Leo Deo umeandika point tupu
Kakobe ndio nani?
nimecheka sana mkuu.Leo Deo umeandika point tupu
Askofu na mchungaji katika kanisa la kiroho lililoko mwenge!Kakobe ndio nani?
Kweli ila arekebishe tarehe pale chini kutuvusha mwakaLeo Deo umeandika point tupu
Yule mmeo aliyokupa talaka umeshamsahau jina lake kweli dada huna kumbu kumbuKakobe ndio nani?
Deo nisamehe mimi nilishakuwa na wasiwasi juu ya afya ya akili yako ila kwa hii post nimejifunza kumbe wewe ni genius sema mda mwingine sijui unajitoa ufahamu
Hongera kwa majibu mujarabu kwa uvccm
Hsijaharibika, Bali imepambwa na neno atakalohitaji kutafakari! It is food for thought! Neno toka madhabahuni si mchezo kama unavyofikiria!Krismas ya mkuu wa kaya imeshaharibika
Mawazo ya kijinga na kilofa yanayotolewa na mpumbavuSizonje aache kujificha nyuma ya UVCCM na PoliCCM anatakiwa akatubu muda bado unaruhusu kufanya hivyo.Tena afanye haraka kabla ghadhabu ya Mungu haijashuka.Wizara ya Nishati na madini& Tanesco pamejawa na mabalaa sababu ya kumpiga vita Askofu Kakobe!
Ila edit tarehe hapo coz umetuvusha mwaka kabla