Shehullohi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2020
- 3,754
- 3,681
Point
Point gani hapa? Mama kutokea ng'ambo ya mto tayari ni jambo la kutunza kama mboni ya jicho.
Point
Kha Jaffo tena??Jafo ndio...Lakini kwa kiasi fulani ana papara sana, anahitaji muda zaidi wa kujenga utulivu kwenye uongozi katika nafasi yake ya sasa.
Ni nafasi ambayo presidaa asipokuwepo mazima unashika usukaniSema kwakuwa kazi yenyewe ya umakamu wa rais kwa hapa bongo haina issue zaidi ya kukata utepe kwenye zinduzi basi. Hata awekwe nani kwa katiba hii atakuwa hana nguvu kimamlaka.
MmhWale wanaomkubali Lukuvi sema hoyeee!!
Mwehu gulu ndiye alochochea tusipambane na corona mpaka akarudishwa kundini! tena akaagiza wafungwe wanaosema marehemu anaugua!! tena ikasemekana chinichini anampinga sn kiongozi wake?!! Mnafiki hatufai
Itabidi tupekue kwenye ma file ya Mangula kwanzaPoleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?
Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.
R.I.P Magufuli.
You know nothing about politics, kaulize what happened alivyokufa rais wa Malawi??Viti vya Wahudhuriaji wa Msiba havijapangwa bado hadi Ratiba ya Msiba (Mazishi) haijapangwa tayari mmeshaanza kuja na hopeless Speculations zenu, hivi mkiambiwa nyie ni Wachawi mtabisha au Kukataa?
Itabidi tupekue kwenye ma file ya Mangula kwanza
Makamu wa Rais sio cheo cha mchezo mchezo kama vile yule aliekuwa mgombea mwenza wa Tundu Lissu
Leo hii hatuna presha kubwa kwa kuwa tunamuamini makamu wa Rais,
ukituletea makamba yatakua mambo ya Obasanjo na Atiku Abubakar
Inawezekana maana jamaa anaishi kwenye tamaa muda wooteUkute ni yeye mwigulu kaandika
Kumuongoza kwa maana ya guidanceHapa ndipo mnakosea. Huyu Mama akiwa Rais atahitaji ushauri na sio kuongozwa. Uamuzi wa mwisho utakuwa wa kwake na sio mwingine. Atakuwa Rais kamili na sio figure head.
Amandla...
Kudadadeeki MATAGA sasa mnakula matapishi yenu.Itabidi tupekue kwenye ma file ya Mangula kwanza
Makamu wa Rais sio cheo cha mchezo mchezo kama vile yule aliekuwa mgombea mwenza wa Tundu Lissu
Leo hii hatuna presha kubwa kwa kuwa tunamuamini makamu wa Rais,
ukituletea makamba yatakua mambo ya Obasanjo na Atiku Abubakar
Kivipi? Kwani chadema mnaingia Ikulu?Kudadadeeki MATAGA sasa mnakula matapishi yenu.
Lazima mtanyooshwa sana safari hii
Bashiru kamwe hawezi kuipata hiyo nafasiUnauliza nini ilihali inajulikana bashiru
Hicho cheo hakijawahi kushikwa na mtotoNi Januari Yusuph Makamba tu