M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Assad ni Mzenj, hawezi kuwa VP. Ila anastahili kuwa waziri au KM wa $$, ikishindikana kabisa awe CG wa TRA.Salaam Wananzengo
Kutokana na Nchi Yetu kuwa na Msiba ambao kimsingi umeleta hali ya tafakuri kubwa hasa ni nani atatosha kusaidiana na Mama Samia katika Kutuongoza.
Mimi Nashauri Wafuatao Wapewe nafasi.
1. Prof. Mussa Assad.
Kwanza ni Msomi Mzuri na pia amebobea sana kwenye eneo la uchumi..Lakini Pia Prof huyu Ana misimamo mikali sana hivyo ataweza kutusaidia sana.
2. Dr Mpango.
Kwa hawa watu wanaojulikana Mpango anaweza kuwa wa msaada sana. Kwanza ni Mzalendo amefanya kazi World bank na hivyo anajua uchumi wa Dunia na hapa kwetu na pia kwa kukaa kwake Wizara ya Fedha kumempa wigo mpana wa kuhusika na miradi Mikubwa hii pamoja na Makusanyo ya Serikali.
Dr Mpango pia hana kashfa wala sio muoga Kuchukua maamuzi.
Wengine wanaoweza hii nafasi katika wale tulionao wote wana makundi hasimu hivyo uteuzi wao unaweza kuleta mgawanyiko zaidi au kujenga Makundi hasimu zaidi.
Alamski.
Mpango is tainted - has got too much MATAGA on him atamharibia rais mpya.