Naona January anafaa sana, siasa za ndani ya CCM ndio zitamuondoa...
 
Makamu anafaa awe Majaliwa, Waziri mkuu achaguliwe mwingine. Natamani kitu cha kuanzia kufanya kiwe ni katiba mpya.
 
Sema kwakuwa kazi yenyewe ya umakamu wa rais kwa hapa bongo haina issue zaidi ya kukata utepe kwenye zinduzi basi. Hata awekwe nani kwa katiba hii atakuwa hana nguvu kimamlaka.
Ni nafasi ambayo presidaa asipokuwepo mazima unashika usukani
 
Wale wanaomkubali Lukuvi sema hoyeee!!
Mwehu gulu ndiye alochochea tusipambane na corona mpaka akarudishwa kundini! tena akaagiza wafungwe wanaosema marehemu anaugua!! tena ikasemekana chinichini anampinga sn kiongozi wake?!! Mnafiki hatufai
Mmh
 
Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.

Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndo anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.

Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais ukizingatia kuwa lazima atoke Bara kwani Mama Samia ametokea Zanzibar?

Mimi binafsi nahisi Mheshimiwa January Makamba anafaa sana kuchukua hiyo nafasi ukizingatia ameshafanya kazi kwa karibu na Mama Samia kwa muda mrefu kipindi akiwa Waziri.

R.I.P Magufuli.
Itabidi tupekue kwenye ma file ya Mangula kwanza
Makamu wa Rais sio cheo cha mchezo mchezo kama vile yule aliekuwa mgombea mwenza wa Tundu Lissu
Leo hii hatuna presha kubwa kwa kuwa tunamuamini makamu wa Rais,
Ukituletea Makamba yatakuwa mambo ya Obasanjo na Atiku Abubakar
 
VP awe jasusi mbobezi! Mwanadiplomasia mbobezi ndugu Benard Cammilius Membe! Naamini BCM atawaunganisha watanzania kuwa kitu kimoja! Kila la kheri Benard Membe! Kazi yako ya kwanza ni kusaidia tupate chanjo ya Uviko 19
 
Huwa namfuatilia Mwinyi kule Zanzibar, anaijenga nchi ile hadi raha, ningependa kuona Mama Samia akifanya hivyo kwa Jamuhuri ya muungano, uwezo wa kufanya makubwa na kutekeleza aliyoanzisha JPM anao.
 
Viti vya Wahudhuriaji wa Msiba havijapangwa bado hadi Ratiba ya Msiba (Mazishi) haijapangwa tayari mmeshaanza kuja na hopeless Speculations zenu, hivi mkiambiwa nyie ni Wachawi mtabisha au Kukataa?
You know nothing about politics, kaulize what happened alivyokufa rais wa Malawi??

Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kama hivi au vipi??
IMG_20210318_100534.jpg


Sent from my TECNO L9 Plus using JamiiForums mobile app
 
Itabidi tupekue kwenye ma file ya Mangula kwanza
Makamu wa Rais sio cheo cha mchezo mchezo kama vile yule aliekuwa mgombea mwenza wa Tundu Lissu
Leo hii hatuna presha kubwa kwa kuwa tunamuamini makamu wa Rais,
ukituletea makamba yatakua mambo ya Obasanjo na Atiku Abubakar

Hapa kwenye umakamo karata lazima zichezwe kwa staili ya chess. Kumbe Uzalendo na Ufia nchi hauja kupungukia kingunge wajF bravo!
 
Itabidi tupekue kwenye ma file ya Mangula kwanza
Makamu wa Rais sio cheo cha mchezo mchezo kama vile yule aliekuwa mgombea mwenza wa Tundu Lissu
Leo hii hatuna presha kubwa kwa kuwa tunamuamini makamu wa Rais,
ukituletea makamba yatakua mambo ya Obasanjo na Atiku Abubakar
Kudadadeeki MATAGA sasa mnakula matapishi yenu.
Lazima mtanyooshwa sana safari hii
 
Back
Top Bottom