Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
sikuwahi kuona ''mgomo'' wa staili hiyo kwenye historia ya wokovu(kuanzia adam mpaka yesu)...!nashindwa kuelewa unatumia clause ipi katika biblia takatifu kuwakeshesha waume za watu,wake za watu,wazazi wa familia kadhaa usiku na mchana kwa ajili ya swala la kanisa na tanesko!YOU CAN'T BE SERIOUS!
ninapita hapo sasa ni mwezi umekatika lazima utakuta watu aidha wanaungua na jua au wanaumwa na mbu!....THIS IS NOT RIGHT!
ninapita hapo sasa ni mwezi umekatika lazima utakuta watu aidha wanaungua na jua au wanaumwa na mbu!....THIS IS NOT RIGHT!
- kwanza unaathiri pato vipato vta familia nyingi sana ambazo ni masikini kwasabab u asilimia kubwa ya watendaji ndio unaowaweka hapo
- Pili unaonyesha picha mbaya ki-imani!ninavyoifahamu mimi imani ya kristu ni kwamba MUNGU ANAWEZA KUJIBU MAOMBI!...hawezi kujibu maandamano!rejea vipengele kadhaa vya biblia