Mtikila anasema Mokiwa alifanya upekuzi mwili mzima kiasi cha kumushika makalio na sehemu za siri jambo lililomdhalilisha huku akijua kwamba kanisa lake limekubali Ushoga.
Huyu Mtikila ni wa ajabu sana. Yeye si analo kanisa lake lenye waumini wawili tu ambao ni yeye na mke wake? Anglikana alikwenda kutafuta nini?
Mtikila amefungua kesi hiyo Kisutu akidai kuwa Tarehe 25/06/2011 saa 20:00 hadi saa 01:00 katika makao Makuu Anglikani DSM Mokiwa aliwaita Wajumbe wa kikao wakiwemo Erasto Mhagama, Christopher Njayike, George Mwafalo, Mtikila na wengine lakini kabla ya kikao hicho Mokiwa alisituka na kusema ni lazima awapekue wote Kwana anahisi kuna mtu ana tape recorder.
Mokiwa alitoa maelezo hayo huku akichukua bastola yake baada ya kufunga mlango na kuingiza risasi mbele yao huku akiwamuru wanyoshe mikono juu.
Mtikila anasema Mokiwa alifanya upekuzi mwili mzima kiasi cha kumushika makalio na sehemu za siri jambo lililomdhalilisha huku akijua kwamba kanisa lake limekubali Ushoga.
Hata hivyo pamoja na kwamba tukio hilo ilimefanyika mwaka jana lakini Mtikila amefungua kesi leo wakati kesi nyingine ya Mokiwa Arusha ipo Ukingoni.
Watu waliokaribu na Mtikila wanasema Mtikila kapewa Mzingo na baadhi ya Makundi ya CCM ili kumukashifu Mokiwa na Kumudhalilisha!!
Wamesema kwamba Mtikila amekuwa anachochea Migogoro Ndani ya Anngani ukiwepo ule uliotokea kule Gongola Mboto ambapo FFU waliingilia kati!!
Mtikila amekuwa anaongoza kufitinisha haki ndani ya Makanisa Mengine kwa kutumiwa na Wanasiasa wa CCM ambao wanachukizwa na kauli za viongozi wa dini.
Mtikila anatajwa kupewa kazi ya kumtoa Mokiwa mda mfupi baada ya Mokiwa kutoa saa 48 Kwa JK kuwataja Viongozi wa dini wanaojihusha na madawa ya kulevya.
Pia Mtikila alipewa kazi ya kusuka suka Josephati Gwajima, Josephati Mwingira baada ya watu hao kuwa tofauti na Utawala wa CCM.
Pia Mtikila ndiye aliyetumiwa na CCM kueneza siasa za Kumuhusisha Mbowe na Kifo cha Wangwe.
Mtikila amegonganisha sana Mengi na Rostam huku yeye akichukua fedha pande zote Mbili!!
Mtikila amekuwa mstali wa Mbele Kushambulia Migogoro katika Makanisa Mengine wakati kanisa lake la Full Salvation Church limesambaratika lote na kubaki waumini 10 na mkewe ambapo wanalazimika kupika chakula kila jumapili na kuwalisha kwa lengo la kushawishi kufika tena jumapili ijao.
Kanisa hilo linafanyikia Nyumbani kwa Mtikila Mwenyewe!!
Hapa Mokiwa ndiyo anapakaziwa ushoga?
Hapakaziwi ila analalamikiwa kushika mzigo. Yeye aseme sasa kashika au la, hiyo ndiyo hoja iliyo mbele yetu, usibadili mada
Mtikila ni Mtu wa Kutumiwa kwa kazi yoyote na mtu yoyote ili mradi anapata pesa!Hana mtoto wala hana mtu wa kumurithi wala haona familia zaidi ya Mkewe.Anaishi kwenye pagala Mikocheni B karibu na Mama Rwakatare jirani na Msikiti
Mtikila amefungua kesi hiyo Kisutu akidai kuwa Tarehe 25/06/2011 saa 20:00 hadi saa 01:00 katika makao Makuu Anglikani DSM Mokiwa aliwaita Wajumbe wa kikao wakiwemo Erasto Mhagama, Christopher Njayike, George Mwafalo, Mtikila na wengine lakini kabla ya kikao hicho Mokiwa alisituka na kusema ni lazima awapekue wote Kwana anahisi kuna mtu ana tape recorder.
Mokiwa alitoa maelezo hayo huku akichukua bastola yake baada ya kufunga mlango na kuingiza risasi mbele yao huku akiwamuru wanyoshe mikono juu.
Mtikila anasema Mokiwa alifanya upekuzi mwili mzima kiasi cha kumushika makalio na sehemu za siri jambo lililomdhalilisha huku akijua kwamba kanisa lake limekubali Ushoga.
Hata hivyo pamoja na kwamba tukio hilo ilimefanyika mwaka jana lakini Mtikila amefungua kesi leo wakati kesi nyingine ya Mokiwa Arusha ipo Ukingoni.
Watu waliokaribu na Mtikila wanasema Mtikila kapewa Mzingo na baadhi ya Makundi ya CCM ili kumukashifu Mokiwa na Kumudhalilisha!!
Wamesema kwamba Mtikila amekuwa anachochea Migogoro Ndani ya Anngani ukiwepo ule uliotokea kule Gongola Mboto ambapo FFU waliingilia kati!!
Mtikila amekuwa anaongoza kufitinisha haki ndani ya Makanisa Mengine kwa kutumiwa na Wanasiasa wa CCM ambao wanachukizwa na kauli za viongozi wa dini.
Mtikila anatajwa kupewa kazi ya kumtoa Mokiwa mda mfupi baada ya Mokiwa kutoa saa 48 Kwa JK kuwataja Viongozi wa dini wanaojihusha na madawa ya kulevya.
Pia Mtikila alipewa kazi ya kusuka suka Josephati Gwajima, Josephati Mwingira baada ya watu hao kuwa tofauti na Utawala wa CCM.
Pia Mtikila ndiye aliyetumiwa na CCM kueneza siasa za Kumuhusisha Mbowe na Kifo cha Wangwe.
Mtikila amegonganisha sana Mengi na Rostam huku yeye akichukua fedha pande zote Mbili!!
Mtikila amekuwa mstali wa Mbele Kushambulia Migogoro katika Makanisa Mengine wakati kanisa lake la Full Salvation Church limesambaratika lote na kubaki waumini 10 na mkewe ambapo wanalazimika kupika chakula kila jumapili na kuwalisha kwa lengo la kushawishi kufika tena jumapili ijao.
Kanisa hilo linafanyikia Nyumbani kwa Mtikila Mwenyewe!!
Mtikila amefungua kesi hiyo Kisutu akidai kuwa Tarehe 25/06/2011 saa 20:00 hadi saa 01:00 katika makao Makuu Anglikani DSM Mokiwa aliwaita Wajumbe wa kikao wakiwemo Erasto Mhagama, Christopher Njayike, George Mwafalo, Mtikila na wengine lakini kabla ya kikao hicho Mokiwa alisituka na kusema ni lazima awapekue wote Kwana anahisi kuna mtu ana tape recorder.
Mokiwa alitoa maelezo hayo huku akichukua bastola yake baada ya kufunga mlango na kuingiza risasi mbele yao huku akiwamuru wanyoshe mikono juu.
Mtikila anasema Mokiwa alifanya upekuzi mwili mzima kiasi cha kumushika makalio na sehemu za siri jambo lililomdhalilisha huku akijua kwamba kanisa lake limekubali Ushoga.
Hata hivyo pamoja na kwamba tukio hilo ilimefanyika mwaka jana lakini Mtikila amefungua kesi leo wakati kesi nyingine ya Mokiwa Arusha ipo Ukingoni.
Watu waliokaribu na Mtikila wanasema Mtikila kapewa Mzingo na baadhi ya Makundi ya CCM ili kumukashifu Mokiwa na Kumudhalilisha!!
Wamesema kwamba Mtikila amekuwa anachochea Migogoro Ndani ya Anngani ukiwepo ule uliotokea kule Gongola Mboto ambapo FFU waliingilia kati!!
Mtikila amekuwa anaongoza kufitinisha haki ndani ya Makanisa Mengine kwa kutumiwa na Wanasiasa wa CCM ambao wanachukizwa na kauli za viongozi wa dini.
Mtikila anatajwa kupewa kazi ya kumtoa Mokiwa mda mfupi baada ya Mokiwa kutoa saa 48 Kwa JK kuwataja Viongozi wa dini wanaojihusha na madawa ya kulevya.
Pia Mtikila alipewa kazi ya kusuka suka Josephati Gwajima, Josephati Mwingira baada ya watu hao kuwa tofauti na Utawala wa CCM.
Pia Mtikila ndiye aliyetumiwa na CCM kueneza siasa za Kumuhusisha Mbowe na Kifo cha Wangwe.
Mtikila amegonganisha sana Mengi na Rostam huku yeye akichukua fedha pande zote Mbili!!
Mtikila amekuwa mstali wa Mbele Kushambulia Migogoro katika Makanisa Mengine wakati kanisa lake la Full Salvation Church limesambaratika lote na kubaki waumini 10 na mkewe ambapo wanalazimika kupika chakula kila jumapili na kuwalisha kwa lengo la kushawishi kufika tena jumapili ijao.
Kanisa hilo linafanyikia Nyumbani kwa Mtikila Mwenyewe!!
huyu mtikila ana matatizo kwani ktk hicho kikao ni yeye tu ndiyo alio sachiwa kati ya watu wote waliokuwepe ktk hicho kikao... aache huo uzushiwake wa kisiasa tumesha jua lengo lake? lengo lake kubwa ni kutuharibu sisi wa kristo wa anglikani na wa kristo wengine kwa ujumla kutuharibu kisaikorojia.... mimi kama mkristo nasema kwamba mtikila ashindwe na alege au niwaulize wa kristo wenzangu siasa na dini tangukarini vikachangamana pamoja! haiwezekani hivi vitu viwili vikachangamana pamoja hata sikumoja kamwe haiwezekani mtikila ni mzushi tu.