Kilembwe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 2,056
- 1,598
TandaleOne alichosema Marando ni kweli tupu hasa ukizingatia zile meseji zilizokuwa zinatumwa mwaka jana wakati wa uchaguzi za uchochezi juu ya Dr Slaa! meseji zilikuwa zinaonekana zinatumwa toka Malasia, baada ya malalamiko mengi sana na baada ya mamlaka ya mawasiliano kufuatilia waligundua kuwa zile meseji zilikuwa zintumwa toka hapa hapa nchini na kuna watu walienda mbali na kuja na ushahidi kuwa zilikuwa zikitumwa kutoka karibu na jengo moja liko pale karibu na hotel iliyokuwa sheraton zamani, na kama vile mgongano inasemekana pia ndani ya jengi hilo hilo kuwakuwa na ofisi zisizo rasmi zilizokuwa zikiratibu kampeni za JK zikiongozwa na mtoto wake aliyesomea mambo ya IT kule nchini India akishirikiana na rafiki zake! so kama lile liliwezekana hili linashindikana vipi?