Babu wa Samunge - ambao hawajapona warudie dawa

Babu wa Sumange amewaasa waliokunywa dawa na bado hawapona basi warudi Sumange wanywe tena kikombe.Ameelezea kuwa yeye sio mganga wa kienyeje hivyo imani ni muhimu sana.

Source ;
EA-Radio (anahojiwa muda huu na Michael B & Zembwele -Bado mahojiano yanaendeleo)

Keshajipatia zake utajiri wa uzeeni atulie sasa asijetibua hasira za watu
 
Huyu babu noma kweli au anafikri watz badio tuko usingizini mpaka lini?nashauri kibabu kiburuzwe mahakamani kapewe siku 7 kama za babu wa kiraracha wakati ni naibu waziri mkuu.
 
Huyu babu mizuka yake inapandaga mwanzo wa mwaka eh?maana nakumbuka mwaka jana kipindi cha mwezi wa pili ndo alianza kuwa famous
 
Maji ya babu yana Arsenic a slow killing poison iliyopita kiwango cha afya. Yanadhuru mafigo.
 
Si alishasema kikombe chake unatakiwa kunywa mara moja tu? Huyu babu vipi? Mbona kigeu geu sana?

Mauimivu yakizidi ongeza dosi! Hii ndiyo Bongoland! Nyumba yake imeishakamilika sasa wabongo waanza tena kumpelekea hela za kujengea fence
 
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa" Ding mwnyw nmemwona juz akienda hospital kupata paracetamol ya kupoza maumiv ya kichwa, si anywe dawa hyo ya nin a2mie dawa za ulaya! Wizi mtupu!
 
babuuuuu alizopata zimetosha sasa atulie manake kwa hesabu za chapchapanakula mpaka israel aibuke
 
babuuuuu alizopata zimetosha sasa atulie manake kwa hesabu za chapchapanakula mpaka israel aibuke pande hizo
 
Du Babu ni noma yaan bado king'ang'anizi? Alete na dawa ya utajiri labda atapatapo wateja?
 
lol napita..... tulisema tukabezwa .. babu anwaita tena akawatapeli
 
Back
Top Bottom