Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,469
Babu wa Samunge amewaasa waliokunywa dawa na bado hawajapona basi warudi Samunge wanywe tena kikombe.Ameelezea kuwa yeye sio mganga wa kienyeji hivyo imani ni muhimu sana.
Source ;
EA-Radio (anahojiwa muda huu na Michael B & Zembwele -Bado mahojiano yanaendeleo)
Na waliotangulia mbele za haki je?