BINARY NO
JF-Expert Member
- Dec 29, 2011
- 2,148
- 2,160
Hizo harakati anazofanya sasa uku akisaidiwa na ROSTAM waTanzania tutakuja juta....kwanza imagine kwanini anautafuta urais kwa ari na mali? weunafikiria hizo fedha anazotumia unafikiri zitalipwaje? Jamani URAIS km upo upo tu haina haja ya kuangaika mpaka kwa mafree marson wa nIGERIA haina haja....Jamani tuhuma tu zinamtosha mtu kukaa pembeni kwanini YEYE tu? imagine jana kasaliti ata chama chake kwakutoudhulia sherehe kubwa za chama chake akaudhulia MAULID kwanza haimuhusu? YES! TUNAMUHITAJI RAIS KAMA LOWASSA LAKINI SIO SIO SIO HUYU LOWASSA....