tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,434
aibu juu ya aibu...ameshasema ushahidi anao na sote tunajua ushahidi unatolewa wapi sasa wewe na Nape mnashangaza mnapotaka atoe ushahiidi JF au Habari-Maelezo. Kama hamna guts za kumpeleka mahakamani, nawasihi mnyamaze. Unless anashindwa kutoa ushahidi unaokidhi kisheria otherwise Marando yuko sahihi. Jambo dogo mnatumia nguvu nyingiiiii kukanusha.