Askofu Zakaria Kakobe: Tanzania siyo nchi ya chama kimoja! Amtaka Rais Magufuli atubu

Askofu kanisani kwake madhabahu siyo sehemu ya kutukania viongozi wa nchi.Kakobe kachoka kuhubili amani sasa anafanya fujo madhabahuni baada ya kukusanya sadaka na kushiba hella.Asome neno katika kitabu cha Matthayo Sura ya 5.

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Hivi tangu lini wito wa kutubu umekuwa matusi! Tukifikia hapo, makanisa na misikiti yote ifungwe! Maana wito mama wa watumishi wa Mungu ni kuhimiza toba!!!
 
tangia ungudue dawa ya ukimwi deo umekuwa mtu wa kujali ubinadam na si kupinga ukweli kama wale majitu ya milembe ya kule kijani
 
Nakuona kama kisu kimegusa mfupa,

CCM acheni ujinga Jumapili hii ni ya mwisho kwa mwaka huu nendeni mkatubu mwambieni na Sizonje akatubu shauri yenu.
CCM haiwezi kuelekezwa na Askofu Tapeli aliyewaibia watu dhahabu zao na kujitajirisha akiwaacha waumini masikini wa kutupwa. Kakobe hana kibali mbele ya Mungu cha kumkosoa mtu.
 
Deo nisamehe mimi nilishakuwa na wasiwasi juu ya afya ya akili yako ila kwa hii post nimejifunza kumbe wewe ni genius sema mda mwingine sijui unajitoa ufahamu

Hongera kwa majibu mujarabu kwa uvccm
Ana akili sana, sema amesoma elimu maalumu hivyo huwa anatest kama watu ni wazima.
 
Acha kulinganisha Bishop Kakobe na vitu vya kijingajinga kama uvccm.

Nani mwenye akili unayeweza kutaja pale uvccm mbele za watu wenye hekima wasikupige mawe!?

Anzia mwenyekiti wa uvccm hadi mwanachama wa uvccm wa kawaida nani ana akili pale!?

Bishop Kakobe , kile ni Kichwa tatizo ni mifumo yetu siyo friendly kwa watu wenye akili...
 
Acha kulinganisha Bishop Kakobe na vitu vya kijingajinga kama uvccm.

Nani mwenye akili unayeweza kutaja pale uvccm mbele za watu wenye hekima wasikupige mawe!?

Anzia mwenyekiti wa uvccm hadi mwanachama wa uvccm wa kawaida nani ana akili pale!?

Bishop Kakobe , kile ni Kichwa tatizo ni mifumo yetu siyo friendly kwa watu wenye akili...
Kakobe na Gwajima ndiyo viongozi halisi wa dini, wengine wote ni makada wa CHAMA CHA MAPEPO.
 
mkuki kwa nguruwe mtamu, ila kwa binadam sasa...



wao kutukana wanaona rahaaaaaaaaaaaa


sisi kuongea ukweli uliojaa hoja tena reference from the bible basi wameumiaaaaaa ha ha ha ha nafwaaaa.......
 
CCM haiwezi kuelekezwa na Askofu Tapeli aliyewaibia watu dhahabu zao na kujitajirisha akiwaacha waumini masikini wa kutupwa. Kakobe hana kibali mbele ya Mungu cha kumkosoa mtu.
Kakobe asipowaambia watu watubu hata mawe yatasema, kutubu ni kutubu tu haijalishi umeambiwa na nani.
 
Hayati Mwalimu Julius Nyerere aliambiwa achague kati ya Siasa na Ualimu na wakoloni ili apunguze harakati. Askofu Desmond Tutu alipokuwa anakosoa utawala wa Makaburu kule Afrika kusini aliambiwa asichanganye Dini na siasa . Leo anaambiwa askofu Kakobe
 
Back
Top Bottom