William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Thread starter
- #61
Mkuu pamoja na kuwa una hoja ktk baadhi ya sehemu, lakini naona lengo lako kubwa ni kupambana na wapinga posho!! Sababu hata unavyoisemea posho ni kama watu wanapinga wabunge tu kuichukua, adhari za posho zimeelezwa sana lakini unaonyesha kuzifumbia macho kama vile hazipo, mkuu shibe ya hao wabunge ni sababu mojawapo inayawafanya wafumbie macho uozo ktk taasisi mbalimbali. Nitakupa mfano mmoja, Chenge alikuwa anapokea posho zote wakati aliposhiriki kuliibia taifa...! Na hii lugha yako ya kufuta vyama vyote ndiyo lugha ya ccm!! Kumbuka wakiwatisha wananchi kuwa wakichagua wapinzani amani itatoweka!! Kwa ccm ni wao au wakose wote... Lugha hii watanganyika wengi tumeishtukia...
- Haya ni maoni yako na ni haki yako kuwa nayo, mimi nimesema yangu sasa ni Taifa kwanza sio mimi, mimi sio kiongozi! na wala sigombei anything!
Willie @ NYC, USA.