johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,131
Nimesikia fununu mahala fulani nami nikaunga mkono kwa 100%.
Watanzania wanataka Chama chenye kuamsha mioyo yao kama ilivyokuwa NCCR Mageuzi ya Mrema na DP ya Rev Mtikila 1995.
Kamati Kuu ya CHADEMA hima hima!
Nawatakia Sabato Njema 😀
Watanzania wanataka Chama chenye kuamsha mioyo yao kama ilivyokuwa NCCR Mageuzi ya Mrema na DP ya Rev Mtikila 1995.
Kamati Kuu ya CHADEMA hima hima!
Nawatakia Sabato Njema 😀