Katika hali isiyo ya kawaida kitendo hiki cha kupokea tsh 500 na kusababisha mzunguko wa pesa hiyo kupungua kwani hapeleki bank na amekua akiziweka basi je nini kifanyike
we unalalamikia sh 500 wakati serikali inaingiza fedha nyingi sana kwa sababu ya ushuru unaotozwa na halmashauri ya wilaya ya Loliondo,pia kuna watu wengi wanaotoka nje ya nchi na kuingizia nchi fedha za kigeni,cha muhimu ni kuweka mazingira mazuri kwa watu wanaoenda huko bila kujalisha kwamba wanapona au hawaponi,pia ni kama utalii wa ndani kwa upande mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.