti ya mwaka 2024/25.
Ni jangili fulaniBila chuki wala hiyana, huyu Mh. anayeitwa Mwigulu Nchemba sijawahi kumkubali.
Ukitazama kikao kilichofanyika baina ya serikali na wafanyabiashara wa Karia Koo huyu jamaa ana uelewa mdogo sana!
Yaani ni mtupu kabisaaaaa! Ni kiburi tu cha chama Tawala ndicho kinachomlinda.
Kuliombea taifa la Israel ili iweje?Tuzidi kuliombea taifa la Israel
Waambie wapunguze ubaguzi kwa wayahudi wenye asili ya afrika kwa maana ya waethiopia. Waliwakuta pale wakati wanaingia Israel wakiwa miguu peku wanatia huruma.Tuzidi kuliombea taifa la Israel
Wayahudi wa Ethiopia ndio hawa Akina Tundu Lisu na KagameWaambie wapunguze ubaguzi kwa wayahudi wenye asili ya afrika kwa maana ya waethiopia. Waliwakuta pale wakati wanaingia Israel wakiwa miguu peku wanatia huruma.
Wakumbushe wayahudi wasisahau kuwa waethiopia wamekuwa wakiishi pale tangu miaka ya Yesu, na inakisiwa kuwa Nabii Issa ni mtu mwenye asili ya Ethiopia, wapunguze hizo sera za kizayuni ambazo zinapeleka ubaguzi mpaka kwenye vikao vya UN.
Vizazi vingi kurudi nyuma labda. Kagame ana akili nyingi.Wayahudi wa Ethiopia ndio hawa Akina Tundu Lisu na Kagame
we ulitakaje?Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema serikali inatarajia kukusanya na kutumia TZS trilioni 47.4 katika bajeti ijayo. Mapato ya ndani yanatarajiwa kuwa TZS trilioni 34.4, washirika wa maendeleo wanatarajiwa kuchangia TZS trilioni 4.29 na mikopo ni TZS trilioni 8.3.
Mwigulu amesema hayo bungeni akiwasilisha mapendekezo ya mwongozo wa maandalizi ya mpango wa bajeti ya mwaka 2024/25.
Afu haitwi hivo.. hilo jina ni alifeli shule tu akarudie kwa hyo usishangae kumuona hana akiliNi jangili fulani
Waambie wapunguze ubaguzi kwa wayahudi wenye asili ya afrika kwa maana ya waethiopia. Waliwakuta pale wakati wanaingia Israel wakiwa miguu peku wanatia huruma.
Wakumbushe wayahudi wasisahau kuwa waethiopia wamekuwa wakiishi pale tangu miaka ya Yesu, na inakisiwa kuwa Nabii Issa ni mtu mwenye asili ya Ethiopia, wapunguze hizo sera za kizayuni ambazo zinapeleka ubaguzi mpaka kwenye vikao vya UN.
Tuzidi kuliombea taifa la Israel