Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Babu wa Sumange amewaasa waliokunywa dawa na bado hawapona basi warudi Sumange wanywe tena kikombe.Ameelezea kuwa yeye sio mganga wa kienyeje hivyo imani ni muhimu sana.
Source ;
EA-Radio (anahojiwa muda huu na Michael B & Zembwele -Bado mahojiano yanaendeleo)
Keshajipatia zake utajiri wa uzeeni atulie sasa asijetibua hasira za watu