Baba Mtakatifu Fransisko amteua Padre Jovitus Francis Mwijage kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Bukoba

KKKT wanapiga kura kuchagua askofu
Hivi hii ni akili au matope?

Kama Babu zetu walivyombeba mkoloni leo hii Bado watu wazima na akili zao wanabeba Mbao mfano wa Mwanamke iliyopakwa rangi eti ni Maria

Watu weusi wana laana Mdeke_Pileme


images (43).jpg
 
Roma tofaut na KKKKK T
Ndio, tofauti ipo...!

KKKT wanapiga kura kumchagua Askofu wao, hence kuna Demokrasia

Wakati Wakatoliki ni Papa (Muargentina) ndiye anayeteua kwa utashi wake

Tofauti nyingine ni kuabudu sanamu na kumtukuza yule mama aitwaye Mary na kumuita mama wa Mungu
 
Ndio, tofauti ipo...!

KKKT wanapiga kura kumchagua Askofu wao, hence kuna Demokrasia

Wakati Wakatoliki ni Papa (Muargentina) ndiye anayeteua kwa utashi wake

Tofauti nyingine ni kuabudu sanamu na kumtukuza yule mama aitwaye Mary na kumuita mama wa Mungu
RC kuna demokrasia pia maana papa huchaguliwa pia.
 
RC kuna demokrasia pia maana papa huchaguliwa pia.
Kama Papa huchaguliwa kwa kura kwanini Maaskofu tunaowafahamu sisi na tunaishi nao huku tusiwapigie kura?

Huyo Papa amewahi kufika wanapoishi Maaskofu na kuwafahamu kuliko sisi Waumini na Mapadri wengine?
 
Ndio, tofauti ipo...!

KKKT wanapiga kura kumchagua Askofu wao, hence kuna Demokrasia

Wakati Wakatoliki ni Papa (Muargentina) ndiye anayeteua kwa utashi wake

Tofauti nyingine ni kuabudu sanamu na kumtukuza yule mama aitwaye Mary na kumuita mama wa Mungu
Mwamba unahaha sana na imani za watu..!! Haya kuna siku umewahi piga kura kumchagua mkuu wa mkoa? Au mkuu wa wilaya??Au mkurugenzi? Hujawahi, je! hakuna demokrasia?
 
Hapa ndipo hata mimi huwa sielewi, Mama Maria ana nafasi gani zaidi kwenye Mamlaka tuliambiwa Mungu ndiye Mkuu, Yesu alitumwa kuja kutuokoa na alipoondoka aliacha Roho mtakatifu ndiye atusimamie, Je Maria anachukua nafasi ya nani?
Maria hachukui nafasi ya yeyote, Ila haimaanishi na yeye hana nafasi! Yeye ni mama mlezi wa Yesu.
 
Kama Papa huchaguliwa kwa kura kwanini Maaskofu tunaowafahamu sisi na tunaishi nao huku tusiwapigie kura?

Huyo Papa amewahi kufika wanapoishi Maaskofu na kuwafahamu kuliko sisi Waumini na Mapadri wengine?
Wewe muumini wa parokia na jumuiya ipi?
 
Mwamba unahaha sana na imani za watu..!! Haya kuna siku umewahi piga kura kumchagua mkuu wa mkoa? Au mkuu wa wilaya??Au mkurugenzi? Hujawahi, je! hakuna demokrasia?
Kuteuliwa Askofu sio Demokrasia asilani

Demokrasia ni kumpigia kura mumtajaye (nguvu ipo kwa wajumbe sio Mzungu mmoja)
 
Kuteuwa mkuu wa mjkoa je?
Sio sahihi pia, ndio maana Katiba mpya ya JMT iliyopitishwa na watu wenye weledi waliwepo Viongozi wa dini hata katoliki.....inawataka Wakuu wa Mikoa wachaguliwe na Wananchi na wawe na kikomo cha Utumishi sio kuteuliwa apendapo Rais
 
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Baba Mtakatifu Fransisko amemteua Padre Jovitus Francis Mwijage wa Jimbo Katoliki la Bukoba kuwa Askofu mpya wa Jimbo la Bukoba, leo tarehe 19.10.2023.

Mhashamu Askofu Mteule Jovitus Francis Mwijage alizaliwa Desemba 2 Mwaka 1966 Wilayani Misenyi, Jimbo Katoliki la Bukoba.

Baada ya masomo yake ya Upadre, alipata Daraja Takatifu la Upadre Julai 20 Mwaka 1997 Jimboni Bukoba, na kuhudumu katika nafasi mbalimbali za utume Jimboni Bukoba na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kama Mkurugenzi wa Mashirika ya Kipapa.

Imetolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania.

Padre Charles Kitima.
KATIBU MKUU WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA.


Barua.jpeg

Barua1.jpeg

Padre Jovitus Francis Mwijage
===============

CV OF FR. JOVITUS MWIJAGE
  • BIODATA
  • Born: 02-12-1966, Father, Francis Ndibalema and Mother, Francisca Kokwongeza
  • Sacraments of Initiation: Baptized, 11.1.1967, 1st Communion, 2.11.1975, Confirmation 27.12.1981
  • Nationality : Tanzania
  • Occupation: Priest
  • Marital Status: Celibate (Catholic Priest)
  • Place and date of Ordination: Bukoba-Ishozi Parish, 20.07.1997

  • EDUCATION
  • Preparatory year/ Kindergarten: Nteko Substation 1975
  • Primary School: Kyelima Primary school 1976-1981, Rutabo Preparatory Seminary 1981-1982
  • Secondary School/ High School: St. Mary Rubya Junior Seminary 1983- June 1989. ( ‘A’ Level 1st Division)
  • Philosophy: Ntungamo Philosophicum Seminary 1989-1992
  • Theology: Segerea Senior Seminary 1992-1997
  • Languages, Italian- Perugia University 2005
  • Germany language Course at Geineukirchen, in Linz Diocese, obtained a Certificate June – July 2005
  • Latin language Course in 2005-2006, at Gregorian University
  • French language Course, One Year course of French at Saint Louis de Francese in Rome, One Month Course at Paris at Alliance Francese, 2008.
  • Baccalaureate in the theology 1997, University of Urbaniana
  • Baccalaureate in Church History 2006
  • Licentiate in Church History and Patrimony of the Church, 2006-2008, Gregorian University in Rome
  • Doctorate in Church History and Patrimony of the Church, Gregorian University in Rome 2008-2011
  • PASTORAL EXPERIENCE
  • Teaching for one year (Year of formation) at Rutabo Preparatory Seminary: June 1989- June 1990
  • Pastoral Year: Rubya Seminary June 1995- June 1996
  • After Ordination, appointment, Assistant Parish Priest and financial administrator of Mwemage Parish , 1997-1998.
  • Rubya Seminary: 1999-2005; Teacher of History, Kiswahili, Latin, Geography and General study.
  • Appointed as Chaplain of Rubya Training Centre for 5 Months in 1999
  • Germany: Arch-dioceses of Freiburg at the parish of Constance -St. Gehbard, one month July 2008 and one month May 2011.
  • Austria: In Millistat Parish, assistant Parish Priest in all summers from 2006 to 2011.
  • February to November 2012 - 2023, Professor of Church History at Segerea Senior Seminary.
  • From November 2012 to 2023, Director of Pontifical Mission Societies in Tanzania
  • National Executive Secretary of UMAWATA (Association of diocesan Priests) 2012 - 2023
  • National Executive Secretary of Regional Board of Seminaries, Kipalapala, Kibosho, Ntungamo and Segerea 2012 - 2023
  • member of the Finance Committee of PMS (International Secretariat) representing African Continent National Directors from 2020 - 2023
 
Kama Papa huchaguliwa kwa kura kwanini Maaskofu tunaowafahamu sisi na tunaishi nao huku tusiwapigie kura?

Huyo Papa amewahi kufika wanapoishi Maaskofu na kuwafahamu kuliko sisi Waumini na Mapadri wengine?
Usilete siasa ndani ya kanisa! Papa ni mrithi wa kiti cha Petro hivyo ana mamlaka kamili ndani ya kanisa la Kristu. Mamlaka ya teuzi yanabaki kwenye kiti cha Mtume Petro, Wajibu wa waumini ni kujibidiisha kwenye imani zaidi sio kwenye siasa.
 
Back
Top Bottom