Itaendelea siku MARANDO atakopouthibitishia UMMA kuwa amesema uongo...!
nahitaji kujua umri wako kama una miaka zaidi 67 basi unabembeleza pension upewe na ccm ,watz tumekustukia huwezi kututeka kashauriane na bi nyau pamoja na bonge bila kumsahau popo bawa jinsi ya kuinusuru cc magamba ife kifo kizuri
JUMAMOSI iliyopita, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mabere Marando alinukuliwa akiwatetea wabunge wa chama hicho John Mnyika na Tundu Lissu, kwa kusema hawakutishia kumuua Mbunge wa Iramba Magharibi mkoani Singida kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mwigulu Nchemba.
Huyo ndiye Mabere Marando, Katibu Mkuu wa zamani wa NCCR Mageuzi aliyeongoza harakati za kukimaliza kisiasa chama hicho kuanzia mwaka 1997 1999, yule ambaye sasa anatetea uozo utakaoisambaratisha Chadema kwa kutumia uzushi mwingine..........................!
Mkuu muda umefika tuwahi kabla vitu havijapoa nahamu na tambi na Magimbi
kichizi