Ni kama taifa la wendawazimu flani hivi, maana hata huwezi kusema ni walevi kwa sababu mlevi akiamka asubuhi huwa anakuwa mzima na productive tena, sisi taifa tupo pale pale tunazunguka tu kama taili la gari, na wale wasomi wetu ndio bure kabisaa, mijina mikubwa lakini hakuna faida yoyote kwa taifa. Bunge limejaa ma-Doctor, Wanasheria, Wahandisi, mpaka Wachumi, lakini mpaka leo umeme hakuna, ujanja ujanja tu na ujinga ujinga na kutafuta majibu rahisi rahisi ndio vimetutawala hili taifa
Watanzania ni watu makini sana; tunachokosa ni mwelekeo wa nini tunakitaka na tumetawaliwa na woga wa kutaka mabadiiliko; Ni kweli bunge letu lina Madokta, wachumi na wahandisi kibaya ni kuwa idadi yao wamezidiwa na wabunge vilaza hao idadi ya ni kubwa na inatisha na ndio wanaoligeuza bunge kuwa rubber stamp, kinachafanyika wakati wa vikao vya wabunge CCM ikiletwa hoja ya kuipinga serikali hutokea mbunge mmoja kilaza anachosema CCM JUU vilaza wengine wakiitikia kwa shangwe hoja imekwisha. Tunahitaji viongozi wenye upeo wa kuelewa wajaribu kuiga nchi kama Ghana inavyopiga hatua, hatuna haja kuiga Rwanda; Kagame anatumia zaidi AK47 na JELA kuhakikisha watendaji wa serikali wanatekeleza majukumu yao lakini kama ikibidi na iwe hivyo.
Chama
Gongo la Mboto DSM
Watanzania ni watu makini sana; tunachokosa ni mwelekeo wa nini tunakitaka na tumetawaliwa na woga wa kutaka mabadiiliko; Ni kweli bunge letu lina Madokta, wachumi na wahandisi kibaya ni kuwa idadi yao wamezidiwa na wabunge vilaza hao idadi ya ni kubwa na inatisha na ndio wanaoligeuza bunge kuwa rubber stamp, kinachafanyika wakati wa vikao vya wabunge CCM ikiletwa hoja ya kuipinga serikali hutokea mbunge mmoja kilaza anachosema CCM JUU vilaza wengine wakiitikia kwa shangwe hoja imekwisha. Tunahitaji viongozi wenye upeo wa kuelewa wajaribu kuiga nchi kama Ghana inavyopiga hatua, hatuna haja kuiga Rwanda; Kagame anatumia zaidi AK47 na JELA kuhakikisha watendaji wa serikali wanatekeleza majukumu yao lakini kama ikibidi na iwe hivyo.
Chama
Gongo la Mboto DSM