Bajeti 2011: Tanzania tunahitaji kufuta vyama vyote vya siasa tuanze upya!!

Malecela mi sijakusoma kabisa mkuu wangu, unazungumzia matatizo katika ukusanyaji wa mapato ya serikali (hasa kodi) au unalalamikia malalamiko ya wananchi kuhusu "posho ya makalio" wanayolipwa wabunge wetu? Sioni uhusiano wa Heading yako na content! Majibu yako rahisi kwa swali gumu ni kufuta Vyama vya SIASA?
Nionavyo mimi, pamoja na serikali kupoteza pesa nyingi kutokana na uzembe au wizi wa Viongozi flani, bado hata yale mapato tupatayo hayapangiwi matumizi kwa kufuata vipaumbele; sasa hivi vikao vimeongezeka katika kila idara (Posho za Makalio). Tunatumia pesa nyingi mno katika "michakato", na AMA kweli tunapoteza pesa nyingi mno katika mishahara ya VIGOGO isiyokatwa kodi na kukuta "waalimu" ndy wachangiaji pekee wa kodi!

Nyie vijana mliosoma msikimbilie NEW YORK na kubaki kulalama tu, RUDINI NYUMBANI MJENGE NCHI tuwaone, huenda "mkatukomboa" kama wakina "Makamba Jr".
 
Tunaenda na kurudi ila pa kutokea panakuwa shida. Matatizo yetu ni mengi kiasi huwezi kutegemea yaondolewe na bajeti moja iliyoandaliwa na walewale wanofanya kazi vilevile - itakuwa ni mark time tu. Nilipojiuliza tuanze na nini siku za nyuma nilikuja na thread yangu ya "Should poverty eradication be the no.1 priority for Tanzania now?" - Kuna mengi ya kuweka sawa then only with the tools other nations use to propel forward will work.
 
Tunaenda na kurudi ila pa kutokea panakuwa shida. Matatizo yetu ni mengi kiasi huwezi kutegemea yaondolewe na bajeti moja iliyoandaliwa na walewale wanofanya kazi vilevile - itakuwa ni mark time tu. Nilipojiuliza tuanze na nini siku za nyuma nilikuja na thread yangu ya "Should poverty eradication be the no.1 priority for Tanzania now?" - Kuna mengi ya kuweka sawa then only with the tools other nations use to propel forward will work.
Ndugu ukisema poverty eradication kuwa priority inamaana hujataja kipaumbele hapa. Maana Tazania ni masikini katika kila kwenye individual na hata institutions level. Umasikini unaondoka kwa uwepo wa barabara, elimu, afya nk. Umasikini si kipato tu na hata ingekuwa ni kipato, kipato cha mtu kamwe hakitaongezeka km elimu, afya na barabara na mengineyo yataendelea kubaki kama yalivyo.
 
FROM: Facebook: by William Malecela on Sunday, June 19, 2011 at 8:19am

- Wabunge wanaolipwa jumla ya Shillingi Million 7 kwa mwezi, 2 zikiwa ni mishahara yao ya mwezi na Tano zikiwa ni gharama zao za usafiri na wafanyakazi wao ambao ni lazima wawe nao kwa ajili ya kuwakilisha majimbo yao ipasavyo kwenye taifa. Sasa tunalilia mbunge asilipwe tena posho ya Shillingi Elfu 70 kwa siku anapokuwa bungeni au kwenye vikao vya kibunge, tunataka atumie hela za msahahara wake, yaani ule wa Shillingi Millioni 2.

Mbunge akae bungeni ashiriki vikao 73 vya bajeti, akilipia shillingi Elfu 50 kwa siku kwa malazi tu, vikao 73 ni sawa na miezi miwili, sasa jumlisha utapata Mshahara wa Shillingi Millioni 4 na gharama ya malazi tu kwa kipindi kizima cha bajeti ni karibu nusu ya hizo hela zake za ujira,
na tunaambiwa kwamba hii ndio inaweza kutusaidia taifa kuokoa hela nyingi sana za kuweza kuliendeleza hili taifa!, hebu angalia hela tunazopoteza kwenye kodi ya madini kila mwaka ni karibu mara 10 ya posho ya wabunge inayoliliwa sana kwamba ndio tatizo letu la taifa!

wewe Wiliam malechela, acha kudanganya na kupotosha wananchi, kinacholiliwa si sitting allowance ya wabunge tu. ni wafanyakazi wote wa umma!! unaona milioni 900 ni ndogo kwa mwaka..
 
Jibu la maswali yote ni katiba mpya yenye kukiri matakwa ya watanzania na isiyompa rais loop holes za kufanya apendavyo bali watanzania wapendavyo. Do you think kwa jinsi katiba ya Marekani ilivyo hata wapate rais mwendawazimu ataboronga kama ******?


- The big question hapa ni kwa nini hili taifa hatulipi kodi? Kwa nini hatupendi kukusanya kodi? bila kulipa kodi hili taifa tutaendelea kupigizana kelele mpaka mwisho wa Dunia na hakuna lolote la maana litakalofanyika, hata Mwalimu alilisema sana hili mwishoni mwa maisha yake kwamba taifa lisilo kusanya kodi haliwezi kwenda popote kimaendeleo!

Willie @ NYC, USA.
 
Na mimi hapa ninalo la kuchangia kidogo wapendwa. Ingawaje mimi ni mgeni wa hii familia naomba japo nitoe mawazo yangu niliyonayo.Ni kweli kabisa unachosema mkuu,hapa Tanzania tuna mambomengi sana ya kujifunza kuhusu kuiongoza hii nchi.

Kwanza kabisa tunahitaji kuwa na katiba bora yenye maana kwamba,mkataba wa kweli kati ya wananchi na viongozi ili mmojawapo anapokiuka huu mkataba basi tumuwajibishe kwa mujibu wa katiba.

Pili vianzishwe vyama vyenye kukidhi matakwa ya nchi na sio matakwa ya kikundi fulani.Unajua kwa sasa vyama vyetu vimekuwa kama vivuli vya kufanyia maovu.Wengi wa wanasiasa wanaingia kwenye mfumo wa siasa kwa kuhitaji wapate manufaa yao binafsi.

Tatu wananchi wapewe elimu bora kuhusu hivyo vyama vitakavyoaanzishwa ili wajue wanajiunga na chama fulani kwa malengo gani na sio ushabiki usiokuwa na tija.

Mwisho, idara ya usalama wa taifa ijitenge kabisa na masuala ya siasa na ibaki inalinda yale mambo nyeti ya usalama wa taifa letu.Najua ni ngumu sana kufanya hivyo lakini ndivyo ukweli tunatakiwa tuwe hivyo.

Ahsante sana kwa mawazo yako kwa hili taifa letu tunalolipenda sana.
 
Willie,

I can not agree more na analysis uliyoifanya, Watanzania wengi tunapenda kujadili simple issues basi. Wavivu wa kufanya analysis na kuangalia nini ni nini.

Nimepata bahati ya kukutana na wabunge wengi wa CCM na Upinzani, na inapofika swala la kuuliza kwamba ni vipi tufanye kupunguza tax loopholes na kuongeza ukusanyaji wa kodi wote utawasikia wanasema Tanzania hakuna system kama Western countries. Wanachosahau ni kwamba hata huku west system ilitengenezwa, watu walikaa chini wakaangalia resources walizonazo wakaamua kuzitumia kwa ufanisi.

Leo hii tunategemea kodi kubwa kupitia bandarini, matokeo yake tunaongeza ushuru kila budget then tunajiuliza kwa nini kuna rushwa? Badala ya kurestructure system tukakusanya kodi kwenye almost kila income. Barric wana consolidate financial report zao na Tanzania sababu hatuna competency auditors tunajikuta tunapewa report zenye Net loss.

Wabunge wamekalia kubishana Posho vs. No posho. Badala ya kuangalia mambo ambayo ni critical kwa Taifa la Tanzania.

Hatuwezi kuandika katiba itakayo tuongoza kwenye kila kitu, mambo mengi yanaitaji common sense hapa. Swala la serikali kukusanya Kodi sio swala la CDM wala CCM ni swala la Watanzania wote.
 
- Lakini unakumbuka majuzi Mwenyekiti wa Chadema alipokubali kwamba mshahara wa Dr. Slaa haulipiwi kodi au umesahau na wao ndio wenye agenda ya kodi unasema au?

Willie @ NYC, USA.

Sasa hapo ni kosa la nani?? La Dr. Slaa au la serikali ya CCM???
Serikali ya CCM ndio yenye shida. Ina weak institutions na enforcement katika ukusanyaji wa kodi!!
Kuna wadau wametoa mawazo mengi kama haya...ambapo wanaona hakuna significant connection kati ya vyama vyingine vya siasa na ukusanyaji mdogo wa kodi!!!

 
unaona sasa kijana wangu...yaani wewe sijui ukoje...kumbe ulikuwa hujasoma hata bajeti yenyewe....juzi nakuelemisha juu ya posho za sitting alowance..ukawa mbishi kweli sasa umeona???!!!
 
nadhani umekaribia kuelewa sasa......dhana nzima kwa nini chadema tunasema hii bajeti ni changa la macho.....kwanza bajeti yaneywe imeacha nje mkoa mipya...yaani haimo kabisa kawenye bajeti..sijui kama unalijua hilo
 
chama cha kufutwa ni ccm....hiki ndo cha kuchimbia kaburi kabisa......
 
- Mbona unahangaika sana nimekwamba jinsi ninavyokudharau wala huna sababu ya kujadili na mimi, I mean mbona bado upo tu na mjadala na wewe umesema ulishanidharau! ha! ha! kwani unalazimisha sana mjadala uwe kuhusu mimi kuliko taifa vipi mkuu?

- Ninasema hivi vyama vyote vimeshindwa kukusanya kodi, ni vyema tuokaondokana na vyote, tukaanza upya, wewe unasema nini achana na mimi siwezi kukusaidia anything!


Willie @ NYC, USA.
Mkuu nilini vyama vya upinzani viliwahi kuunda serikali na kupewa 'mandate' ya kukusanya kodi vikashindwa? Mie sijakudharau wala sijalazimisha mjadala uwe kuhusu wewe badala ya taifa kama unavyodai, unanionea bure. Hoja zako ambazo sio 'consistant' ndio tatizo, huwezi kuwalaumu watu wasio na mamlaka ya kukusanya kodi kuwa wameshindwa, kwanini usiwe mkweli kwa nafsi yako na kwa taifa kwamba serikali ya CCM imeshindwa kabisa kukusanya kodi na badala yake rushwa na ufisadi vimetamalaki? Nakushukuru kwa kuwa mkweli kunieleza kwamba unanidharau na huna sababu ya kujadili na mimi, lakini fahamu kwamba ukiweka mawazo yako hapa basi vumilia kusikia hata yale usio yapenda kuyasikia au labda uwe unaorodhesha majina ya wale unaopenda wachangie hoja zako.
 
FROM: Facebook: by William Malecela on Sunday, June 19, 2011 at 8:19am

@ NEW YORK: Hatimaye nimepata nafasi ya kuisoma bajeti nzima ya serikali kwa mwaka 2011/2012, na kwa kweli ninasikitishwa sana na uwezo mdogo sana wa uwajibikaji wa serikali yetu ambao chanzo chake ni uwezo mdogo sana wa uongozi walionao viongozi wetu.

I mean hakuna uwajibikaji kwa viongozi wetu na vitengo vya dola ni hafifu sana na in some cases ni zero kabisa, yaani hakuna kabisaa. I mean leo Tanzania kipato cha serikali yaani taifa, 70% inategemea kodi kutoka kwa mashirika 15 tu yaliyopo nchini, meaning kwamba the rest of 30% ndio inatoka kwetu wananchi, no wonder hili taifa tunapigizana makelele tu maendeleo hamna, I mean taifa litaendelea vipi na ukusanyaji hafifu wa kodi kama huu?

Malipo mengi ya watumishi wa serikali hayakatwi kodi, WHY? ni kwa sababu hili taifa tumejiaminisha siku nyingi sana kwamba we are poor na hatuwezi kujiondoa kwenye umasikini, tumeiamini serikali kutuondolea umasikini, serikali ambayo inaongozwa na sisi wenyewe ambao tulishakubali siku nyingi sana kwamba ni masikini tu ndivyo tulivyoumbwa, matokeo yake imekuwa ni National Insanity circling yaani kurudia njia zile zile kila siku kwa kutegemea matokeo tofauti.


- Miaka 50 ya Uhuru, mpaka leo bado tuna-ptoject bajeti ya taifa ambayo haifanani na kipato chetu cha taifa, tunategemea kutumia Shillingi Trillion 11, lakini uwezo wetu kitaifa ni kipato cha Shillingi Trillion 7 tu, hatuna jawabu la tutapata wapi hiyo gap ya Trillion 5, ingawa tumeruhusu kampuni kama ya Zaintel kutuchezea akili kwa kuuzwa kwa ujanja ujanja kwa Celtel and then to Airtel in the process taifa tumepoteza kodi ya karibu USD $ 312 Million, tumeruhusu Hotel ya Movenpick iliyoanza kama Sheraton, kutuchezea akili wee na kodi in the process tunapoteza kila mwaka kodi karibu USD $ 300 Million, kule kwenye madini ndiko usiseme tunapoteza karibu USD $ 800 Million kila mwaka and the list goes on and on! Sasa kwa sababu tumezoea kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu, tumewakalia koo Wabunge kwamba ndio wachawi wetu kwa sababu ya posho zao!

- Wabunge wanaolipwa jumla ya Shillingi Million 7 kwa mwezi, 2 zikiwa ni mishahara yao ya mwezi na Tano zikiwa ni gharama zao za usafiri na wafanyakazi wao ambao ni lazima wawe nao kwa ajili ya kuwakilisha majimbo yao ipasavyo kwenye taifa. Sasa tunalilia mbunge asilipwe tena posho ya Shillingi Elfu 70 kwa siku anapokuwa bungeni au kwenye vikao vya kibunge, tunataka atumie hela za msahahara wake, yaani ule wa Shillingi Millioni 2.

Mbunge akae bungeni ashiriki vikao 73 vya bajeti, akilipia shillingi Elfu 50 kwa siku kwa malazi tu, vikao 73 ni sawa na miezi miwili, sasa jumlisha utapata Mshahara wa Shillingi Millioni 4 na gharama ya malazi tu kwa kipindi kizima cha bajeti ni karibu nusu ya hizo hela zake za ujira, na tunaambiwa kwamba hii ndio inaweza kutusaidia taifa kuokoa hela nyingi sana za kuweza kuliendeleza hili taifa!, hebu angalia hela tunazopoteza kwenye kodi ya madini kila mwaka ni karibu mara 10 ya posho ya wabunge inayoliliwa sana kwamba ndio tatizo letu la taifa!


- Ni kama taifa la wendawazimu flani hivi, maana hata huwezi kusema ni walevi kwa sababu mlevi akiamka asubuhi huwa anakuwa mzima na productive tena, sisi taifa tupo pale pale tunazunguka tu kama taili la gari, na wale wasomi wetu ndio bure kabisaa, mijina mikubwa lakini hakuna faida yoyote kwa taifa. Bunge limejaa ma-Doctor, Wanasheria, Wahandisi, mpaka Wachumi, lakini mpaka leo umeme hakuna, ujanja ujanja tu na ujinga ujinga na kutafuta majibu rahisi rahisi ndio vimetutawala hili taifa!

IT IS ABOUT TIME SASA TUKAFUTA VYAMA VYOTE VYA SIASA HILI TAIFA, TUANZE UPYA!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William Malecela @ New York City; USA.

Haya ndio yanaitwa majibu mepesi kwa maswali magumu.Yaani tufute vyama vyote vya siasa kwa vile tu chama tawala kimefanya madudu?Kwa busara zako mkuu,tatizo ni vyama vya siasa au waliokabidhiwa dhamana ya kuongoza vyama hivyo?Na tukishafuta na kuunda upya,kuna uhakika gani kuwa hatutakuwa tumebadili tu chupa lakini mvinyo ni uleule?

Umefanikiwa kuonyesha tatizo liko wapi lakini I'm sorry to say kwamba ufumbuzi wako ni fyongo.Tatizo ni CCM na serikali yake.Na tatizo la CCM kwa sasa limeshamiri na kutanuka zaidi kutokana na uongozi wa kibabaishaji wa Jakaya Mrisho Kikwete,Rais asiyejua kwanini ni Rais,mwepesi wa kukasirishwa na ubabaishaji wa watendaji wake lakini asiyejua la kuwafanya,na anayetumia muda mwingi kwenye safari za nje na kuhudhuria mikutano ambayo tungeweza kabisa kuwakilishwa na mabalozi,makatibu wakuu au Mawaziri.

Nimependa hitimisho lako la MUNGU IBARIKI TANZANIA lakini kwa kweli tutakuwa tunamu-overwork tu Mungu kumtaka aibariki nchi yenye uongozi usio na vision na unaokumbatia mafisadi.Baraka zaidi tunazohitaji kutoka kwa Mungu ni kuwafumbua macho Watanzania na kuwapa ujasiri wa kusema ENOUGH IS ENOUGH.
 
Napendekeza wabunge walipwe na halimashauri ya majimbo yao kulingana na uwezo wa halmashauri zao ikiwa kweli ni wawakilishi wa wananchi
 
ulicho kisema niukweli mtupu tatizo letu watanzania hatukubaliani na ukweli maana tunaamini sisi ni maskini lakini ukweli siyo sisi tunautajiri mwingi tatizo akili zetu ndio maji hasa na hawa tunaowapa uongozi ili watusaidie katika kutunza na kusimamia rasrimali zetu kwa mfano mdogo tu angalia kama wale wanyama waliochukuliwa kupitia uwanja wa KIA si amini kama ikulu haikuhusika hivyo ndio upumbavu na ukosefu wa akili na ubinafisi ndani ya viongozi wetu wanaojua wataishi maisha yote milele kwenye uongozi kumbe wanapita tu.
 
from: Facebook: by william malecela on sunday, june 19, 2011 at 8:19am

@ new york: Hatimaye nimepata nafasi ya kuisoma bajeti nzima ya serikali kwa mwaka 2011/2012, na kwa kweli ninasikitishwa sana na uwezo mdogo sana wa uwajibikaji wa serikali yetu ambao chanzo chake ni uwezo mdogo sana wa uongozi walionao viongozi wetu.

I mean hakuna uwajibikaji kwa viongozi wetu na vitengo vya dola ni hafifu sana na in some cases ni zero kabisa, yaani hakuna kabisaa. I mean leo tanzania kipato cha serikali yaani taifa, 70% inategemea kodi kutoka kwa mashirika 15 tu yaliyopo nchini, meaning kwamba the rest of 30% ndio inatoka kwetu wananchi, no wonder hili taifa tunapigizana makelele tu maendeleo hamna, i mean taifa litaendelea vipi na ukusanyaji hafifu wa kodi kama huu?

Malipo mengi ya watumishi wa serikali hayakatwi kodi, why? Ni kwa sababu hili taifa tumejiaminisha siku nyingi sana kwamba we are poor na hatuwezi kujiondoa kwenye umasikini, tumeiamini serikali kutuondolea umasikini, serikali ambayo inaongozwa na sisi wenyewe ambao tulishakubali siku nyingi sana kwamba ni masikini tu ndivyo tulivyoumbwa, matokeo yake imekuwa ni national insanity circling yaani kurudia njia zile zile kila siku kwa kutegemea matokeo tofauti.


- miaka 50 ya uhuru, mpaka leo bado tuna-ptoject bajeti ya taifa ambayo haifanani na kipato chetu cha taifa, tunategemea kutumia shillingi trillion 11, lakini uwezo wetu kitaifa ni kipato cha shillingi trillion 7 tu, hatuna jawabu la tutapata wapi hiyo gap ya trillion 5, ingawa tumeruhusu kampuni kama ya zaintel kutuchezea akili kwa kuuzwa kwa ujanja ujanja kwa celtel and then to airtel in the process taifa tumepoteza kodi ya karibu usd $ 312 million, tumeruhusu hotel ya movenpick iliyoanza kama sheraton, kutuchezea akili wee na kodi in the process tunapoteza kila mwaka kodi karibu usd $ 300 million, kule kwenye madini ndiko usiseme tunapoteza karibu usd $ 800 million kila mwaka and the list goes on and on! Sasa kwa sababu tumezoea kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu, tumewakalia koo wabunge kwamba ndio wachawi wetu kwa sababu ya posho zao!

- wabunge wanaolipwa jumla ya shillingi million 7 kwa mwezi, 2 zikiwa ni mishahara yao ya mwezi na tano zikiwa ni gharama zao za usafiri na wafanyakazi wao ambao ni lazima wawe nao kwa ajili ya kuwakilisha majimbo yao ipasavyo kwenye taifa. Sasa tunalilia mbunge asilipwe tena posho ya shillingi elfu 70 kwa siku anapokuwa bungeni au kwenye vikao vya kibunge, tunataka atumie hela za msahahara wake, yaani ule wa shillingi millioni 2.


mbunge akae bungeni ashiriki vikao 73 vya bajeti, akilipia shillingi elfu 50 kwa siku kwa malazi tu, vikao 73 ni sawa na miezi miwili, sasa jumlisha utapata mshahara wa shillingi millioni 4 na gharama ya malazi tu kwa kipindi kizima cha bajeti ni karibu nusu ya hizo hela zake za ujira, na tunaambiwa kwamba hii ndio inaweza kutusaidia taifa kuokoa hela nyingi sana za kuweza kuliendeleza hili taifa!, hebu angalia hela tunazopoteza kwenye kodi ya madini kila mwaka ni karibu mara 10 ya posho ya wabunge inayoliliwa sana kwamba ndio tatizo letu la taifa!


- ni kama taifa la wendawazimu flani hivi, maana hata huwezi kusema ni walevi kwa sababu mlevi akiamka asubuhi huwa anakuwa mzima na productive tena, sisi taifa tupo pale pale tunazunguka tu kama taili la gari, na wale wasomi wetu ndio bure kabisaa, mijina mikubwa lakini hakuna faida yoyote kwa taifa. Bunge limejaa ma-doctor, wanasheria, wahandisi, mpaka wachumi, lakini mpaka leo umeme hakuna, ujanja ujanja tu na ujinga ujinga na kutafuta majibu rahisi rahisi ndio vimetutawala hili taifa!

it is about time sasa tukafuta vyama vyote vya siasa hili taifa, tuanze upya!

mungu aibariki tanzania!


william malecela @ new york city; usa.
mkuu hapo nahisi hujaelewa somo. Kilichokuwa kinajadiliwa si posho tu za wabunge, ila ni matumizi mabovu ya selikali inayoyafanya, kuna mihela mingi watu wanalipana kama posho kila kukicha huku wakiwa hawana jipya wanalolifanya. Nilimsikia lukuvi siku moja wakiwa na mbowe kwenye mjadala wa posho lukuvi akasema ni kweli posho nyingine hazina tija na ni mzigo kwa wanachi, akatoa mfano kuwa kuna tofauti gani kati ya waziri au mtumishi mwingine wa selikali wakaenda mwanza kwa pamoja na kufanya kazi moja halafu waziri kisa uwazili wake akalipwa pesa nyingi kuliko wenzie? Hivyo hoja sio posho za wabunge ila ni namna gani tunavyoweza kuepuka matumizi yasiyo ya lazima ndo hoja.
 
Yaani wewe unaona bora wanachi wenye TGS ndio walipe kodi sababu ni wengi lakini wabunge wachache wanaopata mamilioni wasiguswe?
Mwsho utasema na magari ya seriali yalipie insurance.. yaani hiyo ni kutuoa kwa mkono wa kulia alafu kuchukua kwa mkono wa kulia.


Watu kama wewe ndio waliopo seikalini wanafanya maamuzi. Kwao ni rahisi kuwaongezea wabunge hata mshahara wa milioni mbili sababu ni wachache lakini ni kazi kuwaongea walimu mshahara wa laki mmoja sababu ni wengi. Decison making zako kwenye hii tread zinaonyesha unaweza uyumbisha uchumi kama wewe ndo ungekuwa policy maker wa cuhumi wetu.

William hii nchi sio ya wachche watu wanaamka usingizini . Tukisema wabunge wanapata mshahara mkubw sio kwamba ni mkubwa hawan amatumizi nao bali ni kwamba wao wanasiasa wanajiongezea na wanasahu wengine.

Sasa huoni tunatengeneza nchi matabaka na watu wacahache pale wanaposema hawwengi uongeza mishara ya walimu na wafanyakazi wengi sababu hakuna bajeti lakini wakati huo huo ni rahisi uongeza malip na marupu rupu ya wabunge..


Kuhusu deficit kwenye bajeti hata ulaya zipo sema wenzetu wanajua priority zao. na bajeti zao pamoja na deficit zina reflect priority mfano jeshi viwanda bank mikopo hosing marekt. Wenzetu pamoja na defict wanajua jinsi ya kufanya hela izunguke eg trough mikopo. Sisi ni watu wachache wana mishara inayowawezesha kuishi. Kifupi sisi decion makers hawana financial discipline ndio maana wafanya decicsona ambazo ni selfish.

Ni wakulima wachache wanaweza kukopa sabau hawana hata nyumba au asset ziliizothaminishwa. lakini kuna watu hawana asset wanakopwa. Na mwisho ndio serikali kwa kuogopa mzigo inagopa kuongeza mishahara stahiki kwa watumishi wake eti sababu haina uwezo. distribution of wealth ikiwemo na finacial ni jambo muhimu kwa maendeleo ya kiuchumi ya nchi.


Angalia purchasing power ya wakulima au avarage worker wa Tanzania. Wakulima wengi wa Pamba au au kahawa huko vijijini hawana hata uwezo wa kununua moka ya 50,000 dukani . Haya kwa wale wanywaji hawana uwezo wa kunywa bia na serikali haijaweka mfumo wa kutambua vinywaji vyetu vinavyoitwa local eg kama gongo ili vilipe kodi.

Wazungu na nchi za ulaya hata wao so watu wote ni matajiri lakini uchumi wao wanazugusha sababu hata watu maskini wana uwezo wa kununua nyumba gari na vingine. Wakulima wa Tanzania wanakamuliwa tu na serikali.

Vile vile nchi haiwezi kuendela bila kuwa na uzalishaji. Big industry ya Tanzania ni administration. Mtu kama lawyer, Mhasibu daktari na wengine wengi tuko kwenye administration job. We are not really producing. Wanaproduce ni wakulima ambo wako hoi tena wengi ni wazee.

Worse tulio kwenye service inditry wakiwem wabunge wansisa na wafanyakazi wengine hatuwekezi kwenye prduction idustry. matoeo yake wanawekeza kwa kunua nyumba UK , USA. Kila mtu anataka kuonekana kavaa suti brand hakuna aliye tayari kununua bidhaa ya ndani kwa kisingizo cha quality.

Kuna msomi alisema "We consume what we dont produce na we produce what we dont cosume". Sasa wewe anagalia Idadi ya ma VX yanatotumika kwa saari za from maski to posta. Bora hata wajapn wangekuwa na kakiwanda japo ka seat cover za toyota Africa. 80% ya life time za VX tunazonunua ilitakiwa iwe vijijini na mashambani lakini ni 20% ya mileage ya mgari haya ndo yanakanyaga vumbi.

OK tukubali hatuwezi kuzalisha magari basi tutumie hata vitara basi kwa viongozi wetu. Au tukisema watumie vitara na wenyewe utakuwa ni wivu? Kwamba hakuna kitakachobadilika kwa wazii kutumia vitara tofauti na sasa anapotumia VX.

  • Utakuwaje na hata viwanda kwa umeme amabao kwa ni gharama kubwa kwa afrika mashariki nzima
  • Utavutua wawekezaji wa kweli kivipi ka mazingira tuiynanyo. Ndio maana wawekeaji wanaokuja ni wasanii. Operation enviroment ya biashara Tanzania ni ngumu bila "usanii" Ndio maana unaona hata kampuni za madini hazilipi kodi ya mafuta sababu wanasema ni ya kuzalisha uemme amabo ulitakiwa uwepo wa kutosha kabla hajawekeza .
 
FROM: Facebook: by William Malecela on Sunday, June 19, 2011 at 8:19am

@ NEW YORK: Hatimaye nimepata nafasi ya kuisoma bajeti nzima ya serikali kwa mwaka 2011/2012, na kwa kweli ninasikitishwa sana na uwezo mdogo sana wa uwajibikaji wa serikali yetu ambao chanzo chake ni uwezo mdogo sana wa uongozi walionao viongozi wetu.

I mean hakuna uwajibikaji kwa viongozi wetu na vitengo vya dola ni hafifu sana na in some cases ni zero kabisa, yaani hakuna kabisaa. I mean leo Tanzania kipato cha serikali yaani taifa, 70% inategemea kodi kutoka kwa mashirika 15 tu yaliyopo nchini, meaning kwamba the rest of 30% ndio inatoka kwetu wananchi, no wonder hili taifa tunapigizana makelele tu maendeleo hamna, I mean taifa litaendelea vipi na ukusanyaji hafifu wa kodi kama huu?

Malipo mengi ya watumishi wa serikali hayakatwi kodi, WHY? ni kwa sababu hili taifa tumejiaminisha siku nyingi sana kwamba we are poor na hatuwezi kujiondoa kwenye umasikini, tumeiamini serikali kutuondolea umasikini, serikali ambayo inaongozwa na sisi wenyewe ambao tulishakubali siku nyingi sana kwamba ni masikini tu ndivyo tulivyoumbwa, matokeo yake imekuwa ni National Insanity circling yaani kurudia njia zile zile kila siku kwa kutegemea matokeo tofauti.


- Miaka 50 ya Uhuru, mpaka leo bado tuna-ptoject bajeti ya taifa ambayo haifanani na kipato chetu cha taifa, tunategemea kutumia Shillingi Trillion 11, lakini uwezo wetu kitaifa ni kipato cha Shillingi Trillion 7 tu, hatuna jawabu la tutapata wapi hiyo gap ya Trillion 5, ingawa tumeruhusu kampuni kama ya Zaintel kutuchezea akili kwa kuuzwa kwa ujanja ujanja kwa Celtel and then to Airtel in the process taifa tumepoteza kodi ya karibu USD $ 312 Million, tumeruhusu Hotel ya Movenpick iliyoanza kama Sheraton, kutuchezea akili wee na kodi in the process tunapoteza kila mwaka kodi karibu USD $ 300 Million, kule kwenye madini ndiko usiseme tunapoteza karibu USD $ 800 Million kila mwaka and the list goes on and on! Sasa kwa sababu tumezoea kutafuta majibu rahisi kwa maswali magumu, tumewakalia koo Wabunge kwamba ndio wachawi wetu kwa sababu ya posho zao!

- Wabunge wanaolipwa jumla ya Shillingi Million 7 kwa mwezi, 2 zikiwa ni mishahara yao ya mwezi na Tano zikiwa ni gharama zao za usafiri na wafanyakazi wao ambao ni lazima wawe nao kwa ajili ya kuwakilisha majimbo yao ipasavyo kwenye taifa. Sasa tunalilia mbunge asilipwe tena posho ya Shillingi Elfu 70 kwa siku anapokuwa bungeni au kwenye vikao vya kibunge, tunataka atumie hela za msahahara wake, yaani ule wa Shillingi Millioni 2.

Mbunge akae bungeni ashiriki vikao 73 vya bajeti, akilipia shillingi Elfu 50 kwa siku kwa malazi tu, vikao 73 ni sawa na miezi miwili, sasa jumlisha utapata Mshahara wa Shillingi Millioni 4 na gharama ya malazi tu kwa kipindi kizima cha bajeti ni karibu nusu ya hizo hela zake za ujira, na tunaambiwa kwamba hii ndio inaweza kutusaidia taifa kuokoa hela nyingi sana za kuweza kuliendeleza hili taifa!, hebu angalia hela tunazopoteza kwenye kodi ya madini kila mwaka ni karibu mara 10 ya posho ya wabunge inayoliliwa sana kwamba ndio tatizo letu la taifa!


- Ni kama taifa la wendawazimu flani hivi, maana hata huwezi kusema ni walevi kwa sababu mlevi akiamka asubuhi huwa anakuwa mzima na productive tena, sisi taifa tupo pale pale tunazunguka tu kama taili la gari, na wale wasomi wetu ndio bure kabisaa, mijina mikubwa lakini hakuna faida yoyote kwa taifa. Bunge limejaa ma-Doctor, Wanasheria, Wahandisi, mpaka Wachumi, lakini mpaka leo umeme hakuna, ujanja ujanja tu na ujinga ujinga na kutafuta majibu rahisi rahisi ndio vimetutawala hili taifa!

IT IS ABOUT TIME SASA TUKAFUTA VYAMA VYOTE VYA SIASA HILI TAIFA, TUANZE UPYA!

MUNGU AIBARIKI TANZANIA!


William Malecela @ New York City; USA.

Hatuhitaji kabisa political parties.Vyama ndivyo vilivyo tufikisha hapa tulipo.Kwa ujinga wetu we have been made to believe that we need political parties,no we don't.We only need a government and a leader.What we call him is not important.He should however be elected ili asijisahau!
 
Bw. MALECELA nakubaliana na sehemu kubwa ya hoja zako lakini wafanyakazi hakuna hata mmoja anayeweza kukwepa kulipa kodi. Kodi zao zinafyekwa juu kwa juu katika mishahara yao, vile vile hakuna uwiano sahihi wa kodi anayolipa mfanyakazi na kodi anayolipa mfanya biashara kwa mfano mfayanyakazi mwenye mshahara wa TZS 2,000,000/= analipa kodi isiyopungua 500,000/= kwa mwezi sawa na TZS 6,000,000/= kwa mwaka. Mfanyabiashara mwenye turnover ya TZS 24,000,000/= kwa mwaka kodi yake haizidi 500,000/= kwa mwaka, hebu angalia imbalance hii katika kulipa kodi.

Labda kama unazungumzia zaidi zile posho za vigogo ambazo mfanyakazi wa kawaida hahusiki nazo, Wapo wafanyakazi hawapati hata safari moja nje ya kituo kwa mwaka mzima.

Kwa maoni yangu, wafanyabiashara wengi hawalipi kodi wakubwa kwa wadogo na hata wakilipa kuna loopholes nyingi sana za kuwafanya wasilipe kodi stahiki lakini vile vile kodi walizowekewa ni kidogo mno ikilinganishwa na wafanyakazi. Sisemi wafanyakazi wapunguziwe kodi bali uwepo uwiano sahihi kwa mapato ya kila kundi kwa maendeleo ya taifa letu, vinginevyo tutaendelea kukinga bakuli kwa nchi zenye walipa kodi mahiri huku sisi tukiacha mapato yakiishia mifukoni mwa mafisadi.

- Mkuu heshima yako sana, watumishi wa serikali hawakatwi kodi kama inavyopasa ni tatizo kubwa sana katika ukusanyaji kodi wetu, ninakubali sana hoja zako, zimetulia sana!

Willie @ NYC, USA.
 
Wilium,

Nashukuru kwa maelezo yako. Ishu kubwa hapa si posho za wabunge na posho kwa wafanyakazi wa serikali wote wakiwemo wabunge. Tunafahamu kuwa kazi ya mbunge ni kuwawakilisha wananchi. Je kama ili afanye hiyo kazi ni lazima tumpe posho, analipwa mshahara wake ni wa kazi gani? Na hii inatokana na wao kutofanya unayoyasema kwenye post yako uzembe wote huo unatokana na wabungo kuwa wazembe ukiwaondoa wachache wa CDM.

Hii bajet yenyewe unayosema si wote wameisoma na utakuta kuna uwongo mwingi na usanii kibao lakini wao hawaoni hayo mambo yote ndio maana imefika mahali ili kuwaonyesha kwamba wananchi tuko serious na uzembe wao kama waajiri wao tunaaza kupunguza posho kama hawawezi waontoke waingie watu ambao wanaweza kufunga mikanda kwa angalau miaka mitata tukasoge mbele.

Embu niambie mchango wa mbunge kama Rwakatare, Megji, Komba, etc na wengine wengi ni kwenda kusinzia mle tu hawana cha kuchangia wala nini.

Mwisho naomba ufute kauli, miaka hamsini uzembe umefanya na CCM na si CDM wala CUF kwa hiyo ni muda wa kuiondoa CCM na kuiweka chama ha upinzani na si kufuta vyama vyote.

Thanks Natoa hoja

- Wapinzani wamekuwa kwenye bunge sasa kwa miaka karibu 20, taifa tunawalipa Ruzuku kuikosoa CCM sasa kama mpaka leo hawaelewi kwamba kodi haikusanywi ipsavyo then ni kwa nini tunawahitaji kwenye hili taifa? I mean uwajibikaji unalalia kwa wote kwenye hii National Disaster!

Willie @ NYC, USA.
 
Back
Top Bottom