............... Kazi sana kwa Mgalatia kuelewa 'ghaibu' !!................. 'ghaibu' ni ya ALLAH S.W !!huyu naye ataungana na yule askofu kama sijasahu alikuwa wa MAREKANI aliyetabiri eti dunia itafika mwisho, nadhani ilikuwa mwaka jana.(tarehe sikumbuki). mwisho atabaki kimyaa kama siye yeye. wenzake waliwahi kusema hapa kikwete chaguo la Mungu, leo wanabadili maneno na kuleta nahau nyiiingi. mambo ya ghaibu muachieni mwenyewe MUNGU.
hao maaskofu kutoa utabiri kama huo, we michango ya EL katika makanisa sio ya mchezo
Mi ntatembea uchi Lowasa akiwa rais
mwizi huyo babu nae anataka fedha toka kwa EL ili ajenge hekalu ka wachungaji wenzake wezi
Sio manabii wa siku za mwisho hawa. Tusubiri tuone. Mawe si yapo au yatakuwa yametoweka ifikapo 2015?Ameshajichagulia adhabu....
mpaka 2015 tutasikia mengi